"Double Standards" ya TEC na Kardinali Pengo linapokuja suala la ukosoaji wa utawala

Weka evidence ya TEC ikimkosoa JPM tuone
Evidence hii hapa.... hivi huko mashuleni mlienda somea ujinga?!!!
 
Kati ya hiyo mikataba iliyofanyiwa review upo usio na kikomo kama huu wa kinyonyaji wa bandari?
Jiulize katika serikali zilizopita kuna mkataba ulishawahi kuwekwa wazi ,tatizo hapa labda mama ameweka vitu wazi ndio maana kelele zinakuwa nyingi miaka ya nyuma tulikuwa tunataarifiwa tu ,maamuzi alikuwa anafanya bwana mkubwa na hakuwahi mtu kuhoji, embu tuambie mkataba wa barrick una miaka mingapi?
 
Weka evidence ya TEC ikimkosoa JPM tuone
Labda ulikuwa bado mtoto...

Pia soma hii..
 

Hawa ndiyo maana mikataba mingi walikuwa wanafichwa,Leo hii wamekewa wazi wanaanza kutoa kauli za kejeli na dharau,Kosa la samia ni lipi?
 
Wewe ukitaka Rais wa kuja kushika watu na kuwabambikia kesi za ajabu ajabu?ukitaka Rais wa kuzuia account za bank na kuwafilsili wafanyabiashara na kuwataka waish kama. Wako motoni siyo, nchi inaendeshwa kwa utaratibu
utaratibu wakuuza bandari zote uliona wapi uo niuzombi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona nyie ( hasa wewe) Rais akiwa mkristo mnapotea ila akija dini yetu ile mnaibuka na kuanza kuitetea kama hivi? Awamu ya 4 uliigeuka kwenye issue ya gas ya Mtwara tu ila tunajua ni Lumumba promax...
Jibu hoja, achana na mleta hoja.

Nyie mlikuwa mnaoongea wakati wa jiwe?


Thubutu, leo mama katufunguw midomo wote.

Wema wake sasa unamponza, Arudishe tu enzi za Magu, kazi iendelee.
 
Nawe umekuwa mwongo. Kumbukumbu yàngu ni kuwa TEC daima wamekemea maovu katika Awamu zote. Pengo kama yeye alijitokeza kumkumbatia Makonda na Magufuli, not TEC. Refresh your mind!
Vipi MoU yao na serikali ina ukomo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…