Dozi ya Goli 5 za Yanga ni kama keki ya Birthday,kila mualikwa lazima aonje

TUKANA UONE

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2018
Posts
2,345
Reaction score
6,970
Kwa wale wote waliwahi kuzionja goli 5 kutoka kwa Young Africans bila shaka watakuwa wanauelewa utamu wake namna ulivyo!

Kama ulikula keki vipande 5 na bado hukuridhika,basi usiwe na shaka wewe jiandae na Birthday nyingine lazima utakula na utashiba!

Kazi ya Yanga ni kuhakikisha kila mualikwa lazima aionje keki atake asitake!

KOLO alikula vipande 5 lakini ajabu amebaki kuwaonea waalikwa wenzie wivu nao wakila vipande Vi - 5 kama yeye!.

Huu wivu umeanza lini ndugu zangu wa UKOLOKOLONI?
 
5G Club 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
β—‰ Yanga 5 - 0 KMC
β—‰ Yanga 5 - 0 JKT Tanzania
β—‰ Yanga 5 - 1 ASAS πŸ‡©πŸ‡―
β—‰ Yanga 5 - 1 Simba SC
β—‰ Yanga 5 - 0 Jamhuri
β—‰ Yanga 5 - 1 Hausing Fc
β—‰ Yanga 5 - 0 Polisi Tanzania
 
Kifupi ni kwamba wananchi wamefunga mnara wa [emoji2393] G majeshi yote bara na visiwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…