DP World anapewa kazi ya kupakua na kupakia Makontena tu, sio Bandari yote ya Dar wala si nje ya Dar

DP World anapewa kazi ya kupakua na kupakia Makontena tu, sio Bandari yote ya Dar wala si nje ya Dar

Mkuu, watu wanapotosha, hakuna Mkataba uliojadiliwa. Wakianza kujadili Mkataba ndio wataweka muda. Haya ya sasa ni Maazimio tu ya kufanya biashara ya bandari kati ya Nchi na Nchi. Hata Bunge limepitisha maazimio. Kama maazimip yakikubalika ndipo mikataba sasa inaanza. Yaani hii ni kama barua ya Posa, bado mwali kuolewa.
Waambie waliokutuma wakagawe bandari za Zanzibar na sio Tanganyika
 
Sasa hivi baandali inachnagia pato la taifa kwa 35% lakini DP World wakianza Bandari ya taifa itachangia 97%

Hii itafanya Watanzania wapumue na mambo ya tozo. Nchi inatoza tozo hadi kwenye Miamala sababu hakuna vyanzo vya mapato vya kueleweka ...
View attachment 2658110

Narudia tena na tena hoja yangu kwamba "Miaka nenda rudi uchimbaji madini unafanywa na makampuni ya nje kwa mikataba ya aina ya IGA, je, nchi imepiga hatua gani kiuchumi".

Mategemeo hayo unayodai ni ndoto za alinacha.
 
Wanachukua nafasi ya ile kampuni ya Karamagi
Ndio. Wanachukua nafasi ya TICTS sababu ilikosa ufanisi. Sema watu wamepotoshwa na Wanaharakati. Marekani na Uingereza hawapendi kuona Afrika tukijikomboa. So ndo maana unaona mambo ni mengi. Waarabu na Wachina wakiingia Afrika Wazungu hawana chao. Ndo maana wanawachanganya watanzania ili Washindwe then aje apewe kibaraka mmoja. Utashitukia eti Lowassa kapewa bandari mtu ambaye hana uzoefu wala vifaa.
 
Hizi ni propaganda. Suala hili linapindishwa na kupotoshwa sana, kutoka pandr zote- Nikiwa naaana ya walio Serikalini na vibaraka wao, pamoja na wawekezaji na vibaraka wao na isitoshe, wale wote wasiotutakia mema kama nchi! Kama watu weusi.

Yaani naanza kuogopa, na kuona vita kuu ya tatu ikitokea, kwa sababu ya Afrika kwa mara nyingine tena. Ni suala la muda, na kwa sababu Tanzania ipo na ni kama lango kuu mashariki mwa Afrika....kuenda kusini, kuenda magharibi na nchi jirani kwa Urahisi....niache akiba ya maneno, kuwa miaka 60 ijayo, mungu akinijalia, niridhie bandiko hili.

Nasema haya kwa sababu
Kutoka kwenye mkataba huu, kwa maana ya kuuvunja, kutawalazimu wenye mamlaka madarakani kufanya maamuzi magumu. Haijalishi iwe ni CCM au chama chechote kile Maamuzi hayo hayatawafurahisha, wa magharibi na waarabu Na ndio itakuwa sababu ya vita hizo...Nchi mama wa Dunia.

nimenena leo hii ya tarehe 15mwezi wa 6 mwaka 2023AD
 
Salaam Wakuu,

Wote tunaijua Bandari ya Dar Es Salaam.
View attachment 2658109
Watu walidanganya eti kuanzia Geti namba moja hadi namba 8 anapewa DP World kumbe uongo. DP World anapewa kazi ya kupakia na kupakua Makasha kama ilivyokuwa kwa TICTS si kwamba anapewa bandari yote ya Dar, anapewa kijisehemu tu.

Kwahiyo TPA ataendelea na kazi ya kupakua Magari, Mafuta nk.

Pili DP World anakuja na Teknolojia ambayo itawezesha Mifumo ya TRA, TASAC, TPA isomane. Yaani mzigo wako ukifika unachukua hapo hapo hamna mambo Storage wala gharama zimezidi.

Hawa wanaopiga kelele ni watu waliokuwa wanategemea hela za storage hawa wenye bandari kavu. DP World yeye kwenye hatakuwa na mambo ya storage sababu hadi mzigo unafika unakuwa ushalipia kila kitu.

Nimefafanuliwa na Mwanasheria wa bandari baada ya kumtwanga swali.

Nimewapenda bure DP World.

Sasa hawa wanaopotosha wana dhamira gani?

Sema kuna wengine wanapinga sababu walishalishwa matango pori ukizingatia haya makubaliano ya awali yapo kwa lugha ya Kimombo.

Ukweli ni kwamba hadi sasa hakuna Mkataba umesainiwa wala hakina kitu kilicho chukuliwa. Hata huu Mkataba wa Mashirikiano ya Nchi kwa Nchi ambayo wanataka yawe na Ukomo nayo hayajatiwa saini.

Wanasiasa nao washapata sehemu ya kupepetea mdomo.

Natamani kuona Watanzania tukishikamana kwa manufaa ya Watoto wetu. Tuache kuishi kama zamani.

Sasa hivi TPA inapakua Kontena laki 6 kwa Mwaka. Ila DP World watapakua Makontena Mil 2 kwa Mwaka.

Sasa hivi baandali inachnagia pato la taifa kwa 35% lakini DP World wakianza Bandari ya taifa itachangia 97%

Hii itafanya Watanzania wapumue na mambo ya tozo. Nchi inatoza tozo hadi kwenye Miamala sababu hakuna vyanzo vya mapato vya kueleweka na Nchi lazima iendelee.

Ajabu ni kwamba Wanaoongoza kwa kuiponga DP World mitandaoni ni Wakenya sababu wanajua hii ni vita ya Kiuchumi. DP World wakianza bandari za Kenya hawana chao. Hata waliokuwa wanapinga bomba la Mafuta Mafuta Uganda kuja Tanzania ni Wakenya hadi wakaandamana Ulaya huko eti litaharibu Mazingira.

Watanzania tujitafakari na tujielewe.

Kila kitu kina mazuri na Mabaya, kwanini Wakenya wanaona Ubaya wa DP World tu?

Bila uzalendo tutaishia hapa hapa kulaumiana. Sasa hvi Mwarabu ndo mwenye hela ndo maana hata timu za Mpira za Uingereza anapewa Mwarabu. Hata Bandari zao wamempa Mwarabu lakini sisi wabongo Bandari tunataka eti tumpe Singa singa na Kanjibhai.

Tujaribu Waarabu japo miaka 5 tuone.
View attachment 2658110
Mngewapa DP world waendeshe bunge sio bandari. Maana bungeni wamejaa vilaza wengi.
 
Back
Top Bottom