Hata wakichukua kurasini yote sawa tu tunachotaka Uwekezaji uanze mara mojaMambo ya mkataba yameanza utekelezaji haraka sana, huku mipango ikianza kufanyika Ili ndugu zetu DP world waanze kufanya kazi mara moja.
Sijui mambo ya Mikataba, lakini DP world katika mkataba wao watachukua pia Eneo la Chuo Cha Polisi Kurasini Kinachosimamiwa na kamishna Msaidizi Mambo Sasa.
Sijajua kwanini serikali haitagazi hatua mbalimbali zinazoendelea za utekelezaji wa mkataba huu , ambao Umekuwa ukipingwa Kwa nguvu na watu wanna, Mwabukusi, Slaa, Padri kitima na Mdude.
Wataalamu Wa serikali na wawakilishi wa DP world walitembelea maeneo ya chuo Cha Polisi Kurasini na kufanya na kuchua vipimo vya mipaka, huku dp world ikijiandaa kulipa fidia zote za uhamishaji wa chuo hicho Cha jeshi.
Jingine linaloendelea , ambalo silijui rasmi. Ni kuwa DP world ataingiza magari zaidi ya 2000 yaani maroli Kwa ajili ya kisafirisha mizigo nje ya nchi, inavyosemekana DP world ndio atakuwa transporter pekee wa kisafirisha mizigo nje ya nchi, na watanzania watabaki Tanzania.
Hizi ni habari zinaukweli lakini nashangaa kwanini Serikali ya Chama Tawala haitoi maendeleo ya utekelezaji wa mradi huu ambao unaendelea kimya kimya kama alivyosema Mangwea "KIMYA KIMYA"
Huu ujinga unaosema Ni sawasawa na kusema hata MTU akitembea na mkeo kinyume na maumbile wewe @lordDenning hutojali maana huyo anayemfanyia mkeo ushenzi hataondoka na kinyeo Cha mkeo.Kama chuo kinapelekwa sehemu nyingine kuna shida gani? Kwani wanachukua kuondoka nalo ?
Maaskofu na Padri Slaa wanayo majibu ya maswali yako. Watumie huko, huku hutopata majibu zaidi ya kupoteza muda wako tuKazi kazi tu.....
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?
3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!
6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Hizo ndio hoja zenu mnazopenda kukimbilia kwani wakijenga sehemu ya kumuabudu Mungu kuna ubaya?Hao wameshaambiwa Watajengewa Misikiti akili zao zote zishafiringwa sio wao tena bali ni UTI tupu ndizo zinaongea
Serikali haiongozwi na matamko ya kishenzi shenzi huko kanisani badala ya kufundishana mambo ya kiroho mnaleta siasa pumbavu sana.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Nasikia watajenga msikiti wa gorofa pale. Dp oyee, dp safiii,Nasikia tetesi na eneo la St Josephs Catherdal nalo linachukuliwa
Eeee apoteze si ndio mtafurahiShupazeni shingo na kujibu uharo, mama yenu mtampoteza. Na zipo tabiri kwamba anaweza asimalize mihula miwili. Jiwe alishupaza shingo, mdanganyeni macho kumchuzi naye ashupaze shingo.
Wataanzaje kutekeleza IGA wakati HGA bado haijasainiwa? Au unasahau mafundisho yako mkuu?Kama chuo kinapelekwa sehemu nyingine kuna shida gani? Kwani wanachukua kuondoka nalo ?
Huyo aliyesema limechukuliwa kaweka uthibitisho kuwa limechukuliwa?Wataanzaje kutekeleza IGA wakati HGA bado haijasainiwa? Au unasahau mafundisho yako mkuu?
Mzee smiling madili kama haya hajaanza kuyacheza leo hii jambo hili wala halimpi shida wala wasiwasiMsoga gang wakiamuaga jambo lenye mihela wako tayari kwa lolote..
Si mnakumbuka escrow..
Wanatujua wabongo ni waoga
Suala la bandari ni uelewa mdogo wa watanzania: Professor Mussa Assad former Controller and Auditor GeneralNasikia watajenga msikiti wa gorofa pale. Dp oyee, dp safiii,
Suala la bandari ni uelewa mdogo wa watanzania: Professor Mussa Assad former Controller and Auditor GeneralIla Rais Samia kwa nini anakuwa hivi? Ameamua kuungana na wachache dhidi ya raia wote?
Pumbavu we kada wa CCMNaona serikali na DP WORLD wameamua kuziba masikio.
Na ndio hoja yangu ilipo. Ulipaswa kumpinga kwa sababu hatuna HGA na DPW. Ulivyojibu kama ulivyomjibu, inaashiria kwamba unakubali uwekezaji wa DPW kwa mahaba zaidi. Vinginevyo, ulitakiwa ujiridhishe kama HGA imetoa ufafanuzi kwa vipengele vya IGA vinavyolalamikiwa, kabla ya utekelezaji.Huyo aliyesema limechukuliwa kaweka uthibitisho kuwa limechukuliwa?