DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

Ona sasa hapo ndo nakuonaga bure kuna sehemu niliyosema Faizafox ni Mzanzibar?
Wapi nimesema Faizafox kwao ni zanzibar ,screenshoot....tuma moja.
Mbili kama kitu wananchi majority hawakitaki Kwanini mkazanie kwani nchi hii ni ya babazenu ???
-bandari ni mali ya Ukoo?
Hatutaki muuze bandari yetu ,et tunauza kwasababu hatuwezi kuendesha ???my foot .....low IQ ,fool women never seen,ukiwa hivyo atawanao utawaacha wakajiuze wakuletee pesa kisa maisha magumu
 
Wewe nchi hii ya babako?
 
Hizo sheria wewe na dadako mnazijua? ule mkataba mmoja tu na wajomba zenu wakiarabu unajua mmevunja sheria ngapi za Tanganyika pale?
Naam tunazijuwa sana.

Mkataba huo hapo juu, onesha sheria iliyovunjwa.
 
Un
Naam tunazijuwa sana.

Mkataba huo hapo juu, onesha sheria iliyovunjwa.
Nilishaga coat vipengels vibovu ukashindwa kujibu siruhi ujuha mm !
Yani iwe kila siku nakupestia vipengele vibovu??
Hafu nampestia nani mama mmoja mlamba asali chawa la kijinga kutoka nje ya mipaka😄😄😄
 
Naam tunazijuwa sana.

Mkataba huo hapo juu, onesha sheria iliyovunjwa.
Huu ni mkataba mzuri sana na cha mhimu ufanisi wa bandari utakua mkubwa sana, mfano mizigo kupakuliwa mda mfupi, mifumo bora ya kisasa itakayosaidia kodi kukusanywa kwa uhakika na kuziba mianya mingi ya ufisadi na ubabahishaji, ongezeko la watumia bandari ya DSM na hivyo serikali itapata pesa nyingi.

Wanaopinga mkataba huu wengi ni mafisadi, wanajua wazi kwamba DPW atasababisha wasiweze tena kutuibia na kupitisha magendo yao pale bandarini.

Mtu ataje kipengele specific ambacho kinampa sababu ya kusema mkataba haufai.

Mnatumia kila njia kuupotosha kwa mtaji wa watu kutojua masuala ya sheria na mikataba, mpaka munaingiza ukabira?
Naomba makubaliano yatekelezwe na mikataba iingiwe haraka ili serikali ipate pesa za kuboresha huduma za jamii.
 
Uvccm wengi ni wajinga sana but siyo wote
 
Tanganyika ni kwetu,
Matapeli ya kizanzibari na mara rushwa mnataka kuuza akitoki kitu hapa,
Jibu swali maana imekutouch
Ndg kama kweli unahoja za kweli, mambo ya utanganyika na uzanzibari yamefikaje hapa? Unajiondolea legitimacy ya maoni yako.
 
Uvccm wengi ni wajinga sana but siyo wote
Una generalize sana. Alafu ndg siyo kweli kila mtu anaweza kuchangia jambo fulani. Kuna mambo ni nje ya uwezo wako, ukilazimisha ndo unaanza mihemko tu. Sasa unajuaje kama wanaounga mkono DPW ni UVCCM? Alafu wewe ndo unataka tukuamini?
 
Tafsiri ya kutoka Kiingereza to Kiswahili ni rasmi?
 
Ndg kama kweli unahoja za kweli, mambo ya utanganyika na uzanzibari yamefikaje hapa? Unajiondolea legitimacy ya maoni yako.
Kama wapo wanaounga mkono na kuiasisi hoja hiyo, basi legitimacy yake ipo
 
Una generalize sana. Alafu ndg siyo kweli kila mtu anaweza kuchangia jambo fulani. Kuna mambo ni nje ya uwezo wako, ukilazimisha ndo unaanza mihemko tu. Sasa unajuaje kama wanaounga mkono DPW ni UVCCM? Alafu wewe ndo unataka tukuamini?
Mama anakaba mpaka penati, kimya kimya. Hamna pakupumulia, inabidi mcheze rafu tu.
 
Sasa mbona ile IGA ya Mwarabu inaonesha ka ma DPW ndiyo wanachukua kila kitu!

IGA hiyo hapo juu post #1, tuoneshe wapi paliposema "DPW" wanachukua kila kitu".

Kwannini tuandikie mate na wino upo?
 
Huu sio mkataba original

Tunataka mkataba original
 
Kuhusu: Kuletewa Maendeleo

Yaani ni sawa na kusema, jitu zima linanyonyeshwa[DPW] maziwa ya mama aliye na mtoto mchanga[Mtanzania]alafu useme mtoto ndie anayepata maendeleo?? Kweli hayo?

Baba zima liyafirigise matiti yale useme ni kwa maendeleo ya mtoto!
Mbula!
 
Huyu dada ni mtu wa kwanza Tanzania nzima kupost huun mkataba mtandaoni.
Sijui aliupata wapi na kwa nani lakini ndo wa kwanza kupost huo mkataba.


Toka hapo Maria amekuwa mwiba mchungu kwa kuukosoa huo mkataba.


Watanganyika mpeni maua yake Maria Sarungi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…