DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

Kwani miaka mia si sawa na kuuzwa tu. Kwani wakiuza watakuambia? Loliondo leo utasema haijauzwa? Pengine dubai wakikabidhiwa miaka zaidi ya 30 ulikua hujazaliwa😆😂

Pitia post namba moja halafu tuoneshe hiyo miaka 100 iko wapi> Kifungu kipi?

A
 
Pumzika mwamba
1689401149120.jpg
 
Mtjibu yote tazama video clip ya jana, hakuna kifungu ambacho hakijajibiwa:

Nimesikiliza sana na kwa umakini, utetezi ni ule ule kuwa matokeo ya uwekezaji ni makubwa.

Narudia tena, mkataba huo utaigharimu CCM kwenye chaguzi zijazo, labda, labda, labda kama Serikali itaweka wazi mikataba ya utekelezaji (HGAs) kwa kuwa inadai itazingatia madai ya upungufu wa IGA yanayotolewa hivi sasa. Nasema hivyo kwa kuwa Wagombea wa CCM, siyo Serikali, ndio watawajibika kujibu maswali ya wapiga kura kuhusu ulinzi wa Rasimali za Taifa, uwekezaji bandari ukiwa mfano
 
Nimesikiliza sana na kwa umakini, utetezi ni ule ule kuwa matokeo ya uwekezaji ni makubwa.

Narudia tena, mkataba huo utaigharimu CCM kwenye chaguzi zijazo, labda, labda, labda kama Serikali itaweka wazi mikataba ya utekelezaji (HGAs) kwa kuwa inadai itazingatia madai ya upungufu wa IGA yanayotolewa hivi sasa. Nasema hivyo kwa kuwa Wagombea wa CCM, siyo Serikali, ndio watawajibika kujibu maswali ya wapiga kura kuhusu ulinzi wa Rasimali za Taifa, uwekezaji bandari ukiwa mfano
Haya mtabiri.


Imeondoka AA iliyozaa TAA iliyoizaa TANU ilyoizaa CCM, nayo itaondoka ije nyingine.


Tunaondoka Binaadam, itakuwa vyama vya kibinadam?
 
Haya mtabiri.


Imeondoka AA iliyozaa TAA iliyoizaa TANU ilyoizaa CCM, nayo itaondoka ije nyingine.


Tunaondoka Binaadam, itakuwa vyama vya kibinadam?
Hoja hiyo sikuitegemea kutoka kwako bi FaizaFoxy.

Hata kama wewe hufaidiki na uCCM, wanasiasa na viongozi wa CCM wamenufaika na wataendelea kunufaika ikiwa inaongoza nchi. Hilo ndilo lengo kuu la chama chochote cha siasa na Wanasisa. Madai ya Katiba na Tume Huru ni uthibitisho wa hoja yangu.
 
Nimeandika mara nyingi sana humu, hakuna maneno ya Kiswahili yanayowea kutafsiri Agreement, unaweza kutafsiri makubaliano unaweza kutafsiri mkataba. Mradi uelewe tu ni mkataba wa nini? Au ,akubaliano ya nini?

Wewe nani alitaka umuamini?

Wewe unapenda mkataba? Sema ni mkataba wa nini?

Mbona mambo myepesi yanawahangaisha nyinyi failures?
Sasa kama ndivyo kwamba neno agreement linatafsiri nyingi kutokana na mkhtadha wake, kwa nini ulikuwa unakomaa kwamba siyo mkataba wakati wataalam wa sheria walikwisha toa tafsiri. Na hakika zaidi tafsiri hiyo imefafanuliwa ndani ya Agreement yenyewe sehemu ya utangulizi kifungu B kikiwa kimetafsiri kwamba huo ni mkataba.
 
mambo yameiva punde tutaanza kula matunda ya uwekezaji, tunategemea kukusanya zaidi ya trillioni 26.
 
Hoja hiyo sikuitegemea kutoka kwako bi FaizaFoxy.

Hata kama wewe hufaidiki na uCCM, wanasiasa na viongozi wa CCM wamenufaika na wataendelea kunufaika ikiwa inaongoza nchi. Hilo ndilo lengo kuu la chama chochote cha siasa na Wanasisa. Madai ya Katiba na Tume Huru ni uthibitisho wa hoja yangu.
Sijaiona hoja yako.

Sasa wewe unaacha hoja unaanza kunivaa mimi?

Mkataba huo hapo juu, tuoneshe kifungu kipi hapo nchi "imeuzwa" na kwa Shillingi ngapi?
 
Sasa kama ndivyo kwamba neno agreement linatafsiri nyingi kutokana na mkhtadha wake, kwa nini ulikuwa unakomaa kwamba siyo mkataba wakati wataalam wa sheria walikwisha toa tafsiri. Na hakika zaidi tafsiri hiyo imefafanuliwa ndani ya Agreement yenyewe sehemu ya utangulizi kifungu B kikiwa kimetafsiri kwamba huo ni mkataba.
Halina tafsiri nyingi. Kiswahili ni kifupi, tunajaribu kukufajhamisha, lakini mwisho wa siku, IGA inafata sheria za Kimataifa na haipo kwa Kiswahili, hii mkatba sijuwi makubaliano tunapiga porojo sisi mapoyoyo.
 
Kama kile kipengele cha uhuru wa kumiliki ardhi ndani ya Tanzania kwa katika kitabaki vile ile😥😥😥.
Naona hatari ya hawa waarabu kudahi uhuru wao maana wana haki ya ardhi, na wataongozwa na sheria zao nini kimebaki hapo,
Tukumbuke Dubai ni mdogo hivyo wanatumia akili kuipanua imaya yao.
na kama uwajuavyo waarabu wakihisi kitu ni chao wapo tayari kufa.
Mimi nahisi kama mkataba sijui makubaliano hayana mwisho ni heri tukauvunja,
-Tuwape watu wenye mwisho ili wajue hapa si kwao
-Tuwape watu watakaofata sheria za nchi- na si sheria zao.
- Tusifanye kosa la kuongoza na wazanzibar tena yakitukuta wao watakimbilia kwao ,sisi tutakimbilia sijui wapi.
Nawasilisha.
#Kataa Muungano ,Muungano ni utapeli

Mkataba huo hapo post namba moja tuoneshe hicho kipengele unachokiaongelea.
 
Mkataba huo hapo post namba moja tuoneshe hicho kipengele unachokiaongelea.
Umelipwa shi ngapi?
Kauze kwenu zanzibar?
Nmecoat mara ngapi vipengels vyenye utata kwako ukajibu kihisia,
Ukitaka twende hoja hakikisha unaweka hoja sitaki hisia Hapa,
"Habari ya sisi hatuwezi" sitaki
 
Umelipwa shi ngapi?
Kauze kwenu zanzibar?
Nmecoat mara ngapi vipengels vyenye utata kwako ukajibu kihisia,
Ukitaka twende hoja hakikisha unaweka hoja sitaki hisia Hapa,
"Habari ya sisi hatuwezi" sitaki
Siku hizi kuna Dirham jijini Dar. Nani alipwe pesa za madafu?

Kwetu Mkuranga siyo Zanzibar, hapo umebugi.

Weka hoja, ndicho nnachokitaka mimi, wewe ndiyo uliyenza na hisia zako za kijinga, sijui mara nimelipwa, mara mzanzibari, Unaongea mwenyewe unajipinga mwenyewe, ni kama vile unajitekenya mwenyewe unacheka mwenyewe.

Leta hoja zako.
 
DP World siyo tatizo kabisa; tatizo ni mktaba unaowaleta. JPM hangekubali mktaba huo wa kijinga hivyo.

Mkataba wa IGA huo hapo post namba moja, tujadiiane wapi kwenye tatizo lisilojijibu lenyewe kwenye huo mkataba wa IGA. Au kuna mwengine zaidi ya huu mnaouongelea?
 
Mkataba wa IGA huo hapo post namba moja, tujadiiane wapi kwenye tatizo lisilojijibu lenyewe kwenye huo mkataba wa IGA. Au kuna mwengine zaidi ya huu mnaouongelea?
Tulishausoma mama we; una matatizo. Wasioona matatizo ya mktaba huo wakiwa madarakani ndio matatizo zaidi.
 
Mkataba wa IGA huo hapo post namba moja, tujadiiane wapi kwenye tatizo lisilojijibu lenyewe kwenye huo mkataba wa IGA. Au kuna mwengine zaidi ya huu mnaouongelea?
Ukishagundua kuwa Dubai siyo nchi... Utabaini kuwa Mmarekani kafanikisha kutugombanisha!
Imeenda hiyo!
 
Back
Top Bottom