JumaKilumbi
JF-Expert Member
- Sep 7, 2022
- 432
- 507
Mnaonaje mkienda kuwekeza Zanzibar badala ya Tanzania bara.Wakuu, Sabalkheir na Eid Mubarak!
Sakata letu la Bandari limechukua taswira tofauti tofauti mitandaoni, wengine wakisema “Bandari imeuzwa” wengine wakilalamikia Mkataba, wengine wakipotosha, basi alimradi tafrani.
Lengo la uzi huu ni kuweka wazi na kwa ukweli kuhusu Mkataba huu. Kwa dhamira ya kutenganisha PUMBA na MCHELE.
Karibuni.
View attachment 2672675
[emoji57] ni hadi pale mkataba utapokomaJe mda wa mkataba ni miaka mingali
Leo nani yuko zamu kujibu ni Maulid Kitenge au Gerald hando au zembwela?Wakuu, Sabalkheir na Eid Mubarak!
Sakata letu la Bandari limechukua taswira tofauti tofauti mitandaoni, wengine wakisema “Bandari imeuzwa” wengine wakilalamikia Mkataba, wengine wakipotosha, basi alimradi tafrani.
Lengo la uzi huu ni kuweka wazi na kwa ukweli kuhusu Mkataba huu. Kwa dhamira ya kutenganisha PUMBA na MCHELE.
Karibuni.
View attachment 2672675
ni mpaka pale shughuli za bandari zitakapo isha....[emoji57] ni hadi pale mkataba utapokoma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ni mpaka pale shughuli za bandari zitakapo isha....
Maana yake bahari ikikauka...
Sasa tujiulize bahari itakauka lini...?
Wakuu, Sabalkheir na Eid Mubarak!
Sakata letu la Bandari limechukua taswira tofauti tofauti mitandaoni, wengine wakisema “Bandari imeuzwa” wengine wakilalamikia Mkataba, wengine wakipotosha, basi alimradi tafrani.
Lengo la uzi huu ni kuweka wazi na kwa ukweli kuhusu Mkataba huu. Kwa dhamira ya kutenganisha PUMBA na MCHELE.
Karibuni.
View attachment 2672675
Je kuna wataalam wa sheria na mikataba wako tayari hapa kwa ajili ya kujibu maswali na uchambuzi wa hoja ama ni sisi wenyewe mabush laywer?Wakuu, Sabalkheir na Eid Mubarak!
Sakata letu la Bandari limechukua taswira tofauti tofauti mitandaoni, wengine wakisema “Bandari imeuzwa” wengine wakilalamikia Mkataba, wengine wakipotosha, basi alimradi tafrani.
Lengo la uzi huu ni kuweka wazi na kwa ukweli kuhusu Mkataba huu. Kwa dhamira ya kutenganisha PUMBA na MCHELE.
Karibuni.
View attachment 2672675
Leo yupo hando na Zembwela on dutyJe kuna wataalam wa sheria na mikataba wako tayari hapa kwa ajili ya kujibu maswali na uchambuzi wa hoja ama ni sisi wenyewe mabush laywer?
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu unacheka tena...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una qualifications gani za kujibu maswali ya hoja hii?Wakuu, Sabalkheir na Eid Mubarak!
Sakata letu la Bandari limechukua taswira tofauti tofauti mitandaoni, wengine wakisema “Bandari imeuzwa” wengine wakilalamikia Mkataba, wengine wakipotosha, basi alimradi tafrani.
Lengo la uzi huu ni kuweka wazi na kwa ukweli kuhusu Mkataba huu. Kwa dhamira ya kutenganisha PUMBA na MCHELE.
Karibuni.
View attachment 2672675
Ili kuikomesha ujinga wao inatakiwa tuwasaidie li redio lako (hakuna kusikiliza) wala ku' view chaneli zao U,tube.Leo nani yuko zamu kujibu ni Maulid Kitenge au Gerald hando au zembwela?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hoja zimwtolewa Jana na prof Shivji kubwa mkataba Tz km nchi inaelezwa inawajibu tu huku DP W WAO wanahaki ambayo Tz hatujawekewaWakuu, Sabalkheir na Eid Mubarak!
Sakata letu la Bandari limechukua taswira tofauti tofauti mitandaoni, wengine wakisema “Bandari imeuzwa” wengine wakilalamikia Mkataba, wengine wakipotosha, basi alimradi tafrani.
Lengo la uzi huu ni kuweka wazi na kwa ukweli kuhusu Mkataba huu. Kwa dhamira ya kutenganisha PUMBA na MCHELE.
Karibuni.
View attachment 2672675