DP World waje, tusiogope kushitakiwa nje ya nchi

Uzuri JF Inasaidia sana kutambua mules, rouge, double agent na wengine dhidi ya Ulinzi wa mali za watanzania. Asante sana JF
 
Wewe ni wa kwanza kumuelewa kati ya wale wanaosapoti DP World. Kitu ambacho naomba ukijibie pia ni kuhusu makubaliano haya kutokuwa na ukomo wa muda. Hakuna kipengele kinaonyesha mkataba utakoma lini
 
watu weusi wana laana mkuu, always tupo kwenye wasiwasi wa kuibiwa na kuonewa tu.
 
Balile ni mla rushwa ndio maana mashavu yake yamejazana utadhani kabugia rushwa yenyewe.
 
Nondo zako nimezikubali % migogoro ya Uwekezaji huwezi kuitatulia ktk Mahakama za ndani kwasababu hizi mahakama hazitakuwa Neutral lazma zitabase upande wa Serikali
 
HATA TUKISHTAKIWA TUTAWATUMA WABUNGE NA WAANDISHI WA HABARI WAKATUTETEE
 
Hii uliandika ukiwa "unaendesha"!!??
Huko Canada ulienda kusomea ujinga!!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…