Nkaburu
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 1,638
- 1,961
Naanza kuamini, hii itakuwa ni rushwa kubwa kuwahi kutokea katika Nchi yetu.nadhani hata hatujui tunashangilia nn maskini siye
Hawa washangaliaji siyo wenzetu, wamo kwenye kundi la kina Mwijaku, wanatuhadaa.