ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
weka ushahid kwamba hakuna meli ya ukubwa huo iliowah kutia nanga darWeka ushahidi wa meli yenye urefu wa mita 300 kutia nanga Dar au unabishana na Meneja wa Bandari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weka ushahid kwamba hakuna meli ya ukubwa huo iliowah kutia nanga darWeka ushahidi wa meli yenye urefu wa mita 300 kutia nanga Dar au unabishana na Meneja wa Bandari?
Umemjibu mkuu?! Una moyo sanaVyenu vitu gani?
Kuna jamaa mmoja, nisimtaje jina humu, lakini afisa wa juu wa bandari, nilipomwuliza mabadiliko yaliyoletwa na DP World, alinijibu kuwa HAKUNA CHOCHOTE, NI UHUNI TU UMEFANYWA.Watu wameagiza mizigo 10/04/2024 Hadi Leo hawajapata....
Nashangaa Hawa wanaoshabikia ukubwa wa meli wakati meli zinakaa foleni mwezi mzima pale bandarini zikisubiri zamu Yao kushushia mizigo IFIKE.
Hawa DP sijaona faida Yao mpaka sasa
Kwanini wasiwaache DPW wenyewe wazungumze maana ndiyo wanaweza kila kitu sisi hamna kitu ndiyo maana tumegawa bandari kwa wanaowezaAkizungumza na wanahabari Kaimu Mkurugenzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Abeid Gallus amesema ujio wa meli hiyo umetokana na maboresho yaliyofanyika katika bandari hiyo na uwekezaji wa Kampuni ya DP- World.
Kwani sisi Hatuwezi kuzungumza?Kwanini wasiwaache DPW wenyewe wazungumze maana ndiyo wanaweza kila kitu sisi hamna kitu ndiyo maana tumegawa bandari kwa wanaoweza
Maelezo Yako wazi,kina ndio kinaamua Ukubwa wa meli.weka ushahid kwamba hakuna meli ya ukubwa huo iliowah kutia nanga dar
Kuna tija ganiKwani sisi Hatuwezi kuzungumza?
Sharing information ni muhimu sanaKuna tija gani
Kabisa hakuna maana ya kuwasifia tu kana tusipo wapa sehemu nyeti kama hizo.Kwanini dp world wasipewe ikulu waiongoze?
Watu wanazungumizia saiv bandari inauwezo wa kupokea meli kubwa kuliko mwanzo na hio iliokuja ndio yakwanza ...asa we unaanza mambo ya import na export huoni we ni chiziunajua madhara ya imbalance ya imports vs exports kwenye uchumi wa nchi? no wonder nchi nzima imegeuka wachuuzi, kila mahali fremu halafu unashangilia meli kubwa ya imports …
Sasa hapo unachanganya mambo, moja ya kazi ya bandari ni kuweza kumudu kuingiza mizigo kwa ufanisi ,na utaweza kufanya hivyo kama utakuwa na uwezo wa kuhudumia meli kubwa ,kumbuka kwamba tunahudumia nchi mbali mbali zilizotuzunguka kwahiyo usifikiri hii meli inaleta mizigo ya tanzania tu ,rwanda, congo, zambia,uganda, malawi hawa wote wana mizigo yao humo na wanategemea waipate kwa uharaka ili na nchi yetu iingize pesa kupitia huduma hii, kuna dreva wa kupeleka hayo magari, kuna malori ya kubeba kontena, mafuta ,wauza chakula kuhudumia wageni wanaokuja kufuatilia mizigo yao, hotels etcunajua madhara ya imbalance ya imports vs exports kwenye uchumi wa nchi? no wonder nchi nzima imegeuka wachuuzi, kila mahali fremu halafu unashangilia meli kubwa ya imports …
Hivi huwaga meli zikikaa pale oyster bay mpaka mzigo ushushwe unachukua miezi mingapi?Haya Sasa DP World wameanza kufanya Yao Dar Port Kwa kuleta meli kubwa zaidi ,urefu zaidi ya mita 300👇👇
Kampuni ya DP World iliyoingia ubia na Serikali kwa ajili ya uwekezaji kwenye bandari ya Dar es Salaam imeingiza meli ya kwanza yenye urefu wa mita 294.12 ikiwa ni sehemu ya utekelezaji na maboresho yanayofanywa na kampuni hiyo katika kuendesha bandari hiyo.
Hayo yameelezwa na meneja mizigo mchanganyiko wa Mamlaka ya Bandari nchini TPA, Abed Galusi.
My Take
Kasi ya kuondoa mzigo ili.kuepusha Msongamano itaendana? 👇👇
Meli kubwa ya MSC ADU V iliyobeba makasha 4,000 imetia nanga katika bandari ya Dar es Salaam, ikiwa ni kwa mara ya kwanza kwa meli yenye mzigo mkubwa wa makontena kuwasili Tanzania.
MSC ADU V iliyotengenezwa mwaka 2005 ina urefu wa mita 294.12 unaokaribiana na viwanja vitatu vya mpira wa miguu imetia nanga leo Jumamosi Juni 22, 2024.
Akizungumza na wanahabari Kaimu Mkurugenzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Abeid Gallus amesema ujio wa meli hiyo umetokana na maboresho yaliyofanyika katika bandari hiyo na uwekezaji wa Kampuni ya DP- World.
Gallus amesema bandari ya Dar es Salaam imefanya maboresho katika kina cha maji na ununuzi wa vitendea kazi vya kisasa.
Amesema mwanzo kulikuwapo na kina cha mita nane hadi 12.7 sasa hivi kipo 14.5 chenye uwezo wa kuingiza meli yenye urefu wa mita 305 na kina 13.5.
"Hii ni historia kwetu hapo mwanzoni tulikuwa tunaingiza meli zenye urefu wa mita 267, tumeongeza uwezo wa bandari yetu ya Dar es Salaam katika uingizaji wa meli.
"Uwezo wa utendaji kazi wa bandari ya Dar es Salaam utazidi kuimarika zaidi kwa sababu hivi sasa tuna mwekezaji mpya DP World aliyeanza kazi na mabadiliko yameonekana mfano ni meli hii kubwa,"amesema Gallus.
Gallus amefafanua kuwa katika usafirishaji ukipokea meli kubwa unaongeza kiwango cha mizigo unaokuja katika bandari husika sambamba na kupunguza gharama za usafirishaji wa mizigo.
Pia Soma
- Bandari ya Dar es salaam yazidi kupokea meli kubwa duniani
Hapo kidogo inaleta mantikiKuongeza kina cha bandari kulifanyika wakati wa Magufuli kupitia mkopo wa dola bilioni 1. Hawa DP W kunatengenezwa vihabari vya kipuuuzi na vya kijinga kwa dhamira ya kutaka kufukia ushenzi ule uliomo kwenye IGA. Lakini hilo halitawezekana.
Wangekuwa na akili, (japo tunajua rushwa kubwa iliwapofusha), wangehangaika na kubadilisha vipengere vya kihuni kwenye ile IGA ya kishenzi kuliko IGA zote Duniani.
Jamaa wenye akili zenye mipaka hawawezi kuelewa maana ya meli kubwa kufika na kuhudumiwa pale TPA wao wanakuja na akili zile zile kwamba tunaibiwa!.Haya Sasa DP World wameanza kufanya Yao Dar Port Kwa kuleta meli kubwa zaidi ,urefu zaidi ya mita 300👇👇
Kampuni ya DP World iliyoingia ubia na Serikali kwa ajili ya uwekezaji kwenye bandari ya Dar es Salaam imeingiza meli ya kwanza yenye urefu wa mita 294.12 ikiwa ni sehemu ya utekelezaji na maboresho yanayofanywa na kampuni hiyo katika kuendesha bandari hiyo.
Hayo yameelezwa na meneja mizigo mchanganyiko wa Mamlaka ya Bandari nchini TPA, Abed Galusi.
My Take
Kasi ya kuondoa mzigo ili.kuepusha Msongamano itaendana? 👇👇
Meli kubwa ya MSC ADU V iliyobeba makasha 4,000 imetia nanga katika bandari ya Dar es Salaam, ikiwa ni kwa mara ya kwanza kwa meli yenye mzigo mkubwa wa makontena kuwasili Tanzania.
MSC ADU V iliyotengenezwa mwaka 2005 ina urefu wa mita 294.12 unaokaribiana na viwanja vitatu vya mpira wa miguu imetia nanga leo Jumamosi Juni 22, 2024.
Akizungumza na wanahabari Kaimu Mkurugenzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Abeid Gallus amesema ujio wa meli hiyo umetokana na maboresho yaliyofanyika katika bandari hiyo na uwekezaji wa Kampuni ya DP- World.
Gallus amesema bandari ya Dar es Salaam imefanya maboresho katika kina cha maji na ununuzi wa vitendea kazi vya kisasa.
Amesema mwanzo kulikuwapo na kina cha mita nane hadi 12.7 sasa hivi kipo 14.5 chenye uwezo wa kuingiza meli yenye urefu wa mita 305 na kina 13.5.
"Hii ni historia kwetu hapo mwanzoni tulikuwa tunaingiza meli zenye urefu wa mita 267, tumeongeza uwezo wa bandari yetu ya Dar es Salaam katika uingizaji wa meli.
"Uwezo wa utendaji kazi wa bandari ya Dar es Salaam utazidi kuimarika zaidi kwa sababu hivi sasa tuna mwekezaji mpya DP World aliyeanza kazi na mabadiliko yameonekana mfano ni meli hii kubwa,"amesema Gallus.
Gallus amefafanua kuwa katika usafirishaji ukipokea meli kubwa unaongeza kiwango cha mizigo unaokuja katika bandari husika sambamba na kupunguza gharama za usafirishaji wa mizigo.
=====
KWA UFUPI..
TPA katika kutimiza azima yake ya kuhudumia meli kubwa, mnamo tarehe 22/6/2014 imepokea meli kubwa ya makasha yenye urefu wa mita 294 sawa na ukubwa wa Panamax. Meli ya MSC ADU 5 ikiwa imezamisha kina cha mita 12.5 (draft). Hi ni matokeo ya maboresho ya kuongeza kina cha lango toka mita 10.2 hadi mita 15.0 na maeneo ya maegesho kwa mita 14.5 toka mita 8.7 za hapo awali. Hongera Mkurugenzi Mkuu na wafanyakazi wote wa TPA kwa jihudi kubwa za kuiletea nchi matokeo chanya. Kazi iendelee, hizi ni added hints kwa yoyote anayetaka kuzitumia ruksa
Pia Soma
- Bandari ya Dar es salaam yazidi kupokea meli kubwa duniani
Hayo makontena ndiyo yataondoka na vyetu
Haya Sasa DP World wameanza kufanya Yao Dar Port Kwa kuleta meli kubwa zaidi ,urefu zaidi ya mita 300👇👇
Kampuni ya DP World iliyoingia ubia na Serikali kwa ajili ya uwekezaji kwenye bandari ya Dar es Salaam imeingiza meli ya kwanza yenye urefu wa mita 294.12 ikiwa ni sehemu ya utekelezaji na maboresho yanayofanywa na kampuni hiyo katika kuendesha bandari hiyo.
Hayo yameelezwa na meneja mizigo mchanganyiko wa Mamlaka ya Bandari nchini TPA, Abed Galusi.
My Take
Kasi ya kuondoa mzigo ili.kuepusha Msongamano itaendana? 👇👇
Meli kubwa ya MSC ADU V iliyobeba makasha 4,000 imetia nanga katika bandari ya Dar es Salaam, ikiwa ni kwa mara ya kwanza kwa meli yenye mzigo mkubwa wa makontena kuwasili Tanzania.
MSC ADU V iliyotengenezwa mwaka 2005 ina urefu wa mita 294.12 unaokaribiana na viwanja vitatu vya mpira wa miguu imetia nanga leo Jumamosi Juni 22, 2024.
Akizungumza na wanahabari Kaimu Mkurugenzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Abeid Gallus amesema ujio wa meli hiyo umetokana na maboresho yaliyofanyika katika bandari hiyo na uwekezaji wa Kampuni ya DP- World.
Gallus amesema bandari ya Dar es Salaam imefanya maboresho katika kina cha maji na ununuzi wa vitendea kazi vya kisasa.
Amesema mwanzo kulikuwapo na kina cha mita nane hadi 12.7 sasa hivi kipo 14.5 chenye uwezo wa kuingiza meli yenye urefu wa mita 305 na kina 13.5.
"Hii ni historia kwetu hapo mwanzoni tulikuwa tunaingiza meli zenye urefu wa mita 267, tumeongeza uwezo wa bandari yetu ya Dar es Salaam katika uingizaji wa meli.
"Uwezo wa utendaji kazi wa bandari ya Dar es Salaam utazidi kuimarika zaidi kwa sababu hivi sasa tuna mwekezaji mpya DP World aliyeanza kazi na mabadiliko yameonekana mfano ni meli hii kubwa,"amesema Gallus.
Gallus amefafanua kuwa katika usafirishaji ukipokea meli kubwa unaongeza kiwango cha mizigo unaokuja katika bandari husika sambamba na kupunguza gharama za usafirishaji wa mizigo.
=====
KWA UFUPI..
TPA katika kutimiza azima yake ya kuhudumia meli kubwa, mnamo tarehe 22/6/2014 imepokea meli kubwa ya makasha yenye urefu wa mita 294 sawa na ukubwa wa Panamax. Meli ya MSC ADU 5 ikiwa imezamisha kina cha mita 12.5 (draft). Hi ni matokeo ya maboresho ya kuongeza kina cha lango toka mita 10.2 hadi mita 15.0 na maeneo ya maegesho kwa mita 14.5 toka mita 8.7 za hapo awali. Hongera Mkurugenzi Mkuu na wafanyakazi wote wa TPA kwa jihudi kubwa za kuiletea nchi matokeo chanya. Kazi iendelee, hizi ni added hints kwa yoyote anayetaka kuzitumia ruksa
Pia Soma
- Bandari ya Dar es salaam yazidi kupokea meli kubwa duniani