DPP amuondolea shtaka Abdallah Zombe

DPP amuondolea shtaka Abdallah Zombe

Hawa wanasheria wana toka taasisi IPI??Au tasisi yetu inayoshindwa kila kesi inayolihusu Taifa
 
Hivi hii kesi si ndio ile mashahidi wote walikufa kwa nyakati tofauti tofauti?


Katika vitu ambavyo hawajajua kuwa kwenye kesi hii watu wamepoteza ushahidi, na hii hufanywa na viongozi wengi wa serikali kabla ya kuiba hua wanaangalia ni kifungu gani cha sheria kinaweza kuwatia hatiani ambapo hukitengenezea mazingira ya kukikwepa, kwenye kesi ya zombe ili sheria imtie hatiani zombe ni lazima yule askari aliyeshika bunduki na kufyatua risasi na kumaliza uhai wa wale wafanyabiashara akiri kosa halafu kwenye maelezo yake ndiyo aseme niwaua hawa wafanyabiashara kwa amri niliyopewa na mkuu wangu wa kazi ambaye ni zombe, basi hapo sheria ingemtia hatiani na yeye, sasa yule mwenye kutoa ushahidi huo ama aliuawa au alikimbia maana mpaka sasa duniani hayupo na ahera anatafutwa
 
Naandika haya kwa uchungu mkubwa. Ingawa kwasasa sifanyi kazi za kiwakili,nafahamu vyema taratibu za kiwakili kuanzia mahakama ya Mwanzo hadi ya Rufani. Nafahamu kwakuwa nami ni Msomi wa Sheria. Nafahamu kuwa rufaa huchipu,kumea na kujikita kwenye shauri au kesi ya mwanzo. Hakuna nafasi,kwenye rufaa,kuweka mambo au kesi mpya. Hata kama kwasasa nafanya siasa za CCM,hayo nayajua na yamenikaa.

Sasa kuna rufaa katika Mahakama ya Rufani iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini almaarufu kama DPP. DPP anapinga uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania kumwachia huru aliyekuwa Kamishna Msaidizi wa Polisi Abdallah Zombe na wenzake. Washtakiwa hao ambao sasa ni Warufaniwa walikuwa wakishtakiwa kwa kosa la mauaji. Hakukuwa na shtaka la kuficha wahalifu.

Sasa,zinachomoza ripoti kuwa DPP amewasilisha rufaa yake Mahakama ya Rufani kukiwa na shtaka jipya:kuficha wahalifu. Narudia tena,kama Mwanasheria na kada mbobezi wa CCM,kuwa rufaa haipaswi kuwa na jambo jipya. Kama kinachosemwa ni kweli,DPP must go. Kama kinachoandikwa ni kweli,Zombe na wenzake watashinda kiulaini. DPP sasa ni Ndugu Biswalo Mganga.

Siamini kwanza kisemwacho kwakuwa hakiwezekani!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Sasa nimebaini kumbe Serikali inaajiri mawakili wasio na viwango na wale wenye viwango wanaangukia kuwa wa kujitegemea. Hili la Zombe kushitakiwa kwa kuficha wahalifu DPP hakuliona mwanzo. Na kama Zombe alificha wahalifu kwa nafasi yake je Kamanda Tibaigana aliyekuwa juu ya Zombe DCI na IGP mbona hawakuwakamata au nao watashitakiwa baadaye.
 
Zombe huyu huyu ndiyo yule aliohusiswa na wafanya biashara wa madini Morogoro miaka ile na Mauaji mengine 2006 Dar es salaam yaliyoleta utata mwingi akiusishwa na kina Tibaigana enzi zile za mauaji ya watu waliokuja kugundulika hawakuwa majambaz...Na sasa hii tena na zote anachomoa....
Mahakama ya MUNGU inamsubiri amuulize Ditto . Janja nyingi lakini bado kesi inaibuka tu, hivi haoni MUNGU anasema kwa sauti. Sikiliza MUNGU anasema nawe kuwa mtiifu kwa MUNGU. Yona alifanya Janja Janja lakini aliishia kwenye tumbo ya Nyangumi.
 
Mbona tulimshambulia sana Rais aliposema kuwa DPP alihusika kuihujumu serikali kwenye kesi ya Samaki wa Magufuli?
 
Naandika haya kwa uchungu mkubwa. Ingawa kwasasa sifanyi kazi za kiwakili,nafahamu vyema taratibu za kiwakili kuanzia mahakama ya Mwanzo hadi ya Rufani. Nafahamu kwakuwa nami ni Msomi wa Sheria. Nafahamu kuwa rufaa huchipu,kumea na kujikita kwenye shauri au kesi ya mwanzo. Hakuna nafasi,kwenye rufaa,kuweka mambo au kesi mpya. Hata kama kwasasa nafanya siasa za CCM,hayo nayajua na yamenikaa.

Sasa kuna rufaa katika Mahakama ya Rufani iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini almaarufu kama DPP. DPP anapinga uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania kumwachia huru aliyekuwa Kamishna Msaidizi wa Polisi Abdallah Zombe na wenzake. Washtakiwa hao ambao sasa ni Warufaniwa walikuwa wakishtakiwa kwa kosa la mauaji. Hakukuwa na shtaka la kuficha wahalifu.

Sasa,zinachomoza ripoti kuwa DPP amewasilisha rufaa yake Mahakama ya Rufani kukiwa na shtaka jipya:kuficha wahalifu. Narudia tena,kama Mwanasheria na kada mbobezi wa CCM,kuwa rufaa haipaswi kuwa na jambo jipya. Kama kinachosemwa ni kweli,DPP must go. Kama kinachoandikwa ni kweli,Zombe na wenzake watashinda kiulaini.

Siamini kwanza kisemwacho kwakuwa hakiwezekani!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Mzee tupatupa wa Lumumba,heshima yako mkuu;Watanzania kwa sasa
Tunahitaji kujua na pia kukatiwa rufaa watuhumiwa wa escrow waliosafishwa na kurudishwa bungeni na kupewa nyadhifa zao walizovuliwa na mama Anne Makinda Mh Speaker wa bunge la 10,kwa kukosa maadili na kuhusika kwenye tuhuma kubwa ya escrow.
Tunahitaji kujua kesi zinaendeleaje za wale waliohujumu TRA na Bandari mabilion ya hela,wakasimamishwa na wengine kufukuzwa kazi tukaambiwa upelelezi unaendelea watafikishwa mahakamani.
Tunahitaji kujua wale wote waliotumbuliwa majipu na wakiwa kama Madirectors wa taasis mbalimbali,wakuu wa idara za serikali,makamishina wa taasis mbalimbali na viongozi wa kurugenzi wa jiji walioitia hasara serikali wamechukuliwa hatua gani baada ya kutumbuliwa majipu? Wajumbe wa bodi mbalimbali zilizovunjwa na kuahidi wakamatwe na pia wachunguzwe na kufikishwa mahakamani kwa kuitia hasara serikali.Baadhi ya wabunge wa jamhuri ya muungano walioplan rushwa ya shs mil.30 mwenendo wa kesi zao uko salama? Je DPP ameshawaandalia mashitaka? ameshareact juu ya hizi issues?
 
Naandika haya kwa uchungu mkubwa. Ingawa kwasasa sifanyi kazi za kiwakili,nafahamu vyema taratibu za kiwakili kuanzia mahakama ya Mwanzo hadi ya Rufani. Nafahamu kwakuwa nami ni Msomi wa Sheria. Nafahamu kuwa rufaa huchipu,kumea na kujikita kwenye shauri au kesi ya mwanzo. Hakuna nafasi,kwenye rufaa,kuweka mambo au kesi mpya. Hata kama kwasasa nafanya siasa za CCM,hayo nayajua na yamenikaa.

Sasa kuna rufaa katika Mahakama ya Rufani iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini almaarufu kama DPP. DPP anapinga uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania kumwachia huru aliyekuwa Kamishna Msaidizi wa Polisi Abdallah Zombe na wenzake. Washtakiwa hao ambao sasa ni Warufaniwa walikuwa wakishtakiwa kwa kosa la mauaji. Hakukuwa na shtaka la kuficha wahalifu.

Sasa,zinachomoza ripoti kuwa DPP amewasilisha rufaa yake Mahakama ya Rufani kukiwa na shtaka jipya:kuficha wahalifu. Narudia tena,kama Mwanasheria na kada mbobezi wa CCM,kuwa rufaa haipaswi kuwa na jambo jipya. Kama kinachosemwa ni kweli,DPP must go. Kama kinachoandikwa ni kweli,Zombe na wenzake watashinda kiulaini. DPP sasa ni Ndugu Biswalo Mganga.

Siamini kwanza kisemwacho kwakuwa hakiwezekani!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
tuko pamoja kwa hili
 
Hakuwa huyu. Alikuwa Jaji Feleshi

Mzee Tupatupa[/QUOTE
DPP sio mtu bali Ofisi, kama ofisi ya DPP kwa maana ya wahauri wake hawako makini huyo DPP atabaki kushindwa kila kesi, mara nyingi Serikali inapoteza kwenye kesi isipokuwa za Ubunge.
 
Sasa nimebaini kumbe Serikali inaajiri mawakili wasio na viwango na wale wenye viwango wanaangukia kuwa wa kujitegemea. Hili la Zombe kushitakiwa kwa kuficha wahalifu DPP hakuliona mwanzo. Na kama Zombe alificha wahalifu kwa nafasi yake je Kamanda Tibaigana aliyekuwa juu ya Zombe DCI na IGP mbona hawakuwakamata au nao watashitakiwa baadaye.
Zombe amehusishwa ktk kesi kwa kuwa yeye kipindi kile alikuwa ana kaimu u- RPC tibaigana alikuwa likizo hivyo Zombe ndiye alikuwa ametoa taarifa ya kuuawa wale jamaa akiwahusisha na tukio la ujambazi lililotokea maeneo ya kariakoo,hivyo hao wengine hawahusiki
 
Back
Top Bottom