DPP amuondolea shtaka Abdallah Zombe

DPP amuondolea shtaka Abdallah Zombe

Zombe huyu huyu ndiyo yule aliohusiswa na wafanya biashara wa madini Morogoro miaka ile na Mauaji mengine 2006 Dar es salaam yaliyoleta utata mwingi akiusishwa na kina Tibaigana enzi zile za mauaji ya watu waliokuja kugundulika hawakuwa majambaz...Na sasa hii tena na zote anachomoa....
Ni ile ile ya mwaka 2006 mkuu
 
Tatizo moja hao ma DPP wanatumika na wakubwa kufanya wana siasa wanavyotaka! Sio kama hajui analofanya ni upuuzi dunia nzima inashangaa ila hana jinsi wana siasa wakitaka lao linakuwa! Wajua w siasa wanawatumia , jeshi polisi kwenye mambo yao hasa kuwapunguz kasi wapinzani.....(Kesi ya waliomuua Mwangosi alipandisha cheo amestaafu na mafao ya kamishna)...hivyo hawawezi kuwaacha, wanalindana!!
 
Hawa ma DPP sina imani nao tena yaani mtu amekamatwa ana hujumu uchumi kwa kuiba mafuta ya Pipe ya Zambia na Tanzania kisha DPP anasema hana nia ya kuendelea na kesi.
 
Mwendesha mashataka wa Serikali(DPP) amemuondolea kosa la mauaji aliyekuwa mkuu wa upelelezi MKoa wa Dar, Abdala Zombe.

Amebakiwa na shtaka la kuficha wahalifu.

======================
.
Hivi Kasusura yupo kweli duniani hapa?
 
Back
Top Bottom