Ni ile ile ya mwaka 2006 mkuuZombe huyu huyu ndiyo yule aliohusiswa na wafanya biashara wa madini Morogoro miaka ile na Mauaji mengine 2006 Dar es salaam yaliyoleta utata mwingi akiusishwa na kina Tibaigana enzi zile za mauaji ya watu waliokuja kugundulika hawakuwa majambaz...Na sasa hii tena na zote anachomoa....
Ndiyo mkuu,nia imepotea.....Hawa ma DPP sina imani nao tena yaani mtu amekamatwa ana hujumu uchumi kwa kuiba mafuta ya Pipe ya Zambia na Tanzania kisha DPP anasema hana nia ya kuendelea na kesi.
Kwahiyo nia ya DPP ikipotea inamaanisha wahujumu uchumi waliokamatwa Red handed wanakuwa hawajatenda kosa?Ndiyo mkuu,nia imepotea.....
Naona DPP anapewa mamlaka makubwa kabisaHawa ma DPP sina imani nao tena yaani mtu amekamatwa ana hujumu uchumi kwa kuiba mafuta ya Pipe ya Zambia na Tanzania kisha DPP anasema hana nia ya kuendelea na kesi.
Mkuu Hata wewe ukiwa unaenda mahali Mara ghafla nia ya kwenda huko ikapotea si unaahirishaKwahiyo nia ya DPP ikipotea inamaanisha wahujumu uchumi waliokamatwa Red handed wanakuwa hawajatenda kosa?
Hivi Kasusura yupo kweli duniani hapa?Mwendesha mashataka wa Serikali(DPP) amemuondolea kosa la mauaji aliyekuwa mkuu wa upelelezi MKoa wa Dar, Abdala Zombe.
Amebakiwa na shtaka la kuficha wahalifu.
======================
.
HahahaMkuu Hata wewe ukiwa unaenda mahali Mara ghafla nia ya kwanza huko ikapotea si unaahirisha
Kuiba au kuhujumu mali za serikali ni kosa kisheria halihitaji nia ya DPP.Mkuu Hata wewe ukiwa unaenda mahali Mara ghafla nia ya kwenda huko ikapotea si unaahirisha