DPP Biswalo Mganga umewatesa watu wengi kwa kiburi cha madaraka!

DPP Biswalo Mganga umewatesa watu wengi kwa kiburi cha madaraka!

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Huyu kijana amebeba kilio Cha familia nyingi nchini, amewatesa watu kwakuwabambikia kesi huku akikusanya pesa za watu kwa mgongo wa uhujumu uchumi.

Ofisi yake imeoza kwa kukosa hofu ya Mungu nakujitwalia roho ya kikatili, niombe ifike mahali watu wa aina hii wasipewe nafasi nyeti hivi. Haki imepotea nchini kwa kukosa watu makini, senior state attorney wote wanajiona miungu watu Kama vile wao ni exptional kwenye hii nchi.

Hawa watu wamekuwa matajiri kupitia mfumo wa Bagaining ulioanzishwa kwa lengo lakukomesha wafanyabiashara na wanasiasa wa upinzani. Haya ni maisha tu ipo siku machungu ya wafanyabiashara yatasikika.
 
Huyu biswalo tumwachie Mungu kama tulivyomwachia hao wengine,Mungu ni mwaminifu siku zote.Kunawatu wameonea Sana watu utawala huu ila hakika majibu yake tunaendelea kuyapata.
 
Huyu bwana kafanya kazi mihemuko sana sana awamu ya tano. Yaani ameumiza watu huyu - acha kabisa

Hivi kwa u-turn ya 360% ya Mama against mambo ya awamu ya tano kwa sasa hivi huyu bwana anajionaje?

Kumbka hakuwahi kabisa kutolea maelezo yale mabulunguta ya mahela ambayo aliyopokelea ofisini kwake badala ya Benki (mwenye picha anisaidie kuweka hapa)?

Huyu bwana hayupo tofauti na kundi la akina Sabaya la waporaji wa mali za watu. Mbaya sana kwa kweli.
 
Haya
20210409_055145.jpg
 
Back
Top Bottom