Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ana point, kashindwa kuielezea vizuri.Sylvester Mwakitalu - Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania (DPP) amesema hakukuwa na nia kwa Wakili kufungua kesi ya jinai labda kuna sababu nyingine ambayo haijafahamika na alichokifanya kuingilia kesi hii ni kutimiza majukumu yake kisheria kwa sababu leo ni kwa huyu (Mhe. Pauline Gekul) lakini kesho inaweza kuwa kwa mtu mwingine yoyote.
View attachment 2862327
Acha chupa bwashee, hebu jaribu kujiingizia dole gumba tu uone mziki wake!! Hakuna kidume chupa inaweza kupenya hata nusu sentimita! Labda kwa nyie vijana wa CDMUzuri Karma ipo,siku mtu wake wa karibu akiingiziwa chupa makalioni,atumie hii hii nguvu ya kumsafisha muhalifu.Namuonea sana yule kijana aliyefanyiwa ule ukatili.
Asante sana ccm tumewaelewa sana .Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania (DPP), Sylvester Mwakitalu amesema hakukuwa na nia kwa Wakili kufungua kesi ya jinai labda kuna sababu nyingine ambayo haijafahamika na alichokifanya kuingilia kesi hii ni kutimiza majukumu yake kisheria kwa sababu leo ni kwa huyu (Mhe. Pauline Gekul) lakini kesho inaweza kuwa kwa mtu mwingine yoyote.
Amesema aliyefungua keshi ya Gekul alipeleka chini ya Kifungu cha 128 (2) (4) na ile sio Private Prosecution. Na sheria imetoa mwanya pale mambo mtu aridhiki kwa namna DPP anaendesha mashtaka anaweza kuomba kuendesha mashtaka yeye.
Anasema kilichotokea kwa Pauline Gekul ni kwamba Polisi walikuwa wanaendelea na Uchaguzi, mara DPP anaona kesi imesajiliwa Mahakama. Ambapo alifutilia kuangalia kama utaratibu wa kifungu cha namba 128 umefuatwa maana yeye kama DPP hakuwa anajua.
Anasema Polisi walikuwa hawajafika mwisho na uchunguzi na walikuwa wanachunguza vitu viwili kwa sababu Gekul alienda Polisi kushtaki na aliyeshtakiwa na Gekul naye alienda kushtaki Polisi. Na hivyo aliamua kuondoa kesi hiyo mahakamani kwa mujibu wa sheria
Amesema majarada ya Pauline Gekul yamefika ofisini kwakwe na wanafanyia kazi na pengine wikii hii ama watashtaki au hawatashtaki na kuna jarada ambalo Gekul analalamika na ambalo analalamikiwa.
View attachment 2862327
Wasomi wa bongo ni wapigaji tu wala hakuna mwenye uchungu na watanzaniaHata sielewi huyu mtu ana maana gani. Yaani hizi ndo teuzi ,inazofanywa kizembe hadi nchi inaangukia mikononi mwa wsomi uchwara.
Nani anawajali mkuu?Duh kwa hiyo hao madogo hawajasokomezwa chupa mknddddn
Ova
Hio imeenda dogo Bora angevuta ile milioni 10 akafanye mishe zingine naona alipotoshwq na mawakili uchwara kina madereka.
Haki bongo pesa huna umaarufu huna sio kada
Bila kuiondoa ccm kamwe tusitegemee kupata haki.Tanzania viongozi wanafanya watakavyo kwa sababu ya uswaza wa sisi raia. Washenzi kama hawa hawana tofauti na vibaka na wanatakiwa kushughulikiwa kama vibaka.
Upelelezi ndiyo utasema yote,ni swala la muda tu! Kama kutakuwepo na ushahidi konki DPP lazima atasajili kesi Mahakamani hana jinsi,lakini kama kuna mauzauza yote tutajua!!Duh kwa hiyo hao madogo hawajasokomezwa chupa mknddddn
Ova
Nazidi kuichukia ccm kwa matukio ya hovyo kama haya.Uzuri Karma ipo,siku mtu wake wa karibu akiingiziwa chupa makalioni,atumie hii hii nguvu ya kumsafisha muhalifu.Namuonea sana yule kijana aliyefanyiwa ule ukatili.
Mtegemee matukio mengi ya kutisha kutoka kwa hawa watawala.Taifa limekwama sana, kufikia 2030 Tz sijui itakuwaje. Time will tell
Umeonaeeeeeee?Hata mm sijamwelewa.Naona sheria za Tanzania ni kwa ajili ya kuwalinda vigogo wa ccm na si wananchi.Hivi anamaanisha mm leo kwa Gekul kesho kwa mwingine hivi ndo sheria ziko hivi!
Lawama ni kwa wale wote waliochagua ccmHuyu DPP nimesikiliza mwanzo mwisho, ni magumashi tupu, sasa kwa nini aingilie kesi na kuifuta kwa technicality ? kwa nini yeye asifungue yake na tuone kwamba ameifungua na inaendelea? anatoa sababu lojolojo tu bila mpango. Sheria iachwe itiririke kama maji ya mtoni hadi baharini kwa majaji tuone kinachoendele, sio hizi incompitencies za hawa so called BPP...
Si Mama alisha mtenguwa!? Sasa atakuwaje tena boss wa DPP!?Waziri WA Sheria ni boss wa DPP Sasa unaweza mstaki boss wako kweli
Tatizo ni kuendekeza NJAAHii nchi ni ya kipumbafu sababu vijana wamegeuzwa kuwa daraja la watawala.wamepumbazwa na rushwa za watawala kwa kugeuzwa machawa.
Zimwi likujualoSi Mama alisha mtenguwa!? Sasa atakuwaje tena boss wa DPP!?
Kuna mawili hapoNani anawajali mkuu?