DPP: Hakukuwa na nia ya kufungua kesi ya Jinai dhidi ya Pauline Gekul

Hio imeenda dogo Bora angevuta ile milioni 10 akafanye mishe zingine naona alipotoshwa na mawakili uchwara kina madereka.
Haki bongo pesa huna umaarufu huna sio kada
Duh! Mbona hatari.
 
Kibatala hakujipeleka alitafutwa na kasi yake ni kutetea watu hana shamba mjini
 
Hvi mlifikiria nini nchi ikiongozwa na mwanamke
 
Hio imeenda dogo Bora angevuta ile milioni 10 akafanye mishe zingine naona alipotoshwq na mawakili uchwara kina madereka.
Haki bongo pesa huna umaarufu huna sio kada
Unatoa bikra kwa milioni 10? Acha upuuzi wewe, ndio maana tunakwama sana kwa akili kama hizi.

Njoo huku kuna mwamba ana milioni 10 akupe umalizane nae.
 
Unatoa bikra kwa milioni 10? Acha upuuzi wewe, ndio maana tunakwama sana kwa akili kama hizi.

Njoo huku kuna mwamba ana milioni 10 akupe umalizane nae.
Kapata haki gani sasa hata mia mbovu kakosa
 
Acha chupa bwashee, hebu jaribu kujiingizia dole gumba tu uone mziki wake!! Hakuna kidume chupa inaweza kupenya hata nusu sentimita! Labda kwa nyie vijana wa CDM
Amemdhulum vibaya mno huyu kijana, Hatakua Sawa hadi anaondoka duniani.Ila tu waliohusika kumfanyia hivyo malipo ni hapa hapa.
 
TUTAKUWA SERIOUS LINI KWELI HASA TASNIA YA SHERIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…