johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nauliza tu kwa wajuzi wa protokali huko wizara ya Katiba na Sheria.
Kutoka kuwa Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania hadi kuwa Jaji wa mahakama kuu kanda fulani, ni kupanda cheo au kubadili tu nafasi?
Ramadhan Kareem!
Kutoka kuwa Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania hadi kuwa Jaji wa mahakama kuu kanda fulani, ni kupanda cheo au kubadili tu nafasi?
Ramadhan Kareem!