DPP kuteuliwa kuwa Jaji ni promotion? Niliiona kwa Feleshi na sasa kwa Biswalo

DPP kuteuliwa kuwa Jaji ni promotion? Niliiona kwa Feleshi na sasa kwa Biswalo

Nauliza tu kwa wajuzi wa protokali huko wizara ya katiba na sheria.

Kutoka kuwa Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania hadi kuwa Jaji wa mahakama kuu kanda fulani, ni kupanda cheo au kubadili tu nafasi?

Ramadhan kareem!
Ni njia ya kumwondoa taratibu taratibu
 
Nauliza tu kwa wajuzi wa protokali huko wizara ya katiba na sheria.

Kutoka kuwa Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania hadi kuwa Jaji wa mahakama kuu kanda fulani, ni kupanda cheo au kubadili tu nafasi?

Ramadhan kareem!
Kiitifaki kapanda cheo....judge wa mahakama kuu kiprotocal ni superior kiposition kwa DPP
 
Nauliza tu kwa wajuzi wa protokali huko wizara ya katiba na sheria.

Kutoka kuwa Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania hadi kuwa Jaji wa mahakama kuu kanda fulani, ni kupanda cheo au kubadili tu nafasi?

Ramadhan kareem!
ni promotion though cheo cha DPP ni sawa tu na cheo cha jaji. ila kwa jaji ni bora zaidi kwasababu mafao yake makubwa na atakula mshahada hata akistaafu ataendelea kupokea fweza. kwahiyo kwa lugha nyingine ni promotion.
 
Kivipi bwashee?
Alipokuwa DPP budget yote ya ofisi ilikuwa chini yake, alikuwa anaongea na Rais moja kwa moja maana mshtaka yote ya jinai nchini yapo chini yake, in short hata deals zote zipo kwake.

Huko kwenye ujaji ataishia kusikiliza kesi na kulipwa mshahara wa milioni sita akipigwa na makato anabaki wa kawaida tu halafu Hana command popote zaidi ya kusubiri kupangiwa kesi za kusikiliza.

Ila heri ametolewa pale, nadhani ndiye DPP aliyewahi kuchukiwa sana hapa nchini sababu ya kiherehere chake.

Ana bahati kile cheo kinalindwa na Sheria kama CAG so huwezi kumfukuza labda abadilishwe kazi au astaafu otherwise angekula buyu.
 
ni promotion though cheo cha DPP ni sawa tu na cheo cha jaji. ila kwa jaji ni bora zaidi kwasababu mafao yake makubwa na atakula mshahada hata akistaafu ataendelea kupokea fweza. kwahiyo kwa lugha nyingine ni promotion.
Ni promotion Ila ujaji hauna dili kama alipokuwa DPP maana hela yote alikuwa anasimamia yeye na madeal kibao ya nolle proasequi.

Yani ni sawa na polisi ateuliwe kuwa mpambe wa IGP au umwambie awe trafiki, atakuambia heri awe trafiki tu. Maana anajua wapi kuna maslahi Ila kama ni boya atakimbilia kuwa mpambe.
 
Alipokuwa DPP budget yote ya ofisi ilikuwa chini yake, alikuwa anaongea na Rais moja kwa moja maana mshtaka yote ya jinai nchini yapo chini yake, in short hata deals zote zipo kwake.

Huko kwenye ujaji ataishia kusikiliza kesi na kulipwa mshahara wa milioni sita akipigwa na makato anabaki wa kawaida tu halafu Hana command popote zaidi ya kusubiri kupangiwa kesi za kusikiliza.

Ila heri ametolewa pale, nadhani ndiye DPP aliyewahi kuchukiwa sana hapa nchini sababu ya kiherehere chake.

Ana bahati kile cheo kinalindwa na Sheria kama CAG so huwezi kumfukuza labda abadilishwe kazi au astaafu otherwise angekula buyu.
Bora ulivyomjibu
 
Nauliza tu kwa wajuzi wa protokali huko wizara ya Katiba na Sheria.

Kutoka kuwa Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania hadi kuwa Jaji wa mahakama kuu kanda fulani, ni kupanda cheo au kubadili tu nafasi?

Ramadhan Kareem!
Kati ya 1972 - 1976 tukirejea kumbukumbu, Chief Justice (rtd) Barnabas Samatta, aliwahi kuwa DPP na baada ya hapo kuteuliwa kuwa jaji wa mahakama kuu, baadae jaji Kiongozi kama alivyo Jaji Feleshi ambae ane alikuwa DPP kabla ya kuteuliwa na Rais Kikwete kuwa jaji wa Mahakama Kuu 2014, ambae 2028 aliteuliwa kuwa jaji kiongozi.

Bila shaka huenda kuna ma-DPP wengine pia wamewahi kuteuliwa kuwa majaji
 
Back
Top Bottom