DPP kuteuliwa kuwa Jaji ni promotion? Niliiona kwa Feleshi na sasa kwa Biswalo

DPP kuteuliwa kuwa Jaji ni promotion? Niliiona kwa Feleshi na sasa kwa Biswalo

Kati ya 1972 - 1976 tukirejea kumbukumbu, Chief Justice (rtd) Barnabas Samatta, aliwahi kuwa DPP na baada ya hapo kuteuliwa kuwa jaji wa mahakama kuu, baadae jaji Kiongozi kama alivyo Jaji Feleshi ambae ane alikuwa DPP kabla ya kuteuliwa na Rais Kikwete kuwa jaji wa Mahakama Kuu 2014, ambae 2028 aliteuliwa kuwa jaji kiongozi.

Bila shaka huenda kuna ma-DPP wengine pia wamewahi kuteuliwa kuwa majaji
2028?
 
Ni promotion Ila ujaji hauna dili kama alipokuwa DPP maana hela yote alikuwa anasimamia yeye na madeal kibao ya nolle proasequi.

Yani ni sawa na polisi ateuliwe kuwa mpambe wa IGP au umwambie awe trafiki, atakuambia heri awe trafiki tu. Maana anajua wapi kuna maslahi Ila kama ni boya atakimbilia kuwa mpambe.
Upambe wa IGP unategemea na kichwa chako, usilinganishe na kazi za ajabu Traffic. Kuonea watu, kubahatisha, kuvizia na kubambika.
 
Back
Top Bottom