nilijua nitapingwa kumbe nitaunga mkono.asante shekhe wangu! hawa watu wanaotaka kutengeneza mazingira ya uadui kwa hoja za kutengeneza tuwakosoe.
huyu msangi si ndio alihusika kumtesa ulimboka!! Kama yeye kahusika ujue na ramadhani ighondu naye atakuwepo kuzuia hayo maandamano. Hapo ni hatari, ndugu zangu waislam hawa jamaa msangi na ighondu ni hatari sana, ni heri muwe na subra hadi wanazuoni wamuone dpp kuliko kurisk kutolewa kucha na meno kwa spana
huu ndio mfumo kristo na kudhihirisha dhulma na chuki dhidi ya waislam,kosa la kumnyima mtu dhamana ni mauaji na uhaini,lkn kesi ya madai haimyimi mtu dhamana.mbona lulu alieua kapewa dhamana au kwa kua si mwislam?mbona mtikila ametukana na kuchochea lkn DPP hakumyima dhamana?kwa kua ni mtu wa kanisa?waislam hatupaswi kurudi nyuma ktk maandamano ya kesho endapo ponda hatapewa dhamana leo.tupo tayari kufa kupinga dhulma dhidi ya waislam.maana serikali yetu hupata akili mpaka wakishuhudia mauaji
ndio maana unaona biashara zote hapa tz ni za waislam,maana kwenye sekta ya umma au rasmi wanaitwa magaidibaadhi ya waislam wa tanzania full vichekesho,badala ya kutafuta jinsi ya kutoka kimaisha wao wapo bize na ujingaujinga
Mkuu ndio maana na mashaka sana na hizi dini,Mungu gani aliyeturuhusu kuuana na kuchinjana.Bora niwe RASTAFARIAN yaani peace and love.mie nashangaa sana!ukristo,uyahudi na uislam ni dini zinazoonekana dhahiri kuwa na chanzo kimoja kihistoria (ibrahim)kutokana na kufanana sana mafundisho yake mengi.lakini wenye dini hizo wanavyotoana damu utasema hawa wametokea mars,wale jupita na wale wengine neptune...taabu tupu!kweli shetani mbaya!laiti ibrahim angefufuka leo hii kwa dk tano tu,asingezimaliza,angeangusha tena kwa HEART ATTACK!
mie nashangaa sana!ukristo,uyahudi na uislam ni dini zinazoonekana dhahiri kuwa na chanzo kimoja kihistoria (ibrahim)kutokana na kufanana sana mafundisho yake mengi.lakini wenye dini hizo wanavyotoana damu utasema hawa wametokea mars,wale jupita na wale wengine neptune...taabu tupu!kweli shetani mbaya!laiti ibrahim angefufuka leo hii kwa dk tano tu,asingezimaliza,angeangusha tena kwa HEART ATTACK!
Polisi na DPP ni waongo! Hakuna Al-Shabab Tanzania.
Watamwachia tu! Ni janja ya ccmPonda apatiwe dhamana, mbona 2010 maCCM yamemtumia sana, sasa hivi kawageuka wanaanza kutapatapa, ba mwanaisha tutakukumbuka sana
mufti si kiongozi wa waislam bali na msaidizi wa pengo.ndio mana kanisa linahusika kuishinikiza serikali kumdhibiti ponda.lkn mnajidanganya taifa likiingia ktk machafuko hakuna atakae salimika.mapadri na maaskofu mtakimbia kama ilivyokua burunxi na rwanda.ipo siku tutaheshimiana.ponda kiongozi wa waislam anaepigania haki na maslahi ya waislam.bakwata wameuzwa karibu mali zote za waislam halafu mnataka waislam waendelee kuwatazama eti wanasubira.subira imefika mwisho tupo tayari kwa lolote.
tunajua Marekani wameewafundisha ya kuwa Kila muislam ni GAIDI!!!hakuna marefu yasiyo na ncha!!ALLAH yupo na Waislam
tunajua Marekani wameewafundisha ya kuwa Kila muislam ni GAIDI!!!hakuna marefu yasiyo na ncha!!ALLAH yupo na Waislam