DPP wa Tanzania amepora uhuru wa mahakama, Mahakama nayo imeridhia

Daah ila huyo DPP kabla alikuwa anafanya kazi gani?
 
Yajayo yanatamausha!

DPP,TRA, WANACHUKUA kwa watuhumiwa na wafanyabiashara, WANAWEKA Hazina, WAAH Kwenye miradi mikubwa.
 
Mimi ningekuwa hakimu au jaji sikopeshi

Ukileta kesi isiyo na ushahidi kamili nakupangia tarehe ukija second time. Bila ushahidi naidismis kesi fasta

Ujinga ujinga
 
Nyerere ndie aliyeweka misingi mibovu Sana ya katiba hii aliyokopi toka kwa makomunist.
 
DPP ndio amekuwa mahakama, na
Mahakama inamsikiliza DPP , Leo viongozi wa uwamsho miaka 6 uchunguzi bado haujakamilika, hao
Mashahidi si washakufa??
 
Hivi Mganga yeye hawezi kushitakiwa kwa jambo lolote?
 
Siku hizi Mahakama ndo inaonekana kama ni kitengo tu cha serikali na DPP ndo mhimili wa dola. Yaaani mahakama inachezewa na kudharauliwa Kama mtoto mdogo.

Inasikitisha sana. Mahakama yenye majaji ambao walikuwa na uwezo wa kumgomea hadi Nyerere sasaivi inaendeshwa na mtu mmoja DPP
 
Mimi ningekuwa hakimu au jaji sikopeshi

Ukileta kesi isiyo na ushahidi kamili nakupangia tarehe ukija second time. Bila ushahidi naidismis kesi fasta

Ujinga ujinga
Ndivyo inatakiwa mkuu.

Tatizo weledi umekuwa adimu sanaa, na siasa imejikita huko kinyume na matakwa ya Katiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…