DPP: Zaidi ya watuhumiwa 300 wa Uhujumu uchumi walioomba kukiri makosa wamekubaliwa na kuachiwa huru

DPP: Zaidi ya watuhumiwa 300 wa Uhujumu uchumi walioomba kukiri makosa wamekubaliwa na kuachiwa huru

Safiiii, very good, zamani kabla ya serikali ya awamu ya tano hawa mafisadi, wahujumu uchumi walikuwa hawaguswi, walikuwa miungu watu, sasa sheria inafuata mkondo wake, sio maskini tu kama sisi ndio tulikuwa tunaonewa, sasa binadamu wote ni sawa mbele ya sheria, na walipe mabilioni waliyoibia nchi yetu. Safi JPM
 
Safiiii, very good, zamani kabla ya serikali ya awamu ya tano hawa mafisadi, wahujumu uchumi walikuwa hawaguswi, walikuwa miungu watu, sasa sheria inafuata mkondo wake, sio maskini tu kama sisi ndio tulikuwa tunaonewa, sasa binadamu wote ni sawa mbele ya sheria, na walipe mabilioni waliyoibia nchi yetu. Safi JPM
Ok!
 
Nenda kasome kwanza upya plea bargain ni nini ndiyo uje kuchangia hapa. Huelewi kitu wewe Kifaurongo
Sheria imejadiliwa na kupitishwa Bungeni, nikasome nini tena? Kasome wewe unaoyumbishwa na watu walioipitisha sasa wanajifanya hawaijui vizuri.
 
Toka lini plea bargain ikasimamiwa na DPP kwenye nchi inayofuata "Rule of Law"? Unafanyaje plea bargain kwenye maziingira ambayo upelelezi haujakamilika?

Ukweli ni kwamba plea bargain inayofanywa iko kinyume cha sheria na ni kichaka cha kujipatia fedha toka kwa waliolengwa. Ni unyang'anyi wa mchana unaofanywa purposefully na Jiwe na Biswalo Mganga.
Biswalo Mganga, Mungu wako amekufa, ngoja tuone ufedhuli wenu
 
Mkurugenzi wa mashtaka mh Biswalo Mganga amesema zaidi ya watuhumiwa 300 wa makosa ya uhujumu uchumi walioomba kukiri makosa wamekubaliwa na kuachiwa huru.

DPP amesisitiza kuwa zoezi hilo linafanywa kwa mujibu wa sheria iliyopitishwa na bunge na kwamba hisia kuwa hiyo ni njia ya kuiingizia serikali mapato hazina msingi wala ukweli wowote.

DPP ameyasema hayo akiwa ziarani mkoani Tabora.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Like zoezi lilikuwa ni dhuluma ya mchana tu. Angalia na ripoti ya CAG ya mwaka huu, halafu rudi usome uzi huu uone watu walivyotiririka
 
Sheria imejadiliwa na kupitishwa Bungeni, nikasome nini tena? Kasome wewe unaoyumbishwa na watu walioipitisha sasa wanajifanya hawaijui vizuri.
Ilikuwa sheria ya kipumbafu iliyopitishwa na bunge la kipumbafu kumfurahisha DIKTETA mpumbafu. Tushukuru Mungu ameingilia kati mwaka jana Machi 17!!
 
Safiiii, very good, zamani kabla ya serikali ya awamu ya tano hawa mafisadi, wahujumu uchumi walikuwa hawaguswi, walikuwa miungu watu, sasa sheria inafuata mkondo wake, sio maskini tu kama sisi ndio tulikuwa tunaonewa, sasa binadamu wote ni sawa mbele ya sheria, na walipe mabilioni waliyoibia nchi yetu. Safi JPM
Aisee....mliinyoosha nchi kwa kweli
 
Back
Top Bottom