DPW Special Thread: Uzi maalumu kuhusu kampuni ya DP World

DPW Special Thread: Uzi maalumu kuhusu kampuni ya DP World

Ni wakati Sasa kama wazalendo tuwaombe radhi DP world Kwa kuwaghasi Kwa kejeli za kila namna.
1. Wao hawakujileta wenyewe nchini na wamefuata utaratibu wa makubaliano na mikataba halali.
2. Ikiwa Kuna kasoro iweje lawama apewe DP World? wao ni wafanyabiashara wanaangalia penye faida. Kama mmeshindwa ku-negotiate sio shida zake.
Waulize Djibouti
 
3 [emoji845]MUHIMU ISOME[emoji845]
#Tanzania
Katika ripoti ya @WorldBankAfrica ghafla DP World imeibuka [emoji2957]
Sasa ngoja niwaeleweshe [emoji1484]

Sehemu ya mkopo na msaada wa $421 milioni kuna pesa ya kujenga mfumo wa IT wa bandari kupitia TPA. Ripoti ya Benki ya Feb 2023 walisema hakuna maendeleo ILA TPA imesema imeingia makubaliano (MoU) na DP World kujenga mfumo huu wa IT [emoji845][emoji32]

ELEWENI: DP World watalipwa kutoka pesa hizi za mkopo wa Benki ya Dunia kusaidia “mifumo isomane” hawawekezi[emoji845]
Pili kwa mujibu wa serikali walisema ile MoU ya TPA na DPW ni kuhusu mfumo wa IT (tunaambiwa ilisainiwa Feb 2022)
Imekuwaje consultancy ya DPW ya IT imegeuzwa kuwa IGA na tunatoa bandari zetu kwa kusema eti DPW watatusaidia mifumo isomane alafu tunawapa uendeshaji wa bandari ambao UMESHAKAMILIKA kwa uwekezaji mkubwa wa mradi huu?
Hii dili ilianza kama CONSULTANCY na kugeuzwa UPORAJI
Sasa @WBTanzania nyie mnasemaje maana tuna kesi na ninyi pia!View attachment 2676763View attachment 2676764

Sent using Jamii Forums mobile app
Du! Hawa majizi wametupiga pakubwa sana aisee!
 
Kama wewe una muda wa kwenda kuomba radhi ni wewe; Nenda kawaombe; ila kama tutakuwa tume-break terms sidhani kama radhi zako wanazitaka haya mambo yakienda mrama ni Pesa ndio zitaongea sio porojo...; Na bahati mbaya kama kutakuwa kuna malipo / fidia za kulipa basi ni watanzania ndio watagharamika....
 
Ni wakati Sasa kama wazalendo tuwaombe radhi DP world Kwa kuwaghasi Kwa kejeli za kila namna.
1. Wao hawakujileta wenyewe nchini na wamefuata utaratibu wa makubaliano na mikataba halali.
2. Ikiwa Kuna kasoro iweje lawama apewe DP World? wao ni wafanyabiashara wanaangalia penye faida. Kama mmeshindwa ku-negotiate sio shida zake.
watu kama wewe kuna siku Mungu akiisafisha hii nchi, mtabaki kama mapopo na makunguru kama walivyo sabaya na bashite sasaivi. kwasababu mmejaa unafiki na mnajali tu matumbo yenu hata kwenye vitu vya msingi wa nchi.
 
Iundwe tume ya wajumbe 50 iende Makao Makuu ya DP world kuomba radhi rasmi
 
Ni wakati Sasa kama wazalendo tuwaombe radhi DP world Kwa kuwaghasi Kwa kejeli za kila namna.
1. Wao hawakujileta wenyewe nchini na wamefuata utaratibu wa makubaliano na mikataba halali.
2. Ikiwa Kuna kasoro iweje lawama apewe DP World? wao ni wafanyabiashara wanaangalia penye faida. Kama mmeshindwa ku-negotiate sio shida zake.
Siyo vizuri kuleta taarifa za kupotosha. Lawama zinawahusu hao DP World (Waarabu wa Dubai), pamoja na Wazanzibari wawili walioamua kuuza bandari za Tanganyika, huku wakiacha zile za kwao.
 
Siyo vizuri kuleta taarifa za kupotosha. Lawama zinawahusu hao DP World, pamoja na Wazanzibari wawili walioamua kuuza bandari za Tanganyika, huku wakiacha zile za kwao.
DP wanahusikaje na mkataba mmesaini tayari bila kushurutishwa? vigezo na Masharti vilikuwemo ndani ya mkataba, nyie mkakimbilia kuweka saini tu bila kusoma. Kosa la nani? Next time (mikataba mipya/mwingine) kuweni makini kabla ya kusaini
**Kuna mengi ya kujifunza katika hili, tuache kushupaza makomwe kwenye kichaka cha 'uzalendo'
 
Ni wakati Sasa kama wazalendo tuwaombe radhi DP world Kwa kuwaghasi Kwa kejeli za kila namna.
1. Wao hawakujileta wenyewe nchini na wamefuata utaratibu wa makubaliano na mikataba halali.
2. Ikiwa Kuna kasoro iweje lawama apewe DP World? wao ni wafanyabiashara wanaangalia penye faida. Kama mmeshindwa ku-negotiate sio shida zake.
Kabla hatujawaomba radhi waulize kwanza mwenzie na H.E Ahmed Mahboob Musabih ni nani na cheo chake, maana kuna saini tu hakuna jina wala cheo., huoni kama hata wao wanatakiwa watuombe radhi kwa kumuweka asiyejulikana.
 
Kabla hatujawaomba radhi waulize kwanza mwenzie na H.E Ahmed Mahboob Musabih ni nani na cheo chake, maana kuna saini tu hakuna jina wala cheo., huoni kama hata wao wanatakiwa watuombe radhi kwa kumuweka asiyejulikana.
Soma Tena Mkataba mjomba. Mlisaini mkidhani mtaleta janja janja? Mkataba ufuatwe kama unavyotaka
 
Naskia wabongo waliwavamia kwenye page yao hadi wakafunga comments
 
Back
Top Bottom