DPW Special Thread: Uzi maalumu kuhusu kampuni ya DP World

DPW Special Thread: Uzi maalumu kuhusu kampuni ya DP World

3 [emoji845]MUHIMU ISOME[emoji845]
#Tanzania
Katika ripoti ya @WorldBankAfrica ghafla DP World imeibuka [emoji2957]
Sasa ngoja niwaeleweshe [emoji1484]

Sehemu ya mkopo na msaada wa $421 milioni kuna pesa ya kujenga mfumo wa IT wa bandari kupitia TPA. Ripoti ya Benki ya Feb 2023 walisema hakuna maendeleo ILA TPA imesema imeingia makubaliano (MoU) na DP World kujenga mfumo huu wa IT [emoji845][emoji32]

ELEWENI: DP World watalipwa kutoka pesa hizi za mkopo wa Benki ya Dunia kusaidia “mifumo isomane” hawawekezi[emoji845]
Pili kwa mujibu wa serikali walisema ile MoU ya TPA na DPW ni kuhusu mfumo wa IT (tunaambiwa ilisainiwa Feb 2022)
Imekuwaje consultancy ya DPW ya IT imegeuzwa kuwa IGA na tunatoa bandari zetu kwa kusema eti DPW watatusaidia mifumo isomane alafu tunawapa uendeshaji wa bandari ambao UMESHAKAMILIKA kwa uwekezaji mkubwa wa mradi huu?
Hii dili ilianza kama CONSULTANCY na kugeuzwa UPORAJI
Sasa @WBTanzania nyie mnasemaje maana tuna kesi na ninyi pia!View attachment 2676763View attachment 2676764

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona tunarudi kabisa kwenye ukoloni mkongwe wa Kimangungo.
 
Suala la bandari tupige kura kukubali au kukataa
 
Mimi wananikera mno kuingiza udini, ukabila na utaifa, yani mtu anaonyesha kabisa chuki kwa watu flani,, hoji suala la mkataba na sio kuingiza udini mara oh huyu mama mzanzibari mara hao wadubai ni ndugu zake, kwani akipewa mwarabu kuna shida gani!! Au mlitaka apewe mzungu, mchina au mhindi ndio mridhike!!

 
1688417083570.jpeg
 
 
Hebu tuambie wewe unafahamu mkataba unahusu nini na ni wa muda gani? Tuambie.
Tuombe atueleze, kama kutakuwepo na kutoelewana (sijui katika mambo gani), sheria zetu ni takataka, italazimu twende kwingine kupata haki yetu au ya hao tulioingia nao makubaliano.
Haya nayo yanahusu nini hasa?
Vitu visivyokuwepo?
Mambo ya kusadikika tu, tunakubaliana kabisa kwenda mahakamani, tena kwenye mahakama maalum!
Hauna ukomo kivipi? Kwa mujibu wa yale makubaliano mwekezaji kapewa eneo lipi hadi uulize ukomo?

Kwani pia kuna nwekezaji kapewa bandari yeyote au ziwa lolote au special economic yeyote kwa mujibu wa ule mkataba?
 
Wewe huelewi 'moto' ya JF;" where we dare talk openly"?

Tena jambo lenyewe linaloihusu JF na wanachama wake?

Wewe mkuu, utaniwia radhi nikikuita "mwongo"; kwa sababu ndivyo ulivyo katika swala hili.
Sawa mkweli, ila jamaa hapa kanitonya kumbe new members wengi ndio hao hao ma expert, thus why wengi wenu mumepanick?
Poleni sana
 
Sawa mkweli, ila jamaa hapa kanitonya kumbe new members wengi ndio hao hao ma expert, thus why wengi wenu mumepanick?
Poleni sana
Hata hueleweki unaandika nini.

Ndio nyinyi mliotumwa kuja kuokoa jahazi?
Mtu kama wewe unajua kitu gani hata kujieleza kwenyewe huwezi?

Halafu unadai "New Members" wewe kuwepo hapa tokea 2018 umechangia lipi tunaloweza kukutambulisha kuwa wewe ni member aliyebobea?
 
Tuombe atueleze, kama kutakuwepo na kutoelewana (sijui katika mambo gani), sheria zetu ni takataka, italazimu twende kwingine kupata haki yetu au ya hao tulioingia nao makubaliano.
Haya nayo yanahusu nini hasa?
Vitu visivyokuwepo?
Mambo ya kusadikika tu, tunakubaliana kabisa kwenda mahakamani, tena kwenye mahakama maalum!
Mahakama gani utaenda wakati mkataba unazuia kwenda mahakamani?
 
Hata hueleweki unaandika nini.

Ndio nyinyi mliotumwa kuja kuokoa jahazi?
Mtu kama wewe unajua kitu gani hata kujieleza kwenyewe huwezi?

Halafu unadai "New Members" wewe kuwepo hapa tokea 2018 umechangia lipi tunaloweza kukutambulisha kuwa wewe ni member aliyebobea?
New members, mtasubiri sanaaa, watanzania tunakwenda mbele na mwarabu kwa maendeleo

Mlichobakia nacho ni kudhania dhania tu,
Mirija yote inazibwa mnaweweseka,
Kuanzia parokia, kunya land, warundi na wanyarwanda mjiandae tu hakuna namna, tuna rais mtanzania originally saa hii, si hao foreigners waliopita ukitoa wawi walio hai
 
Ni wakati Sasa kama wazalendo tuwaombe radhi DP world Kwa kuwaghasi Kwa kejeli za kila namna.
1. Wao hawakujileta wenyewe nchini na wamefuata utaratibu wa makubaliano na mikataba halali.
2. Ikiwa Kuna kasoro iweje lawama apewe DP World? wao ni wafanyabiashara wanaangalia penye faida. Kama mmeshindwa ku-negotiate sio shida zake.
 
Back
Top Bottom