Frank I Ritte
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 1,003
- 1,350
Heshima nyingine ni utumwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heshima nyingine ni utumwa.
Kuanza kutaja watu kwa kuwashutumu ni hatia zaidi, kama huamini na wewe fanya uchunguzi,"...asili mia kubwa..." ngapi?
Unasema umechunguza, tena sana; lakini hata mifano miwili tu huna?
Wewe unadhani kutumia takwimu ni anasa?
Sasa nyerere si ndie aliuza Tanganyika kbisaaaa? Au Unakusudia nyerere gani?Sijui kwanini huyu bibi ushungi kaamua kuuza nchi yetu (siyo yake) kuhuni hivi.
Angekuwepo Nyerere sijui kama mtu huyu andedumu kwenye kiti kwa masaa mengine yanayoitimiza siku moja. Yungemkuta ameshapigwa pini na ameandika barua kuachana na mambo ya kuongoza nchi.
Well saidJapo tunayasema yasiyo sahihi mitandaoni dhidi ya Watawala na tuliowachagua wakapuuza, wajue kwamba tunaishi nao mitaani. Kwa karne hii ya TAHEMA, wakikosa madaraka yao ya kisiasa, watatukuta mitaani kama Wahenga walivyonena mpanda ngazi hushuka au aliye juu mngoje chini. Siyo dua la kuku kwani kuna ushahidi wa waliokuwa na madaraka tunao mitaani tunaona maisha yao, labda wachache wansolindwa na Katiba.
Hatujasahau wala hatusahau
[emoji830]︎ ubadhirifu wa mali ya umma, ulioripotiwa na CAG;
[emoji830]︎ matumizi ya hovyo ya kodi zetu, misaada na mikopo;
[emoji830]︎ usimamizi dhaifu wa rasimali za Taifa;
[emoji830]︎ urasimu na uzembe katika maofisi ya umma;
[emoji830]︎ na kadhalika
Tunachohitaji ni Wanasiasa tuliowapa dhamana ya madaraka na mamlaka, kikatiba, kutimiza wajibu wao kama ulivyoanianishwa kwenye Katiba, na siyo kuyatumia kwa maslahi yao binafsi.
Wenye madaraka na mamlaka ya kikatiba, wakumbuke kuwa japo wengine, kwa Katiba ya sasa wanaendelea kulindwa, kana kwamba bado wako madaraka, ninaamini Katiba mpya itawaondolea tupambane nao mitaani kunako huduma hafifu za jamii, miundombinu isiyoridhisha, mlolongo wa tozo, na kero lukuki za maendeleo.
KAZI IENDELEE na Kuupiga mwingi
Mtazamo wa kuangalia dini ya mtu ni ujinga unaowagharimu huku Pwani hadi leo, ukija huku mikoani hamna huo ujinga wenzetu wananeemeka kwa ujinga wetu kwa kutuibia, wewe unajadili dini zao, haya Nyerere kafa sasa dini yake inakusaidia nini, tuhoji kile kilichoibwa kwa wakati huu, tumia akili zaidi kuliko hisia.Sasa nyerere si ndie aliuza Tanganyika kbisaaaa? Au Unakusudia nyerere gani?
Duh, sio mchezo bwashee, wapi nimetaja dini?Mtazamo wa kuangalia dini ya mtu ni ujinga ulioanzia huko Pwani na bado unaowagharu hadi leo ukija huku mikoani hamna huo ujinga wenzetu wananeemeka kwa kutuibia wewe unajadili dini zao sasa dini ya mtu inakusaidia nini wewe badala ya kuhoji kile kilichoibwa kwa wakati huu.
Lakini ni viongozi walewale wa ccm wanaendelea kutuibia, maana nyie uvccm mpo humu mnalipwa fedha za walipa kodi mlizoiba na kutugombanisha kututoa kwenye hii issue ya msingi ya bandari, tumewashtukia.Duh, sio mchezo bwashee, wapi nimetaja dini?
Kudadeki kweli mumepagawa,
Hivi..... nyerere hakuiuza tanganyika?
Au ulikua hujazaliwa?
Kwani bandari siyo natural? Au kwa uelewa wako wewe vitu "natural" ni vitu gani? Au akili yako inakutuma ni mimea?Hivi tunadhani Bandari na Rasilimali zetu (Natural) wapi kuna faida?
Nyie ndo wapumbavu namba moja huwezi kukuta ubaguzi huku pwani, mnapewa hospitality nzuri ila nyie wachafu ndo mna ubaguzi mara huyu mzanzibar.Mtazamo wa kuangalia dini ya mtu ni ujinga unaowagharimu huku Pwani hadi leo, ukija huku mikoani hamna huo ujinga wenzetu wananeemeka kwa ujinga wetu kwa kutuibia, wewe unajadili dini zao, haya Nyerere kafa sasa dini yake inakusaidia nini, tuhoji kile kilichoibwa kwa wakati huu, tumia akili zaidi kuliko hisia.
So do you agree with he sale of the Port?.Nyie ndo wapumbavu namba moja huwezi kukuta ubaguzi huku pwani, mnapewa hospitality nzuri ila nyie wachafu ndo mna ubaguzi mara huyu mzanzibar.
Taja sehemu zenye watu wakarimu angalia hata mnavyouana kwa kuwa na chuki na washamba sana .
Unakuwa na ujinga wapi uliona bandari zinakauzwa .So do you agree with he sale of the Port?.
You force us to believe what is not.Unakuwa na ujinga wapi uliona bandari zinakauzwa .
je unajua Dp world wanafanya kazi vip na TPA nao vip?
Unajua palishakuwa na TICTS kablq je unajua?
Ujinga👉unapiga kelel unaongozwa na mzanzibar tena mwanamke na anaendelea kuongoz na hakuna kitu utafanya wala hao Chadema😅😅
Wewe huelewi 'moto' ya JF;" where we dare talk openly"?Kuanza kutaja watu kwa kuwashutumu ni hatia zaidi, kama huamini na wewe fanya uchunguzi,
Ila siwezi kuwataja humu
You will ,no matter how just a matter of time.You force us to believe what is not.
Wewe unasumbuliwa na Udini,huna hojaHayo maharamia ya kiarabu hayastahili kuja kututawala nchi kwetu.
Kivipi.Wewe unasumbuliwa na Udini,huna hoja
Si kweli mkuu. Nenda kule juu kwenye uzi mkataba tayari umeishawekwa ujisomee mkuu.Wasema kweli?
Basi tutatumia hivyo vipande vipande vilivyokwishajadiliwa humu kwa pamoja; badala ya "Makubaliano" yenyewe.
Mkuu 'tpaul' wazo lako hili zuri mbona JF hawalipi umuhimu stahiki na kufanya ulivyopendekeza?