Dr Alinda Mashiku: Mtanzania anayeongoza kitengo cha NASA kinachosimamia Satelite zisigongane angani

Traffic wakimbie kwa sababu gani!!?
ww ni mwehu......
shamba kweli hii njemba......
usikute huyo anaweza akakwambia usukume ukuta......
na ww ukatii
Traffic wanaume wakimuona huyo mama akipita lazima wajifiche chini ya uvungu wa magari waliyoyasimamisha kuwauliza Kama magari yao Yana Triangle!!! Kwa aibu kuwa kazi gani hii loo ya kuuliza mtu kuwa ana triangle kwenye gari ukilinganisha na kazi ya huyo mama
 
Nampongeza dada ametumia fursa ipasavyo. Wengi wakiwa huko hawana malengo ni starehe tu . USA ni nchi ambayo ukiwa na ndoto na juhudi Unafanya mengi
Ukisoma uzi huo,unaonesha huyo ni mzaliwa wa huko usa,wazaz wabongo

Ova
 
Pongezi sana kwake
Maana huku kwetu wanawake
Makanjanja ndy wana wa inspire
Watu ili wawe kama wao
Aina ya huyu mwanamke ndy tunataka
Kuwasikia na kuwaona syo hao sjui wakina mbto, nndy,zch shysh wanaonekana ndy wanafanya mambo makubw kwny jamii

Ova
 
Pongezi sana kwake
Maana huku kwetu wanawake
Makanjanja ndy wana wa inspire
Watu ili wawe kama wao
Aina ya huyu mwanamke ndy tunataka
Kuwasikia na kuwaona syo hao sjui wakina mbto, nndy,zch shysh wanaonekana ndy wanafanya mambo makubw kwny jamii

Ova
Kweli kabisa Tena wengi walitoroka masomo ya sayansi wanajaza watu ujinga tu
 
Huyu Sasa ndiye mwanamke wa shoka sio wale wengine wachambaji [emoji123][emoji123]
 
in maana wakenya hawajamuona wamfanye wakwao?
 
Mimi sijaona sehemu alisema yeye.ni mtanzania.

Kwanini tunapenda kuwalisha watu maneno?

Kwa hii taarifa inaonesha kazaliwa marekani so automatically ni Raia wa marekani unless kama aliukana uraia wa marekani.
 
Sisi ni wapuuzi sana. Trust me.
 
Kwani ungeandika uzi wako bila kuwananga traffic usingeeleweka kaka?
 
Always sacrifice za kina baba hazithaminiwi kabisa finally mwanamke anakuja kuonekana.ndo best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…