Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Mwandishi: Kwanini unanisalimia hivi(Alimpa mkono, Diallo akampa gonga), wakati fulani tulipita hapa tukawa tunaamini tumeshatoka kwenye Covid. Awamu iliyopita tulikuwa tunasali na kumuomba Mungu, Covid haipo. Bado una wasiwasi na Covid
Dr. Diallo: Covid ipo, jana nilimsikia mkuu wa mkoa akitahadharisha watu lakini pia mimi ningependa warudie hatua ambazo zilitusaidia wakati ule ile ya 'Level; sitting kwenye daladala, ilikuwa vizuri pia kabla hujaingia kwenye basi au kwenye daladala uvae mask. Nadhani hiyo itasaidia, watu sasa hivi wanaonekana kuna wanaojali, wengine wanaonekana wala hawajali
Mazungumzo haya aliyafanya jana na mwandishi Aloyce Nyanda. Dr. Anthony Diallo aliwahi kuwa Mbunge Mwanza vijijini sasa inafahamika Ilemela pia Naibu waziri maji na baadae maliasili. Kwa sasa Diallo ni mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza.
Dr. Diallo: Covid ipo, jana nilimsikia mkuu wa mkoa akitahadharisha watu lakini pia mimi ningependa warudie hatua ambazo zilitusaidia wakati ule ile ya 'Level; sitting kwenye daladala, ilikuwa vizuri pia kabla hujaingia kwenye basi au kwenye daladala uvae mask. Nadhani hiyo itasaidia, watu sasa hivi wanaonekana kuna wanaojali, wengine wanaonekana wala hawajali
Mazungumzo haya aliyafanya jana na mwandishi Aloyce Nyanda. Dr. Anthony Diallo aliwahi kuwa Mbunge Mwanza vijijini sasa inafahamika Ilemela pia Naibu waziri maji na baadae maliasili. Kwa sasa Diallo ni mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza.