Pre GE2025 Dr. Asharose Migiro, Mary Nagu walifaa kugombea Urais kupitia CCM

Pre GE2025 Dr. Asharose Migiro, Mary Nagu walifaa kugombea Urais kupitia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Ninashangaa sana wanaomkazania na kumpa chepuo mgombea urais wa chama cha mapinduzi mpaka inafika wakati unajaribu kuhoji uwezo wa akili zao.Leo hii Tanzania imefikia hatua CCM hata wakimsimamisha mgombea mwenye changamoto ya akili, kisha mgombea mwenye akili, uwezo na stahiki zote za kuwa rais bora akasimamishwa kupitia CHAUMA au ADC, bado kuna watu watajitoa akili na kuandamana kumuunga mkono mgombea wa CCM.

Siasa zimekuwa za kishabiki zaidi badala ya uhalisia! Jambo ambalo ni hatari kwa nchi, tofauti na nchi za demokrasia ya kweli kama Kenya na Marekani ambapo chama si muhimu kuliko mgombea mwenyewe!

Leo kama nchi ingehitaji kiongozi mwanamke,tukizungumza uwezo na tukiweka uchawa pembeni, Mgombea wa CCM hamfikii hata robo Dr. Asharose migiro au Dr. Mary Nagu kwa kila kitu, uwezo, akili na uongozi bora. Kama isingekuwa uzanzibari na uanamke wake, sidhani kama mgombea wa CCM angekuwepo kwenye rada za uongozi wa nchi hii!

Awamu zote za nyuma hakuna Rais aliyemwona anafaa kuwa hata mkuu wa mkoa? Achilia mbali uwaziri. Leo hii aongoze nchi? Si bure tumeshuhudia awamu mbovu na isiyokubalika kwa watanzania kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania.

Tunapaswa kujadili na kuzingatia uimara wa mgombea husika badala ya chama cha kisiasa
 
Mama anawatoa nnyaa si mchezo. Iko hivi, aliyepandishwa na Mungu kamwe hawezi kushushwa na mashetani........mkashifuni kwa kashfa zozote mzitakazo lakini milele atabaki mbele yenu kwa miaka 10000. Historia ameshaiandika na anaendelea kuiandika.
 
Kwa kweli huyu mwanamke ni zero kabisaa! Sjui tapeli kikwete aliona nin kwake had akampendekeza kua makamu wa rais….Ilhali magufuli alimtaka Hussein Mwinyi.

Kwa akili hizi CCM itaongoza hii nchi sana tu.

Mama Samia Amekuwa Waziri kwa miaka 10

Kabla ya hapo amefanya kazi UN kwa miaka zaidi ya 10

Wanamponda Mama humu hawajawai kupata cheo hata cha ujumbe wa mtaa.

Hawajawai kufanya kazi hata ya u teller wa bank.

Ila wanamkashifu Mama samia
 
Ninashangaa sana wanaomkazania na kumpa chepuo mgombea urais wa chama cha mapinduzi mpaka inafika wakati unajaribu kuhoji uwezo wa akili zao.Leo hii Tanzania imefikia hatua CCM hata wakimsimamisha mgombea mwenye changamoto ya akili, kisha mgombea mwenye akili, uwezo na stahiki zote za kuwa rais bora akasimamishwa kupitia CHAUMA au ADC, bado kuna watu watajitoa akili na kuandamana kumuunga mkono mgombea wa CCM.Siasa zimekuwa za kishabiki zaidi badala ya uhalisia! Jambo ambalo ni hatari kwa nchi, tofauti na nchi za demokrasia ya kweli kama Kenya na Marekani ambapo chama si muhimu kuliko mgombea mwenyewe!

Leo kama nchi ingehitaji kiongozi mwanamke,tukizungumza uwezo na tukiweka uchawa pembeni, Mgombea wa CCM hamfikii hata robo Dr. Asharose migiro au Dr. Mary Nagu kwa kila kitu, uwezo, akili na uongozi bora. Kama isingekuwa uzanzibari na uanamke wake, sidhani kama mgombea wa CCM angekuwepo kwenye rada za uongozi wa nchi hii!

Awamu zote za nyuma hakuna Rais aliyemwona anafaa kuwa hata mkuu wa mkoa? Achilia mbali uwaziri. Leo hii aongoze nchi? Si bure tumeshuhudia awamu mbovu na isiyokubalika kwa watanzania kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania.

Tunapaswa kujadili na kuzingatia uimara wa mgombea husika badala ya chama cha kisiasa
Ee usimalize
 
Ninashangaa sana wanaomkazania na kumpa chepuo mgombea urais wa chama cha mapinduzi mpaka inafika wakati unajaribu kuhoji uwezo wa akili zao.Leo hii Tanzania imefikia hatua CCM hata wakimsimamisha mgombea mwenye changamoto ya akili, kisha mgombea mwenye akili, uwezo na stahiki zote za kuwa rais bora akasimamishwa kupitia CHAUMA au ADC, bado kuna watu watajitoa akili na kuandamana kumuunga mkono mgombea wa CCM.Siasa zimekuwa za kishabiki zaidi badala ya uhalisia! Jambo ambalo ni hatari kwa nchi, tofauti na nchi za demokrasia ya kweli kama Kenya na Marekani ambapo chama si muhimu kuliko mgombea mwenyewe!

Leo kama nchi ingehitaji kiongozi mwanamke,tukizungumza uwezo na tukiweka uchawa pembeni, Mgombea wa CCM hamfikii hata robo Dr. Asharose migiro au Dr. Mary Nagu kwa kila kitu, uwezo, akili na uongozi bora. Kama isingekuwa uzanzibari na uanamke wake, sidhani kama mgombea wa CCM angekuwepo kwenye rada za uongozi wa nchi hii!

Awamu zote za nyuma hakuna Rais aliyemwona anafaa kuwa hata mkuu wa mkoa? Achilia mbali uwaziri. Leo hii aongoze nchi? Si bure tumeshuhudia awamu mbovu na isiyokubalika kwa watanzania kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania.

Tunapaswa kujadili na kuzingatia uimara wa mgombea husika badala ya chama cha kisiasa
Lilia bahati sio kipaji
 
Ninashangaa sana wanaomkazania na kumpa chepuo mgombea urais wa chama cha mapinduzi mpaka inafika wakati unajaribu kuhoji uwezo wa akili zao.Leo hii Tanzania imefikia hatua CCM hata wakimsimamisha mgombea mwenye changamoto ya akili, kisha mgombea mwenye akili, uwezo na stahiki zote za kuwa rais bora akasimamishwa kupitia CHAUMA au ADC, bado kuna watu watajitoa akili na kuandamana kumuunga mkono mgombea wa CCM.Siasa zimekuwa za kishabiki zaidi badala ya uhalisia! Jambo ambalo ni hatari kwa nchi, tofauti na nchi za demokrasia ya kweli kama Kenya na Marekani ambapo chama si muhimu kuliko mgombea mwenyewe!

Leo kama nchi ingehitaji kiongozi mwanamke,tukizungumza uwezo na tukiweka uchawa pembeni, Mgombea wa CCM hamfikii hata robo Dr. Asharose migiro au Dr. Mary Nagu kwa kila kitu, uwezo, akili na uongozi bora. Kama isingekuwa uzanzibari na uanamke wake, sidhani kama mgombea wa CCM angekuwepo kwenye rada za uongozi wa nchi hii!

Awamu zote za nyuma hakuna Rais aliyemwona anafaa kuwa hata mkuu wa mkoa? Achilia mbaliJK kasema uwaziri. Leo hii aongoze nchi? Si bure tumeshuhudia awamu mbovu na isiyokubalika kwa watanzania kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania.

Tunapaswa kujadili na kuzingatia uimara wa mgombea husika badala ya chama cha kisiasa
Sema hata china nn democracy nation... JK kasema wamekufa sijuwi watoka wapi weye
 
Back
Top Bottom