Tetesi: Dr. Aziz Msuya kawa daktari wa wilaya zaidi ya miaka 20 bila kuwa na sifa

Tetesi: Dr. Aziz Msuya kawa daktari wa wilaya zaidi ya miaka 20 bila kuwa na sifa

ebaeban

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,205
Reaction score
2,697


Masuala ya nepotism (udugu), alitoka kusomea udaktari urusi miaka ya 90, karudi moja kwa moja na kuwa daktari wa wilaya ya Mpwapwa. Afisa tawala wa mkoa wa Dodoma Enzi hizo akiitwa mama Senyagwa kwa ukabila tu (ni mpare mwenzie) bila hata kujirizisha na kuangalia vyeti vyake vyote akampa wilaya ya Mpwapwa awe ni mganga mkuu.

Daktari huyo hakumaliza semester zote nchini Urusi wala hakufanya internship hospitali yoyote hapa Tanzania.

Kawa DMO bila kuwa na sifa wilaya ya Mpwapwa, Arumelu, Hanang na mwisho Kinondoni hapa DSM.

Siku za mwizi zilipofika alikamatiwa wilaya ya Kinondoni katika zoezi la uhakiki wa vyeti kwamba ni wakamdemote haraka sana na kupelekwa kwenye kituo cha afya cha Mbagala rangi tatu kuwa mganga wa kawaida tu

Kala mshahara wa DMO kwa miaka ishirini na bila kukamatwa ila walianza sehumu nyingi kumtilia mashaka uwezo wake maana theatre alikuwa anakuona kama kituo cha polisi.

Huyo ndiyo Dr. Azizi Shabaan Msuya
 


Masuala ya nepotism (udugu), alitoka kusomea udaktari urusi miaka ya 90, karudi moja kwa moja na kuwa daktari wa wilaya ya Mpwapwa. Afisa tawala wa mkoa wa Dodoma Enzi hizo akiitwa mama Senyagwa kwa ukabila tu (ni mpare mwenzie) bila hata kujirizisha na kuangalia vyeti vyake vyote akampa wilaya ya Mpwapwa awe ni mganga mkuu.

Daktari huyo hakumaliza semester zote nchini Urusi wala hakufanya internship hospitali yoyote hapa Tanzania.

Kawa DMO bila kuwa na sifa wilaya ya Mpwapwa, Arumelu, Hanang na mwisho Kinondoni hapa DSM.

Siku za mwizi zilipofika alikamatiwa wilaya ya Kinondoni katika zoezi la uhakiki wa vyeti kwamba ni wakamdemote haraka sana na kupelekwa kwenye kituo cha afya cha Mbagala rangi tatu kuwa mganga wa kawaida tu

Kala mshahara wa DMO kwa miaka ishirini na bila kukamatwa ila walianza sehumu nyingi kumtilia mashaka uwezo wake maana theatre alikuwa anakuona kama kituo cha polisi.

Huyo ndiyo Dr. Azizi Shabaan Msuya

Kiongozi kwani keshaondolewa Kinondoni huyu jamaa?
 


Masuala ya nepotism (udugu), alitoka kusomea udaktari urusi miaka ya 90, karudi moja kwa moja na kuwa daktari wa wilaya ya Mpwapwa. Afisa tawala wa mkoa wa Dodoma Enzi hizo akiitwa mama Senyagwa kwa ukabila tu (ni mpare mwenzie) bila hata kujirizisha na kuangalia vyeti vyake vyote akampa wilaya ya Mpwapwa awe ni mganga mkuu.

Daktari huyo hakumaliza semester zote nchini Urusi wala hakufanya internship hospitali yoyote hapa Tanzania.

Kawa DMO bila kuwa na sifa wilaya ya Mpwapwa, Arumelu, Hanang na mwisho Kinondoni hapa DSM.

Siku za mwizi zilipofika alikamatiwa wilaya ya Kinondoni katika zoezi la uhakiki wa vyeti kwamba ni wakamdemote haraka sana na kupelekwa kwenye kituo cha afya cha Mbagala rangi tatu kuwa mganga wa kawaida tu

Kala mshahara wa DMO kwa miaka ishirini na bila kukamatwa ila walianza sehumu nyingi kumtilia mashaka uwezo wake maana theatre alikuwa anakuona kama kituo cha polisi.

Huyo ndiyo Dr. Azizi Shabaan Msuya
Duh yaani miaka 20 akashindwa hata kujiendeleza!

Aisee.....
 
Nina wasi wasi na hii taarifa hapa;
Je kama hakumaliza chuo urusi maana yake hakupewa cheti. Na kama hana cheti aliajiriwaje kwa passport yenye mhuri wa urusi?
Je hapo mbagala rangi tatu kaenda kama daktari kwa kutumia vyeti gani?
Tuwekane sawa hapa kidogo.
 
Hahahahaha Chumba cha upasuaji alikuwa anakikwepa ina maana hakugusa hata intro ya anatomy.Lakini madaktari wengi wa urusi na cuba walikuwa wa zuri basi yeye peke yake ndio alitoka kapa.
 
Back
Top Bottom