Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma vizuri tena utaona alipoandika.Mimi sijaona kabila la Kipare nimeona kina Aziz
Jifunze kuthamin na kuamini vya nyumbani kuliko hivyo vya Urusi unavyovisifia, unajuaje kama huko alikokua kapata ma zero zero yasiyoeleweka, undugu ukam favor na imani haba ya wataalamu wa nyumbani pia ikampaisha kisa tu vyeti vyake vimekuja kwa NdegeDaktari msomi was Urusi kwa mini asiwe na sifa? Nilizani kahitimu pale walikotupa Cadavers. Elimu ya Urusi iko vizuri na ndio sababu hatujasikia kashindwa kutibu.
we ni mgenii hii nchi?Sijui siku izi jf imekuwaje mtu analeta majungu yake watu wana comment bila kuhoji ukweli wake.
Naomba mtoa mada anijibu maswali haya kabla ya kuendelea na mjadala huu
1.Unadai eti dk msuya hakumaliza semister zote urusi miaka ya 90, ina maana hakuhitimu udaktari swali je ilikuwaje akaajiriwa kama daktari???
2.Unavodai eti hakuwahi kufanya intern sehemu yoyote tanzania
je alisajiliwaje kuwa daktari nchini tanzania?????
3.Unadai eti amekamatwa n
Makatibu wakuu waliotangulia wizara ya afya; lazima kuwe na system ya ku assess uwezo wa wafanyakazi wao periodically.whom to be blamed??
hebu soma vzur uelewe.. acha kuongelea tundu la maviDaktari msomi was Urusi kwa mini asiwe na sifa? Nilizani kahitimu pale walikotupa Cadavers. Elimu ya Urusi iko vizuri na ndio sababu hatujasikia kashindwa kutibu.