Tetesi: Dr. Aziz Msuya kawa daktari wa wilaya zaidi ya miaka 20 bila kuwa na sifa

Tetesi: Dr. Aziz Msuya kawa daktari wa wilaya zaidi ya miaka 20 bila kuwa na sifa

Hahahahaha Chumba cha upasuaji alikuwa anakikwepa ina maana hakugusa hata intro ya anatomy.Lakini madaktari wengi wa urusi na cuba walikuwa wa zuri basi yeye peke yake ndio alitoka kapa.
Kwani kila daktari lazima ajue upasuaji?
Kule mirembe wapo madaktaei nasijasikia wakipasua mtu!
 
Sidhani kama ni ukweli,namjua vizuri akiwa arumeru,ni Dr mzuri sana na aliiweka vizuri hosp ya wilaya ya arumeru kiuongozi na kiutawala,kukawa na discipline ya kazi na mpaka George Bush aliitembelea na yeye kupewa certificate white house.sielewi hii story kama ni ya kweli,weka vithibitisho.
Tena alikuwa mganga mkuu wa hosp ya patandi iliyoko tengeru wilaya ya arumeru na hapo ndipo alipotoka na kiamia kinondoni sasa haiwezekan miaka 20 mtu afanye kazi bila ya kuwa na sifa huu uzi wa matokeo ya kunywa london viroba na bangi mbichi
 
Akamatwe aliyempa kazi inawezekana wengi walipoteza maisha kwa undugunaizeshini huo naomba akauze binzari ndo inamfaa.
 


Masuala ya nepotism (udugu), alitoka kusomea udaktari urusi miaka ya 90, karudi moja kwa moja na kuwa daktari wa wilaya ya Mpwapwa. Afisa tawala wa mkoa wa Dodoma Enzi hizo akiitwa mama Senyagwa kwa ukabila tu (ni mpare mwenzie) bila hata kujirizisha na kuangalia vyeti vyake vyote akampa wilaya ya Mpwapwa awe ni mganga mkuu.

Daktari huyo hakumaliza semester zote nchini Urusi wala hakufanya internship hospitali yoyote hapa Tanzania.

Kawa DMO bila kuwa na sifa wilaya ya Mpwapwa, Arumelu, Hanang na mwisho Kinondoni hapa DSM.

Siku za mwizi zilipofika alikamatiwa wilaya ya Kinondoni katika zoezi la uhakiki wa vyeti kwamba ni wakamdemote haraka sana na kupelekwa kwenye kituo cha afya cha Mbagala rangi tatu kuwa mganga wa kawaida tu

Kala mshahara wa DMO kwa miaka ishirini na bila kukamatwa ila walianza sehumu nyingi kumtilia mashaka uwezo wake maana theatre alikuwa anakuona kama kituo cha polisi.

Huyo ndiyo Dr. Azizi Shabaan Msuya
Fedha hizo alizokuwa analiwa bila kuwa na taalum ahusika inakuwa hasa au ataudisha?

Mi huwa nauliza sijapatavjibu,haiwezekani atutapeli kwa miaka ishirini halafu abakie salama tu, kwanza kama huyo kwa nini wamhamishe na kumshusha tu?
Apigwe chini!
 
Kua mtanzania ni nuksi tu,kuna watu wanafanya nachukia sana hili eneo,hivi jamani inawesekana mtu umeumbwa na ubongo wako mzuri unashindwa kuutumia kufikiri vyema?mada kama hii inaletwa unacomment bila kufikirisha akili yako?mtu kashiba kande zake analeta majungu na umbea mitandaoni bila evidence then watu wana support,sad.
 
Kabla ya ubishi mwingi na kupishana ebu tuambieni... Nyie mnao bisha... Aziz Msuya ni kweli kaamishiwa mbagala? Na kama kweli kawa Dr wa kawaida? Kwanini?
 
Kabla ya ubishi mwingi na kupishana ebu tuambieni... Nyie mnao bisha... Aziz Msuya ni kweli kaamishiwa mbagala? Na kama kweli kawa Dr wa kawaida? Kwanini?
Sawa kabisa
tunaomba mleta mada alete ushahidi wa dk msuya kuhamishiwa mbagala kama mganga wa kawaida alafu ndo tuendelee na mjadala.
 
Msituchafue WAPARE hao ni vibaka kama vibaka wengine unajua labda ni mtoto wa dada ake au shangazi wake, ucheni kuingiza ukabila kwenye mambo ya KIHALIFU.
Lakini ukienda police unaulizwa kabila first
 
Lakini ukienda police unaulizwa kabila first
Sio tatizo kabila haliusiani na uharifu na mtoa mada alitumia kabila kwa nia nyingine haikuwa na sababu, muhalifu ni muhalifu tuu.
 


Masuala ya nepotism (udugu), alitoka kusomea udaktari urusi miaka ya 90, karudi moja kwa moja na kuwa daktari wa wilaya ya Mpwapwa. Afisa tawala wa mkoa wa Dodoma Enzi hizo akiitwa mama Senyagwa kwa ukabila tu (ni mpare mwenzie) bila hata kujirizisha na kuangalia vyeti vyake vyote akampa wilaya ya Mpwapwa awe ni mganga mkuu.

Daktari huyo hakumaliza semester zote nchini Urusi wala hakufanya internship hospitali yoyote hapa Tanzania.

Kawa DMO bila kuwa na sifa wilaya ya Mpwapwa, Arumelu, Hanang na mwisho Kinondoni hapa DSM.

Siku za mwizi zilipofika alikamatiwa wilaya ya Kinondoni katika zoezi la uhakiki wa vyeti kwamba ni wakamdemote haraka sana na kupelekwa kwenye kituo cha afya cha Mbagala rangi tatu kuwa mganga wa kawaida tu

Kala mshahara wa DMO kwa miaka ishirini na bila kukamatwa ila walianza sehumu nyingi kumtilia mashaka uwezo wake maana theatre alikuwa anakuona kama kituo cha polisi.

Huyo ndiyo Dr. Azizi Shabaan Msuya
Ivi ni lini utaacha unafki wako??

Naomba utoe "SUPPORTING DOCUMENTS"

kudhibitisha unachokisema.
Mie huna nakasirika Sana na mtu mwenye kuchukua Picha ya Mwenzie kwasababu ya Ugomvi naye plus majungu yake binafsi then anakuja Jf kutengeneza Post yake.

Jaman hii tabia siyo nzuri hata kidogo.

Best nakuomba uweke Ushahidi wa Vielelezo vya Post yako ilj utudhibitishie unachokisema.

Otherwise wewe utakuwa unaUgomvi nae Kitaa.
 
Back
Top Bottom