Kwani kila daktari lazima ajue upasuaji?Hahahahaha Chumba cha upasuaji alikuwa anakikwepa ina maana hakugusa hata intro ya anatomy.Lakini madaktari wengi wa urusi na cuba walikuwa wa zuri basi yeye peke yake ndio alitoka kapa.
Tena alikuwa mganga mkuu wa hosp ya patandi iliyoko tengeru wilaya ya arumeru na hapo ndipo alipotoka na kiamia kinondoni sasa haiwezekan miaka 20 mtu afanye kazi bila ya kuwa na sifa huu uzi wa matokeo ya kunywa london viroba na bangi mbichiSidhani kama ni ukweli,namjua vizuri akiwa arumeru,ni Dr mzuri sana na aliiweka vizuri hosp ya wilaya ya arumeru kiuongozi na kiutawala,kukawa na discipline ya kazi na mpaka George Bush aliitembelea na yeye kupewa certificate white house.sielewi hii story kama ni ya kweli,weka vithibitisho.
Fedha hizo alizokuwa analiwa bila kuwa na taalum ahusika inakuwa hasa au ataudisha?
Masuala ya nepotism (udugu), alitoka kusomea udaktari urusi miaka ya 90, karudi moja kwa moja na kuwa daktari wa wilaya ya Mpwapwa. Afisa tawala wa mkoa wa Dodoma Enzi hizo akiitwa mama Senyagwa kwa ukabila tu (ni mpare mwenzie) bila hata kujirizisha na kuangalia vyeti vyake vyote akampa wilaya ya Mpwapwa awe ni mganga mkuu.
Daktari huyo hakumaliza semester zote nchini Urusi wala hakufanya internship hospitali yoyote hapa Tanzania.
Kawa DMO bila kuwa na sifa wilaya ya Mpwapwa, Arumelu, Hanang na mwisho Kinondoni hapa DSM.
Siku za mwizi zilipofika alikamatiwa wilaya ya Kinondoni katika zoezi la uhakiki wa vyeti kwamba ni wakamdemote haraka sana na kupelekwa kwenye kituo cha afya cha Mbagala rangi tatu kuwa mganga wa kawaida tu
Kala mshahara wa DMO kwa miaka ishirini na bila kukamatwa ila walianza sehumu nyingi kumtilia mashaka uwezo wake maana theatre alikuwa anakuona kama kituo cha polisi.
Huyo ndiyo Dr. Azizi Shabaan Msuya
Sawa kabisaKabla ya ubishi mwingi na kupishana ebu tuambieni... Nyie mnao bisha... Aziz Msuya ni kweli kaamishiwa mbagala? Na kama kweli kawa Dr wa kawaida? Kwanini?
Lakini ukienda police unaulizwa kabila firstMsituchafue WAPARE hao ni vibaka kama vibaka wengine unajua labda ni mtoto wa dada ake au shangazi wake, ucheni kuingiza ukabila kwenye mambo ya KIHALIFU.
Sio tatizo kabila haliusiani na uharifu na mtoa mada alitumia kabila kwa nia nyingine haikuwa na sababu, muhalifu ni muhalifu tuu.Lakini ukienda police unaulizwa kabila first
Ivi ni lini utaacha unafki wako??
Masuala ya nepotism (udugu), alitoka kusomea udaktari urusi miaka ya 90, karudi moja kwa moja na kuwa daktari wa wilaya ya Mpwapwa. Afisa tawala wa mkoa wa Dodoma Enzi hizo akiitwa mama Senyagwa kwa ukabila tu (ni mpare mwenzie) bila hata kujirizisha na kuangalia vyeti vyake vyote akampa wilaya ya Mpwapwa awe ni mganga mkuu.
Daktari huyo hakumaliza semester zote nchini Urusi wala hakufanya internship hospitali yoyote hapa Tanzania.
Kawa DMO bila kuwa na sifa wilaya ya Mpwapwa, Arumelu, Hanang na mwisho Kinondoni hapa DSM.
Siku za mwizi zilipofika alikamatiwa wilaya ya Kinondoni katika zoezi la uhakiki wa vyeti kwamba ni wakamdemote haraka sana na kupelekwa kwenye kituo cha afya cha Mbagala rangi tatu kuwa mganga wa kawaida tu
Kala mshahara wa DMO kwa miaka ishirini na bila kukamatwa ila walianza sehumu nyingi kumtilia mashaka uwezo wake maana theatre alikuwa anakuona kama kituo cha polisi.
Huyo ndiyo Dr. Azizi Shabaan Msuya