Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na siku ile walipo "itikia wito" Bashiru alionekana amesawajika na kupwaya sana. Alikosa confidence kabisa akabaki kua anajichekesha tu mbele ya Kinana na Makamba. Kasubiri wameondoka huku nyuma ndio anakuna na hizi kauli!!?Wameitwa Dom wakaenda Lumumba.. Siku waliyopangiwa hawakwenda bali wakaenda siku waliyotaka... Badala ya kuhojiwa wao ndio wakahoji...!!!
UKISIKIA CCM INA WENYEWE NDIO HAWA SASA
Jr[emoji769]
Bashiru amesema maneno ya ovyo kabisa.wanaoitwa hawajipendi ndio wale wanaookotwa kwenye viroba ?
Kwani sio kweli sumu haionjwi? Hayo yana ulinganifu gani na kauli ya Bashiru ya "hajitaki" atakayeacha kuitikia wito was chama?Tuombe ufafanuzi wa kauli ya 'bwana yule' aliyemwambia bwana yule kuwa sumu haionjwi kwa kulamba labda Kuna uhusiano na ulichouliza
Labusara lilikuwa ni hiloMimi nadhani sio busara kwa KM kujibu kila kitu, mambo mengine awe ananyamaza tuu na kumuachia Polepole.
P
Kwenda.....tokaaaaaa!!! GO AWAY... WE HATE YOU!!! WE DON'T WANT YOU... GO TO HELL!!!!Mimi nadhani sio busara kwa KM kujibu kila kitu, mambo mengine awe ananyamaza tuu na kumuachia Polepole.
P
Sijui kwanini hawa watu hawajifunzi kwenye BUSARA ZA KUKAA KIMYA KUJUBUNKILA KIKTU NI TAFSIRI YA KUTOJUA KILA KITU MAMBO MENGINE TUNAYAACHA JAMII INAPIMAMimi nadhani sio busara kwa KM kujibu kila kitu, mambo mengine awe ananyamaza tuu na kumuachia Polepole.
P
Kamuulize Pompeo alikuwa anamainisha Nini aliposema Makonda anaminya demokrasia na kile kilichoitwa "RIGHTS TO LIFE" ukitoka kwa Pompeo uje humu unijibu na mimi maswali yangu haya! Wale askari waliovamia Clouds wakiwa na silaha Nani aliwatuma? Je Magufuli analijua hili swala kuwa Clouds ilivamiwa? Baada ya Nape kutumbuliwa akaitisha press yule aliyemtolea bastola hadharani mchana kweupe alitumwa na nani? Kama huna majibu muulize Pompeo akusaidie.Tuombe ufafanuzi wa kauli ya 'bwana yule' aliyemwambia bwana yule kuwa sumu haionjwi kwa kulamba labda Kuna uhusiano na ulichouliza
Maiti haiwezi kosolewa labda niwe nafanya kazi ya mochwari attendant
Na wameenda kama kamati !!Wameitwa Dom wakaenda Lumumba.. Siku waliyopangiwa hawakwenda bali wakaenda siku waliyotaka... Badala ya kuhojiwa wao ndio wakahoji...!!!
UKISIKIA CCM INA WENYEWE NDIO HAWA SASA
Jr[emoji769]
Kwani Polepoleakati wakati wa TANU alikuwepo?!Mimi nadhani sio busara kwa KM kujibu kila kitu, mambo mengine awe ananyamaza tuu na kumuachia Polepole.
P
Anajimwambafai tu ..... awaite Zitto au Lissu tuone kama nao wataitikia!!"Hakuna Kiongozi ambaye ameitwa na akakataa kuitikia wito uongo, huyo anajipenda au hajipendi?, mambo ya kuitana hayajaanza leo, Watu huitwa wengine hata kufukuzwa tangu enzi za TANU wakati mimi sijazaliwa wala Magufuli hajazaliwa,kuna jipya gani?”-Dkt, Bashiru Ally, Katibu CCM
Sometimes muwe mnakiri viongozi wenu wamekengeuka na kutoa kauli ambazo hawajazipima!Adhabu kubwa anayoweza kupata mtu anayekaidi kuitwa na chama ni kufukuzwa uanachama,sasa kama ni hivyo,kinana na Makamba kwa mfano,wana kipi cha kupoteza mpaka wawe hawajipendi?Ingekuwa unaweza kumkamata kwa nguvu na kumsweka jela au kumuadhibu kifo ndio hapo unaweza kusema hajipendi!Hapo Bashiru kateleza,wala msihangaike kutafuta counter balance statements!Tuombe ufafanuzi wa kauli ya 'bwana yule' aliyemwambia bwana yule kuwa sumu haionjwi kwa kulamba labda Kuna uhusiano na ulichouliza
CCM inawatoa akili wote wanaopita kwenye mlango wakeKauli hii kama ni kweli imetolewa na Bashiru, Katibu Mkuu wa CCM, inadhihirisha yaliyosemwa kuhusu kugoma kwa hao wazee kwenda kuhojiwa.
Hapa anajibaraguza aonekane wazee iliwabidi waende kwa shurti, kumbe walienda kwa kubembelezwa.
Huyu Bashiru na kisomo chake chote kile anazidi kujionyesha jinsi alivyo na hitilafu katika kukiunganisha kisomo chake hicho na utendaji.
Kwa mfano: anapata wapi ujasiri wa kulinganisha TANU/CCM ya enzi zile na CCM hii ya vituko? Chukulia sababu walizoitiwa hao wazee; anao mfano wa aina yoyote kama huo uliopata kutokea enzi za TANU/CCM ya Mwalimu?
Viongozi wanaodhalilishwa, ili wakajitetee kwa kudhalilishwa kwao?
Bashiru anajiondolea heshima, hata hiyo ndogo iliyosalia.