IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Haya yote tutajua baada ya kupewa kipigo cha mbwa koko mwezi oktoba mwaka huu. Nyie endeleeni kushangilia vitu visivyo na maana badala ya kupigania tume huru.Wameitwa Dom wakaenda Lumumba.. Siku waliyopangiwa hawakwenda bali wakaenda siku waliyotaka... Badala ya kuhojiwa wao ndio wakahoji...!!!
UKISIKIA CCM INA WENYEWE NDIO HAWA SASA
Jr[emoji769]
Sent using Jamii Forums mobile app