Tetesi: Dr Bashiru Makamu Mwenyekiti Bara

Ccm wanajuana hukaa mezani nakumaliza tofauti zao bashiru kama tetesi Huenda akavaa viatu vya kinana maana mama anajuwa kundi la vijana wa mjini limemkalia kooni sasa ameamua aende na kundi AMBALO alifanya nalo kazi tangu akiwa makamu wa raisi , hili kundi kwake NI sahihi hata kundi lile alilolimwaga lilimtisha wakati anaanza safari yake ya ukuu wa nchi , na kumpa maneno ya uongo kuhusu kundi Hilo la sukuma gang ikapelekea kutoliamini ! Amekuja kushituka sasa hivi kuwa alifanya makosa makubwa na hata kwa kasimu majaliwa aliambiwa NI threat kwake kumbe hamna , kwa sasa ameshituka amejuwa Sura zao kinana na kundi lake ,

Na mama hataki ccm ya makundi alishakataa wao wanatengeneza makundi tena kwa kutoa Hadi r..ho za watu ,NI hatari Sana kundi Hilo kwa ustawi wa taifa letu.
 
Hakuna kukulia chamani na hayupo mwana ccm wakumunyooshea vidole bashiru WOTE wameoza kupitia Mali za chama, waangalie wakina bulembo na kundi lake la jk jina la bashiru NI threat kwao.
 
Hiyo ni point kubwa 🙌👍
 
Kabisa ! 🙌🙏
 
Kama hii itakua ni kweli basi tunaishi kpnd ambacho siasa kweli imefanywa Tanzania, what a great time to be alive
 
Ummí ndo makamu wa mwenyekiti ccm Tanzania Bara chukua kutoka kwangu
 
Watanzania tuamke sasa tudai nchi yetu kutoka kwenye mikono ya kikundi cha watu.
 
Tuliowapa mamlaka ya kutufanyia kazi wamegeuka wamiliki wa nchi na muda mwingi wanautumia kupanga namna ya kuendelea kututawala na kula tu.

Matokeo yake sasa imefanya wenyewe kwa wenyewe kuwa na vikundi vinavyoshindana kutafuta ulaji (rivals cartel), Kila mtu ameside kwenye cartel yake kulingana na namna anavyoona, Kila mipango inayopangwa sasa ni kutafuta namna ya kujilinda na kushinda vita na sio kutumikia wananchi.

Wananchi tunapaswa kuamka sasa na kudai nchi yetu kutoka kwenye mikono ya maharamia.
 
Hivi Bashiru ana ushawishi upi Kanda ya Ziwa? Yaani ni bora akateuliwa Msukuma kuliko Bashiru
 
Siasa hiyo mkuu Leo maadui Kesho marafiki wanasiasa hawaaminiki
 
Haiwezekani.
Yeye ndiye aliyekuwa Katibu Mkuu katika ule Uchaguzi ambao Wapinzani walipata kiti kimoja tu.
 
Sasa rasmi ligi ya Boyz2men na Iron lady bado kipyenga tu.
 
Nilidhani labda zali lime muangukia pisi kali malaya kumbe hola tena 💩💩💩💩
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…