Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinana hiyo demotion ya cheo cha kijeshi aliipata lini?Heshima sana wanajamvi,
Taarifa nyeti chini ya carpet Dr Bashiru Katibu Mkuu Msaafu na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafishwa anatarajiwa kuchukua mikoba ya Lt Col Kinana.
Katika hatua ya kujiondoa taratibu kutoka kambi ya Wazee wa kulamba asali Mama wa Kizimkazi kaamua kijikita zaidi huko Kanda ya Ziwa ili kujiakikishia kura za kutosha.
Sasa ni wazi mkakati wa kukisambaratisha kile chama kilichoshindikana kusambaratishwa kupitia Mch asiye na kanisa umeshindikana kabisa.Mch anaokena kituko na kichekesho.
Ngongo kwasasa Harare.
Baki hapoHv unaujua uwaziri mkuu???? Au unaongea ongea tu.
Kaka nipo hapa,sioni Bashiru akiwa makamu kwa sababu zifuatazo.Nikikumbuka zile picha za mwanzo mwanzo baada ya Samia kuapishwa kuwa Rais kuna moja Kakurwa alikuwa anamuangalia kwa woga Rais na kuna stori nyuma yake kuwa yeye ndiye alikuwa kinara kupinga asiapishwe, na hii habari kama ni kweli ndiyo uthibisho wa ile kauli kuwa kwenye siasa hakuna adui wa kudumu, bali kuna malengo ya kudumu na malengo ya CCM ni kuendelea kushika dola.
Nakubaliana na wewe Kakurwa hana mizizi kabisa ndani ya CCM yule alichukuliwa kutoka CUF akiwa mhadhiri UDSM.Kaka nipo hapa,sioni Bashiru akiwa makamu kwa sababu zifuatazo.
1.Makuzi yake ndani ya Chama
Bashiru hajakulia chamani aliokotwa tu pale UD akapachikwa na JPM.Kwakua hakukua na uhuru ilibidi wakubali.
2.Kukubalika kwa Bashiru na Samia pamoja na wenyeviti CCM mikoa.
Kutokana na hali ya Chama sasa Samia inabidi apendekeze majina ya watu ambao watapigiwa kura na kamati kuu NEC wale 25.
Hii itamfanya aweze kufanya kazi na watu na tawala za mikoa za kichama.
Bashiru ataleta masuko mkubwa sana kwa Chama.
Lasivyo Chama kitapata shida,Wapo wazee wengi wanao kubalika kichama na heshima yao ni kubwa.Kuna Olesendeka,Anton Dialo,Mwakyembe
Duuh !!!! Kazi ipo.Hizi sarakasi za kutuingiza kingi watu wa Kanda ya Ziwa haziwezi kufanya kazi. Tumekwisha fanya maamuzi yetu kuwa hatudanganyi,bado hatujasahau machungu yetu. Hata kama wizi wa kura utafanyika lakini tutafanya kile kilicho wajibu wetu wa kusema hapana kwenye sanduku la kura.
Yes Pima Uzoefu wa Anton Dialo wa Star tv na Bashiru?Nakubaliana na wewe Kakurwa hana mizizi kabisa ndani ya CCM yule alichukuliwa kutoka CUF akiwa mhadhiri UDSM.
Kwani britanicca anasemaje?JF kwa data za chini ya kapeti, kiboko!.
P
Suala lililopo ubaoni sio Nani ana uzoefu ndani ya Chama bali nani anaweza kumsaidia Mwenyekiti dhidi ya wale anaowaona kama ni kipingamizi kwake ndani ya Chama katika kinyang’anyiro kijacho !Nakubaliana na wewe Kakurwa hana mizizi kabisa ndani ya CCM yule alichukuliwa kutoka CUF akiwa mhadhiri UDSM.
Samia anamuamini Bashiru Ally kweli??? Anaweza kufanya hivyo kujaribu ku win suuport ya watu wa Kanda ya Ziwa na wale Pro Magufuli tu.Suala lililopo ubaoni sio Nani ana uzoefu ndani ya Chama bali nani anaweza kumsaidia Mwenyekiti dhidi ya wale anaowaona kama ni kipingamizi kwake ndani ya Chama katika kinyang’anyiro kijacho !
Ni lazima apange safu yake anayoiamini !!
Sidhani !Samia anamuamini Bashiru Ally kweli???
Una uhakika Kama Rais Samia ataendelea 2025 kwa 100%?Mimi naona Ummy Mwalimu ni waziri Mkuu ajaye. Na atakuwa waziri Mkuu wa kwanza mwanamke Tz.
Tuwekee hiyo record basiMtu arekodiwe anamkashifu Rais halaf awe makamu mwenyekiti! Futa hii ndoto
Akifanya hivyo kwa kupanga safu yake kichama ataangukia pabaya.Suala lililopo ubaoni sio Nani ana uzoefu ndani ya Chama bali nani anaweza kumsaidia Mwenyekiti dhidi ya wale anaowaona kama ni kipingamizi kwake ndani ya Chama katika kinyang’anyiro kijacho !
Ni lazima apange safu yake anayoiamini !!
Ukiona hivyo ujue wanajiandaa kutangaza taarifa za kifoHeshima sana wanajamvi,
Taarifa nyeti chini ya carpet Dr Bashiru Katibu Mkuu Msaafu na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafishwa anatarajiwa kuchukua mikoba ya Lt Col Kinana.
Katika hatua ya kujiondoa taratibu kutoka kambi ya Wazee wa kulamba asali Mama wa Kizimkazi kaamua kijikita zaidi huko Kanda ya Ziwa ili kujiakikishia kura za kutosha.
Sasa ni wazi mkakati wa kukisambaratisha kile chama kilichoshindikana kusambaratishwa kupitia Mch asiye na kanisa umeshindikana kabisa.Mch anaokena kituko na kichekesho.
Ngongo kwasasa Harare.
Hivi Dkt. Nadhiru Ali Kakurwa ana lipi jipya??Heshima sana wanajamvi,
Taarifa nyeti chini ya carpet Dr Bashiru Katibu Mkuu Msaafu na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafishwa anatarajiwa kuchukua mikoba ya Lt Col Kinana.
Katika hatua ya kujiondoa taratibu kutoka kambi ya Wazee wa kulamba asali Mama wa Kizimkazi kaamua kijikita zaidi huko Kanda ya Ziwa ili kujiakikishia kura za kutosha.
Sasa ni wazi mkakati wa kukisambaratisha kile chama kilichoshindikana kusambaratishwa kupitia Mch asiye na kanisa umeshindikana kabisa.Mch anaokena kituko na kichekesho.
Ngongo kwasasa Harare.