misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Haijui nahisiHivi unafikiri alikuwa CUF kwa bahati mbaya,hii nchi huijui.
Na hajui ndugu B ni mwandamizi ingawa akuwa ndani kama akina magoty
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijui nahisiHivi unafikiri alikuwa CUF kwa bahati mbaya,hii nchi huijui.
Wee huogopi?Mimi naona Ummy Mwalimu ni waziri Mkuu ajaye. Na atakuwa waziri Mkuu wa kwanza mwanamke Tz.
Kuitwa CUFDr. Bashiru akikubali uteuzi huo ujue mjinga. Alipotenguliwa ukatibu mkuu alitukanwa kila aina ya matusi na wanaccm, mara aitwe CUF, mara aitwe msaliti, n.k.
Hayati mrema alikuwa nccr ukilijua hilo uwezi kushangaaNi hiyo huyo ila Kabla ya kuwa hapo Bashiru alikua CUF na mkufunzi UDSM.Pia alikua mchambuzi mzuri wa siasa za Tanzania
Magu akambeba hivyo hivyo na kumpa cheo watu hawakuweza kuhoji sababu aliendesha chama kwa kauli ya ndio mzee
Tulisema Msigwa ni garasha hamku tuelewa.Heshima sana wanajamvi,
Taarifa nyeti chini ya carpet Dr Bashiru Katibu Mkuu Mstaafu na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafishwa anatarajiwa kuchukua mikoba ya Lt Col Kinana.
Katika hatua ya kujiondoa taratibu kutoka kambi ya Wazee wa kulamba asali Mama wa Kizimkazi kaamua kijikita zaidi huko Kanda ya Ziwa ili kujiakikishia kura za kutosha.
Sasa ni wazi mkakati wa kukisambaratisha kile chama kilichoshindikana kusambaratishwa kupitia Mch asiye na kanisa umeshindikana kabisa.Mch anaokena kituko na kichekesho.
Ngongo kwasasa Harare.
We ndio huwazi kabisa hapo.mwenyekiti wa Palore ni kama takataka tu nchi hii.Kuitwa CUF
Hayati mrema alikuwa nccr ukilijua hilo uwezi kushangaa
UjanielewaWe ndio huwazi kabisa hapo.mwenyekiti wa Palore ni kama takataka tu nchi hii.
SahihiWewe humjui Bashiru hata kidogo.Huyu mtie daraja moja na Zitto walikuwa upinzani kwa kazi maalumu.
Ikiwa ni kweli, basi level ya siasa zetu ilipofika imeshindikana. Very complicatedHeshima sana wanajamvi,
Taarifa nyeti chini ya carpet Dr Bashiru Katibu Mkuu Mstaafu na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafishwa anatarajiwa kuchukua mikoba ya Lt Col Kinana.
Katika hatua ya kujiondoa taratibu kutoka kambi ya Wazee wa kulamba asali Mama wa Kizimkazi kaamua kijikita zaidi huko Kanda ya Ziwa ili kujiakikishia kura za kutosha.
Sasa ni wazi mkakati wa kukisambaratisha kile chama kilichoshindikana kusambaratishwa kupitia Mch asiye na kanisa umeshindikana kabisa.Mch anaokena kituko na kichekesho.
Ngongo kwasasa Harare.
mwacheni kinana apumzike, mie niko la kwanza yeye ni mstaafu wa jeshi namie nimeshaafu mwaka janaKutambua mali za Chama hakuwa peke yake,na Mzee alimuweka pale kama kinyago kuwatisha wazoefu wa CCM.
Huyu bwana hakuwa ndani ya Mfumo kabisa wa CUF wala maamuzi.
Magu kumteua kama katibu mkuu haimaanishi ni mtu sahihi sababu hata kipindi hiko veting haikufanyika kisawa sawa.
Hebu niambie Bashiru atasimama na Mwenyekiti gani wa CCM mkoa?
KWa sasa mwenyeji wa Samia ndani ya Chama ni MH Kikwete.Samia mi mgeni tu mgeni kabisa na hajui kona kona za Chama na fitna zake.
Kumbuka kuondoka kwa Kinana hakukua kwa wakati mzuri na hatujui nini kimetokea huko.
Hapo tunamzungumzia Bashiru,wewe kustaafu kula penshen mzeemwacheni kinana apumzike, mie niko la kwanza yeye ni mstaafu wa jeshi namie nimeshaafu mwaka jana
Ni bora iwe hivyo.Heshima sana wanajamvi,
Taarifa nyeti chini ya carpet Dr Bashiru Katibu Mkuu Mstaafu na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafishwa anatarajiwa kuchukua mikoba ya Lt Col Kinana.
Katika hatua ya kujiondoa taratibu kutoka kambi ya Wazee wa kulamba asali Mama wa Kizimkazi kaamua kijikita zaidi huko Kanda ya Ziwa ili kujiakikishia kura za kutosha.
Sasa ni wazi mkakati wa kukisambaratisha kile chama kilichoshindikana kusambaratishwa kupitia Mch asiye na kanisa umeshindikana kabisa.Mch anaokena kituko na kichekesho.
Ngongo kwasasa Harare.
Haiwezi kuwa hataa
Haiwezi kuwa hataa