Tetesi: Dr Bashiru Makamu Mwenyekiti Bara

Tetesi: Dr Bashiru Makamu Mwenyekiti Bara

Heshima sana wanajamvi,

Taarifa nyeti chini ya carpet Dr Bashiru Katibu Mkuu Mstaafu na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafishwa anatarajiwa kuchukua mikoba ya Lt Col Kinana.

Katika hatua ya kujiondoa taratibu kutoka kambi ya Wazee wa kulamba asali Mama wa Kizimkazi kaamua kijikita zaidi huko Kanda ya Ziwa ili kujiakikishia kura za kutosha.

Sasa ni wazi mkakati wa kukisambaratisha kile chama kilichoshindikana kusambaratishwa kupitia Mch asiye na kanisa umeshindikana kabisa.Mch anaokena kituko na kichekesho.

Ngongo kwasasa Harare.
CCM wanajitafuta, walivyomtukana Leo hii watamshangilia, kiwango cha unafiki kinatisha
 
Akirudi Bashiru basi CCM kumewaka moto maana huyo walikuwa hawapikiki wakaiva na JK
 
Kaka nipo hapa,sioni Bashiru akiwa makamu kwa sababu zifuatazo.

1.Makuzi yake ndani ya Chama
Bashiru hajakulia chamani aliokotwa tu pale UD akapachikwa na JPM.Kwakua hakukua na uhuru ilibidi wakubali.

2.Kukubalika kwa Bashiru na Samia pamoja na wenyeviti CCM mikoa.
Kutokana na hali ya Chama sasa Samia inabidi apendekeze majina ya watu ambao watapigiwa kura na kamati kuu NEC wale 25.
Hii itamfanya aweze kufanya kazi na watu na tawala za mikoa za kichama.
Bashiru ataleta masuko mkubwa sana kwa Chama.

Lasivyo Chama kitapata shida,Wapo wazee wengi wanao kubalika kichama na heshima yao ni kubwa.Kuna Olesendeka,Anton Dialo,Mwakyembe,Geogre Mkuchika na wengine wengi
Pinda
 
Nikikumbuka zile picha za mwanzo mwanzo baada ya Samia kuapishwa kuwa Rais kuna moja Kakurwa alikuwa anamuangalia kwa woga Rais na kuna stori nyuma yake kuwa yeye ndiye alikuwa kinara kupinga asiapishwe, na hii habari kama ni kweli ndiyo uthibisho wa ile kauli kuwa kwenye siasa hakuna adui wa kudumu, bali kuna malengo ya kudumu na malengo ya CCM ni kuendelea kushika dola.
Ile ulikuwa kupanic baada ya msiba. Ule msiba ulikuwa mzito.
 
Kutambua mali za Chama hakuwa peke yake,na Mzee alimuweka pale kama kinyago kuwatisha wazoefu wa CCM.

Huyu bwana hakuwa ndani ya Mfumo kabisa wa CUF wala maamuzi.

Magu kumteua kama katibu mkuu haimaanishi ni mtu sahihi sababu hata kipindi hiko veting haikufanyika kisawa sawa.
Hebu niambie Bashiru atasimama na Mwenyekiti gani wa CCM mkoa?

KWa sasa mwenyeji wa Samia ndani ya Chama ni MH Kikwete.Samia mi mgeni tu mgeni kabisa na hajui kona kona za Chama na fitna zake.

Kumbuka kuondoka kwa Kinana hakukua kwa wakati mzuri na hatujui nini kimetokea huko.
Bashiru hawapatani na Kikwete pia
 
Heshima sana wanajamvi,

Taarifa nyeti chini ya carpet Dr Bashiru Katibu Mkuu Mstaafu na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafishwa anatarajiwa kuchukua mikoba ya Lt Col Kinana.

Katika hatua ya kujiondoa taratibu kutoka kambi ya Wazee wa kulamba asali Mama wa Kizimkazi kaamua kijikita zaidi huko Kanda ya Ziwa ili kujiakikishia kura za kutosha.

Sasa ni wazi mkakati wa kukisambaratisha kile chama kilichoshindikana kusambaratishwa kupitia Mch asiye na kanisa umeshindikana kabisa.Mch anaokena kituko na kichekesho.

Ngongo kwasasa Harare.
mnemkosesha huo ulaji
 
Heshima sana wanajamvi,

Taarifa nyeti chini ya carpet Dr Bashiru Katibu Mkuu Mstaafu na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafishwa anatarajiwa kuchukua mikoba ya Lt Col Kinana.

Katika hatua ya kujiondoa taratibu kutoka kambi ya Wazee wa kulamba asali Mama wa Kizimkazi kaamua kijikita zaidi huko Kanda ya Ziwa ili kujiakikishia kura za kutosha.

Sasa ni wazi mkakati wa kukisambaratisha kile chama kilichoshindikana kusambaratishwa kupitia Mch asiye na kanisa umeshindikana kabisa.Mch anaokena kituko na kichekesho.

Ngongo kwasasa Harare.
Sasa ni wazi mkakati wa kukisambaratisha kile chama kilichoshindikana kusambaratishwa kupitia Mch asiye na kanisa umeshindikana kabisa.Mch anaokena kituko na kichekesho.🤣🤣🤣🤣🤣
 
Bashiri kuwepo uraiani tu Mganga wake itakuwa alifanya kazi iliyozidi Tambiko la Bagamoyo la kina Sheikh Yahya na Forojo Ganze.
 
Back
Top Bottom