Dr. Bashiru: Mbinu na mikakati tuliyotumia kupata ushindi wa 99% kwenye Serikali za mitaa ndizo tutakazotumia uchaguzi mkuu 2020

Kwani tatizo liko wapi Chadema wakose au wapate wabunge. Maadamu MABADILIKO yapo ndani ya mioyo ya watanzania yatafanyika tu. Uwizi wa kura kwa kutumia polisi jeshi wala haitasaidia ila tunasubiri hiyo siku kwasababu nyie ndio wale wale bendera fuata upepo
 
nashauri viongozi wasome alama za nyakati. watanzania sio wajinga kiasi hicho. hakuna mtu mbaya kwenye maamuzi kama mtu mkimya! time will tell!
 
Na kweli mkuu kuwakimbia wagombea wa upinzani,kuedit fomu zao na kujipitisha bila kupingwa sawa kabisa ccm oyeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Anaitumbukiza nchi katika machafuko aache kabisa ujinga huo
 
Hata wapate 100%, mafuriko ya Dar yako palepale,barabara za Korogwe zitabaki vilevile,na umaskini utabaki palepale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…