Uwazitu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2019
- 1,419
- 1,397
Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema kuwa katika uchaguzi mkuu wa Octoba 2020 CCM itatumia mbinu, mikakati na ubunifu ule ule uliotumika kupata ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
Dr Bashiru amesisitiza kuwa yeyote atakayejipendekeza kugombea udiwani, uwakilishi, ubunge au urais kupitia Upinzani atakuwa ni halali ya CCM kwani KUSHINDWA ni demokrasia pia.
Dr Bashiru amesema hayo akiwa ziarani wilayani Korogwe mkoani Tanga
Source: Star Tv Habari
My take: Mnyika na Chadema watapata wakati mgumu sana mwaka huu. Chadema bila mbunge itaandikwa historia mpya.
Maendeleo hayana vyama!
Kauli ya Nape "tutafunga tu hata goli la mkono.