Dr. Cheni aeleza sababu za kutojihusisha tena na filamu nchini

Dr. Cheni aeleza sababu za kutojihusisha tena na filamu nchini

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
1478114270899.jpg
Mwigizaji na mtayarishaji wa filamu nchini, Dr Cheni amesema hatatoa tena filamu nyingine kutokana na hali ya kibiashara ilivyo katika tasnia ya filamu hapa nchini

Dr. Cheni alisema hayo alipokuwa akizungumza na E News ya EATV ambapo alisema kuwa kazi zao hazina ulinzi na haiwafaidishi wasanii ndio maana huoni umuhimu wa kuendelea kutoa kazi hizo

Dr. Cheni alisema ukitoa leo filamu mpya baada ya siku moja utaikuta imesambaa nchi mzima ikiwa inauzwa tena kwa bei chee, alipoulizwa hadi lini ndo atatoa filamu, alisema kuwa hadi hapo Serikali itakapoingilia kutatua suala la kazi zao

"Siwezi kutoa tena filamu hadi Serikali itakapo hakikisha kuwa kazi zetu zipo salama, ukitoa filamu leo siku moja ya pili ya tatu unazikuta chini zinauzwa ambazo ni bandia, kilio chetu sisi bongo movie ni kazi zetu zinaibwa, namuomba Rais Magufuli aingilie kati suala hili kwani vijana wengi wamejiajiri kwenye bongo movie "alisema Dr Cheni

Chanzo : Swahilitimes
 
Mkuu Specialist 88
Hongera Sana Kwa Kuweka Hizo Picha Yaani
Nimezitazama Kwa Kina Nimegundua Bongo Movies Inatia Kinyaa Sana Hawawezi Kulalamika Hawa
Walikataa Mabadiliko Mchana Muda Mwingi
Walikuwa Ndumilakuwili Leo Wanadhani Number Haiwahusu Lazima Waisome!!
 
Mkuu Specialist 88
Hongera Sana Kwa Kuweka Hizo Picha Yaani
Nimezitazama Kwa Kina Nimegundua Bongo Movies Inatia Kinyaa Sana Hawawezi Kulalamika Hawa
Walikataa Mabadiliko Mchana Muda Mwingi
Walikuwa Ndumilakuwili Leo Wanadhani Number Haiwahusu Lazima Waisome!!
Duu... Mkuu makavu laivu hayoo
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mkuu Specialist 88
Hongera Sana Kwa Kuweka Hizo Picha Yaani
Nimezitazama Kwa Kina Nimegundua Bongo Movies Inatia Kinyaa Sana Hawawezi Kulalamika Hawa
Walikataa Mabadiliko Mchana Muda Mwingi
Walikuwa Ndumilakuwili Leo Wanadhani Number Haiwahusu Lazima Waisome!!
Hatutaki kusikia kelele zao kabisa, kila mtu abebe msalaba wake kimya kimya….
 
Mkuu Specialist 88
Hongera Sana Kwa Kuweka Hizo Picha Yaani
Nimezitazama Kwa Kina Nimegundua Bongo Movies Inatia Kinyaa Sana Hawawezi Kulalamika Hawa
Walikataa Mabadiliko Mchana Muda Mwingi
Walikuwa Ndumilakuwili Leo Wanadhani Number Haiwahusu Lazima Waisome!!
Dr Cheni haisomi number sana maana yeye ni Mc kwenye maharusi na send off. Shida ni hao kina Ray Stive, na kina Wema wanaotegemea kuhongwa ndo wanaisoma number kwa unafiki wao.
 
YAANI WATU WOTE WANGENISIKILIZA TUNGEANZA KAMPENI YA MAKUSUDI YA KUWAANGAMIZA WASANII WOTE WALIOCHAGUA CCM KWA KUSUSIA KILA WANACHOFANYA. NDIYO MAANA NDOMO SIMPENDI KABISA INGAWA ANATOKA KASULU KWETU.
 
Back
Top Bottom