Dr. Cheni akanusha mfungwa Lulu kuonekana Uganda akila bata sikukuu ya Pasaka

Dr. Cheni akanusha mfungwa Lulu kuonekana Uganda akila bata sikukuu ya Pasaka

Niliona humu JF member mmoja akimtuhumu huyu bwana kummega lulu toka zamani b4 kanumba
 
Unajua watu ambao hawajawahi kukaa gerezani huwa wanadanganyana sana tena sana. Yani hakuna asikari wasio aminiana kama wa magereza na hakuna asikari magereza anae mwamini mfungwa hata uwe mpole na mstarabu kiasi gani.gerezani mfungwa anatoka na asikari nje dakika tatu nyingi ukirudi lazima usachiwe.leo ndo wamuache lulu akasherekee sikukuu uganda!!! Wakina ruge wako pale basi wangekuwa wanalala hotel kama ingekuwa ni rahisi. Jamani asiwadanganye mtu hata uwe na pesa kiasi gani ukishangia gerezani umeingia sana sana utapewa magodoro mazuri kama matatu ya kuungamisha kulalia.
Mfano Makonda akitoa amri muachie Lulu kuna askari atabisha?
 
Mlezi wa hiyari wa msanii Elizabeth Michael aka Lulu amekanusha bint yake kuonekana katika viunga vya Kampala Uganda akila bata wakati wa Pasaka. Dr Cheni amewataka waandishi kumtembelea Lulu gerezani ambako watamkuta amejaa tele akiendelea kutumikia adhabu yake ya miaka mitatu gerezani. Source Eatv!
Msemaji wa mgereza!
 
Unajua watu ambao hawajawahi kukaa gerezani huwa wanadanganyana sana tena sana. Yani hakuna asikari wasio aminiana kama wa magereza na hakuna asikari magereza anae mwamini mfungwa hata uwe mpole na mstarabu kiasi gani.gerezani mfungwa anatoka na asikari nje dakika tatu nyingi ukirudi lazima usachiwe.leo ndo wamuache lulu akasherekee sikukuu uganda!!! Wakina ruge wako pale basi wangekuwa wanalala hotel kama ingekuwa ni rahisi. Jamani asiwadanganye mtu hata uwe na pesa kiasi gani ukishangia gerezani umeingia sana sana utapewa magodoro mazuri kama matatu ya kuungamisha kulalia.
We unaongea hisia zako tu!Kuna siku wakina Basil mramba walitokea mahakamani peke yao bila ulinzi wa askari magereza wakati walikuwa ni mahabusu na siku hiyo haikuwa siku ya kesi yao! Hadi Hakimu aliposhtuka na kumuuliza mramba "umetokaje mahabusu mwenyewe?" mramba akamjibu kuwa "nimeomba tu ruhusa mheshimiwa ili nije kuongea na wewe" Hakimu akamtimua!! Kwanza sjui unaongea na nini!!
 
Mfano Makonda akitoa amri muachie Lulu kuna askari atabisha?
Hana huo uwezo bro. Mahakama pekee ndo inauwezo huo au rais kupitia misamaha yake jamani magereza isikieni tu kwanza mnahesaviwa most of the time hii yote ni kutowaamini watuhumiwa na wafungwa
 
Kwani hana wazazi hadi mlezi wa hiari atoe maelezo haya
 
Mbona Wanasema Yupo Karibu Kujifungua Hali Yake Ipo Hoi
 
Labda aliachiwa wikiendi hii ili kuomboleza kifo cha 'the great'
 
Back
Top Bottom