Dr. Chris Mauki vs Kataa Ndoa: Je, ndoa ni suala la Kisaikolojia? Ni lazima Uoe? Hayo na mengine mengi yamejibiwa hapa, sogea karibu kushiriki mjadala

😃😂😂😂
 
Once Again Kataa Ndoa Wameshinda Ushindi Mnono
Kataa ndoa nyuma ya keyboard wanaushindi mnono...

Ki uhalisia mwanaume hawez kuishi bila mwanamke maisha yake yote....labda km wanakataa hizo karatasi za kifungo cha ndoa.

Jeuri ya afya, pesa na nguvu walizonazo sasa hv ndo zinawadanganya...wacha wagonge 50 tuone km hawajatafta hata singo mm wasogeze maisha
 
Amna guarantee utazeeka.
 
Sikupingi mwamba. End of story
Naam mkuu, tatizo watu hatutaki kuambiwa ukweli Kuna watu wanakufa kwa stress kwa sababu zimewajaa kifuani, ukifuatilia zaidi chazo Ni :-

Ndoa-watoto-wasiowake-anakuja kujua umri umeshaenda - matoto yameshakuwa makubwa- matoto yanaaza kumdharau mdingi aliyelea toka vichanga -mke anakujibu samahani ilikuwa bahati mbaya 😭 - mwanaume anabaki kuugua pressure- stress-R.I.P.
 
unapokaa na mtu wa jinsia ya tofauti kwenye nyumba yako zaidi ya siku 90 mkiwa na mahusiano ya kindoa basi inakuwa mmeona.
Sheria ya wapi hii?

Kwa mujibu wa Sheria ya Ndoa ya JMT; mnakuwa presumed wanandoa endapo mtakaa miaka miwili consecutively na jamii ikawashuhudia na kuwapa hadhi ya wanandoa. Please check your facts.
 
Ila unakuta pia na yeye anafanya kazi hivyo basi anajaribu namna ya kufanya uwepesi asitingwe na kazi nyingi, atoke kazini na bado akupikie, akupigie pasi nguo zako za kesho kazini, sijui akuandalie nini la lele. Kweli Ndoa ni tafrani ila pia mida imebadilika maisha ya zamani haswa ya ndoa yakiwa implemeneted sasa hio ndoa itakuwa ina issues zake. kila maisha yanaissue zake ila way to deals with it huwa tofauti ataukiwa mwenyewe utajikuta upo kwenye hali tafrani kwa vitu vidogo vidogo tu
 
Huwa nikiona kina @Mzee wa kupambania na genge lake wakiuliza wanawake wana nini chaku-offer zaidi ya sex kwenye mahusiano/ndoa nakasirika sana, hata kama vitu vingine walivyoongea ni point 💯 siwapi #LIKE
Labda nikuulize tu Dr Lizzy wewe una mchango gani kwenye mahusiano yako ukitoa mchango wa kibailojia?

Si kwa ubaya lakini
 
Bilget,Jeff Bezo,Elon Musk,Dangote,Magufuli,Samia,Mkapa,Mandela watu wengi tu wa maana kabisa katika hii Dunia ndoa ziliwashinda.
Lakini hao uliotaja wengi wao baada ya divorce hawekuweza kudumu na u bachelor maana ni mateso sana, walijipatia wenza wapya..

Imagine ufike 50, 60+ uko single, huo ni msala broo.

Pamoja na ugumu wa ndoa, ila kuna majukumu nyumbani yanahitaji mwenza awepo .

Lastly, naona umemtaja Sa100, mbona nasikia ana mwenza?
 
Okay mtabishana sana hapa. Ila majibu nyote mtayapata umri ukishaenda. Ambaye hahitaji ndoa atajulikana na ambaye anaihitaji atajulikana.

Ndoa inasababu zake kuwepo na kila mtu mahitaji yake anayotafuta katika ulimwengu wa mapenzi yanapatikana ndani ya ndoa.

Shida ni mafunzo hafifu, background mbovu na kukosa muongozo mzuri ndio imekuwa chanzo kikubwa cha watu kuleta ligi.

Swala la msingi kuelewa ni kwamba ndoa kama biashara ina muda wa kuwekeza na muda wa kuanza kula matunda yake kuanzia hisia, upendo, watoto na umoja wenu.

Wewe kama utaishi kwa hisia negative ujana wako usitegemee mvi zikija utakapotaka utulivu basi yule mwenzako uliyekuwa ukigombana na kurumbana nae automatically atakuwa best friend wako na atakuwa anakutazama kwa uso wa tabasamu vita ni vita mura ataendelea kukupa ulichowekeza.

Kama watoto wako ulilea kwa misingi ya hovyo uzeeni hautakuwa na familia utakuwa wewe kama wewe.

Kwa kifupi ni kwamba, muda wa uwekezaji wa ndoa ni kuanzia miaka 16 hadi 45 au 50 ( kwa mwanamke) na kwa mwanaume ni kuanzia miaka 20 kuendelea.

Huo umri ukiwa ndani ya ndoa mengi hutokea, utapairbond na mwenzako hadi muwe soulmates a.k.a mapacha wa roho na mwili, utazoeana tabia na kuwa synchronous, mtakuwa inseparable, mtajuana nje ndani, mtafanya mambo mengi pamoja, ikifika miaka 50 huyo mwenzako psychologically anakuwa ni nusu yako huwezi ishi bila yeye na utapambana kumuona akiwa hai hautataka atoweke. Na ndio kitu ambacho hakipo miaka hii.

Unalala na mwanamke ameshapigwa pumbu na wanaume 100 maisha yake yote how will you pair bond?

Unalala na mwanaume anaekuona kama chombo cha starehe na mchumia tumbo tu unategemea nini?

Hamna mapenzi mnainterests, huyu anataka pesa huyu anataka kula mzigo, mwisho wa siku mnapoteza muda tu.

Unakuja tafuta mapenzi serious umri umeenda we mwanamke una miaka 30+ unatafuta ndoa ya kazi gani sasa? [emoji23][emoji23][emoji23] Ili ukafanye nini au kujenga kitu gani na ndoa ni agano la kiroho, wewe unaendaje na roho yenye kila aina ya takataka? [emoji848]

Nimesema mwanamke makusudi sababu mwanaume anayonafasi kubwa sana ya kujenga ndoa kuanzia miaka 30 hadi 50. Na anajenga binti mdogo kabisa ambaye hajafika hata 25 na wanaenda fresh mifano ipo mingi sana.

Nitafutie mwanamke wa miaka 30+ ambaye anapata mwanaume asiye majanga ili mradi tu aolewe. Muda ukienda ni tatizo.
 
Kuna mwanaume tena proper African man anaweza "chores za kike" kwa muda mrefu bila shida? Mkawa na karatiba kabisa?
 
You have said it all bro.
 
Well said, life is all about healthy companionship..

upumbavu ni mwanaume kujiita kataa ndoa halafu muda huo kuna mwanamke umemuweka kinyumba sogea tukae.

Kama wewe ni kataa ndoa kweli at least don't bring innocent kids to the world and atleast be dealing with hookers or let women you are sleeping with upfront that marriage is not a thing for you. Sex and that's it
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…