DR Congo yakerwa na kauli ya William Ruto

DR Congo yakerwa na kauli ya William Ruto

Ikaria

Member
Joined
Jul 17, 2019
Posts
93
Reaction score
238
Ubalozi wa #Kenya nchini #DRC umelaani vikali 'kauli za dharau na kejeli' alizotoa Naibu Rais Williams Ruto kuhusu taifa la DRC.

Baadhi ya raia wa DRC wameanza kususia bidhaa za Wakenya walioko jjjini Kinshasa.

Naibu Rais William Ruto aliikejeli DRC kwa kusema taifa hilo ni maskini na halina hata ng'ombe mmoja. Aidha Ruto aliongeza kuwa wanachojua kufanya ni kuimba midundo ya Rhumba tu.


20220216_171906.jpg
 
Ubalozi wa #Kenya nchini #DRC umelaani vikali 'kauli za dharau na kejeli' alizotoa Naibu Rais Williams Ruto kuhusu taifa la DRC.

Baadhi ya raia wa DRC wameanza kususia bidhaa za Wakenya walioko jjjini Kinshasa.

Naibu Rais William Ruto aliikejeli DRC kwa kusema taifa hilo ni maskini na halina hata ng'ombe mmoja. Aidha Ruto aliongeza kuwa wanachojua kufanya ni kuimba midundo ya Rhumba tu.

View attachment 2121144
😂😂Dah shamkwale wamemaindi
 
😂😂Dah shamkwale wamemaindi
njo vile hatukubali mu matusi enye mmetupala😂, ila wacongo bana unajua hata vita huwa hawawezi ? wakati wa shaba 1&2 walipovamiwa wanajeshi walijiumiza ili kukwepa kwenda front line, na wakati wa vita 1996-1997 nchi ilivamiwa ila wanajeshi wakawa wanakimbia wanawapa raia bunduki wapambane wao
 
Waliotakiwa kulaani hiyo kauli ni wakenya au wakongo? tuwekane sawa hapo pili nchi maskini raia wake hawana ubavu wa kususia bidhaa, uliona wapi ombaomba unasusia msosi??
 
Zaire iliwahi kufunga balozi ya Belgium sababu kuna mwandishi mmoja alimshutumu Rais wa Zaire kwamba ni mwizi, ingekuwa zamani hapa kenya ingeambiwa iombe radhi au balozi afukuzwe
 
njo vile hatukubali mu matusi enye mmetupala😂, ila wacongo bana unajua hata vita huwa hawawezi ? wakati wa shaba 1&2 walipovamiwa wanajeshi walijiumiza ili kukwepa kwenda front line, na wakati wa vita 1996-1997 nchi ilivamiwa ila wanajeshi wakawa wanakimbia wanawapa raia bunduki wapambane wao
😂😂😂 Jicho la kenge mu maji. Hawataki shida we weka rhumba tucheze. Nyoshi naye lazima atoe kauli juu ya hili
 
😂😂😂 Jicho la kenge mu maji. Hawataki shida we weka rhumba tucheze. Nyoshi naye lazima atoe kauli juu ya hili
😂Nyoshi bana,anadai huwa anajifungia ndani mwezi mzima akitoka ni mweupeeee!!!!
 
Sawa ni kweli Congo masikini ila kwanini mgombea wa Urais uzungumzie hilo suala katika namna ya kuwakejeli? Kiongozi lazima uwe na filter huwezi kuongea tu kila linalokujia mdomoni.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Waliotakiwa kulaani hiyo kauli ni wakenya au wakongo? tuwekane sawa hapo pili nchi maskini raia wake hawana ubavu wa kususia bidhaa, uliona wapi ombaomba unasusia msosi??
Wote wanaweza kulaani maana hio kauli haijatolewa na serikali ya Kenya bali imetolewa na Kiongozi mmoja tena kwenye kampeni huko,kwahio inaweza kuchafua mahusiano ya Kenya na Kongo ndio maana Kenya wameilaani lakini tayari Wacongo walishachukia.
 
njo vile hatukubali mu matusi enye mmetupala😂, ila wacongo bana unajua hata vita huwa hawawezi ? wakati wa shaba 1&2 walipovamiwa wanajeshi walijiumiza ili kukwepa kwenda front line, na wakati wa vita 1996-1997 nchi ilivamiwa ila wanajeshi wakawa wanakimbia wanawapa raia bunduki wapambane wao
You guys should be serious.....
Nimecheka sana hii hadithi yako 😂😂😂
 
Back
Top Bottom