Richard spencer
JF-Expert Member
- Feb 22, 2021
- 1,225
- 1,993
Hiyo ni kwa kiongozi yeyote yule bila kujali anatokea wapiHiyo filter ni kwa kenya tu !?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni kwa kiongozi yeyote yule bila kujali anatokea wapiHiyo filter ni kwa kenya tu !?
Iletwe sasa hiyo filter!Hiyo ni kwa kiongozi yeyote yule bila kujali anatokea wapi
SijakuelewaIletwe sasa hiyo filter!
Filter inayotakiwa kutumiwa na viongozi wa Kenya iletwe na huku.Sijakuelewa
Nyoshi yani uwa ananifurahisha 😂😂😂 yeye anakwambia masuti tu😂Nyoshi bana,anadai huwa anajifungia ndani mwezi mzima akitoka ni mweupeeee!!!!
njo nina mu suti zaidi ya mia mbili, yule jamaa hanaga hater😅😅 maisha anayachukulia easy sanaNyoshi yani uwa ananifurahisha 😂😂😂 yeye anakwambia masuti tu
Kabisa mkuu yani mimi namkubali sana kama kuna mtu anamchukia basi haendi mbinguni. Yani jamaa yeye life easy kwake yuko positive kwa kila kitu.njo nina mu suti zaidi ya mia mbili, yule jamaa hanaga hater😅😅 maisha anayachukulia easy sana
kuna ngoma ameitwa na ndanda kossovo Nyoshi el sadat sauti ya simba😅 afu kakaimba kwa sauti ndogoKabisa mkuu yani mimi namkubali sana kama kuna mtu anamchukia basi haendi mbinguni. Yani jamaa yeye life easy kwake yuko positive kwa kila kitu.
😂😂 Eti sauti ya simba akaimba kwa sauti ndogo.kuna ngoma ameitwa na ndanda kossovo Nyoshi el sadat sauti ya simba😅 afu kakaimba kwa sauti ndogo
Huku inabidi iwe kubwa zaidi, kwa miaka 7 hii tumepata viongozi wa hovyo kuwahi kutokea.Filter inayotakiwa kutumiwa na viongozi wa Kenya iletwe na huku.
wa west si ndio wanaija hao ? leo nimeona picha wamedakwa saudia wamepaka make up na kuvaa hijab inaonekana walitaka kufanya utapeli,wacongo wana enjoy hapa mimi natamani kuishi kinshasa😂😂 Eti sauti ya simba akaimba kwa sauti ndogo.
Jamaa yangu flani ni muwest afrika, aliniambia afadhali ya wacongo, wao wakija hapa ni mziki na kulelewa na majimama sio matapeli kama wao wawest, ndio maana hata serikali haina shida nao sana wanaishi kama wakk kwao.
Ubalozi wa #Kenya nchini #DRC umelaani vikali 'kauli za dharau na kejeli' alizotoa Naibu Rais Williams Ruto kuhusu taifa la DRC.
Baadhi ya raia wa DRC wameanza kususia bidhaa za Wakenya walioko jjjini Kinshasa.
Naibu Rais William Ruto aliikejeli DRC kwa kusema taifa hilo ni maskini na halina hata ng'ombe mmoja. Aidha Ruto aliongeza kuwa wanachojua kufanya ni kuimba midundo ya Rhumba tu.View attachment 2121160
View attachment 2121144
Ruto ni tatizo sasa DRC hawana Ng'ombe hata mmoja?
Ule raha kama. Fally Pupa. Yes wanaija, wacameroon. Wale hatari wezi wezi wengi wao.wa west si ndio wanaija hao ? leo nimeona picha wamedakwa saudia wamepaka make up na kuvaa hijab inaonekana walitaka kufanya utapeli,wacongo wana enjoy hapa mimi natamani kuishi kinshasa
kina fally wana enjoy sana kinshasa pale,hii ni dream kubwa sana,mimi ningekuwa Dar ningekuwa nahudhuria sana show za kina nyoshiUle raha kama. Fally Pupa. Yes wanaija, wacameroon. Wale hatari wezi wezi wengi wao.
Kwa saudia watapata cha moto