DR Congo yakerwa na kauli ya William Ruto

DR Congo yakerwa na kauli ya William Ruto

Kwani uwongo huo

Ova

Kwa mali iliyopo kuanzia Goma, maniema, kisangani, lubumbashi, bukavu, butembo, beni na congo yote wanadhahabu yakumwaga wanaita Oral na wana almasi ya kumwaga wanaita diama, wana ardhi yenye rutuba sana, wana mito mikubwa maji safi, misitu minene lakini wanakufa na njaa hawana chakula kila kitu wana import hadi nyama ya ng’ombe wanaimport
 
Ruto hajakosea wacongo hawajielewi kama watanzania tusivijielewa
Bongo serikali napo kipaumbele #1 ni wasanii bongo fleva bongo movie

Taifa sahv limekuwa la bongofleva wakata mauno wanyoa viduku

Ova
 
Hizo ni dharau. Kwamba kwenye EAC wengine wote ni soko lao! Hafai huyu.
 
Kwa mali iliyopo kuanzia Goma, maniema, kisangani, lubumbashi, bukavu, butembo, beni na congo yote wanadhahabu yakumwaga wanaita Oral na wana almasi ya kumwaga wanaita diama, wana ardhi yenye rutuba sana, wana mito mikubwa maji safi, misitu minene lakini wanakufa na njaa hawana chakula kila kitu wana import hadi nyama ya ng’ombe wanaimport
kwenye suala la ardhi yenye rutuba napingana vikali wewe ...sehemu kubwa ya ardhi DRC haina rutuba ya kustawisha mazao usione misitu minene ukadhani na mazao yanastawi kama hiyo misitu kwa hiyo Wacongo watoe kwenye kilimo
 
Kwa mali iliyopo kuanzia Goma, maniema, kisangani, lubumbashi, bukavu, butembo, beni na congo yote wanadhahabu yakumwaga wanaita Oral na wana almasi ya kumwaga wanaita diama, wana ardhi yenye rutuba sana, wana mito mikubwa maji safi, misitu minene lakini wanakufa na njaa hawana chakula kila kitu wana import hadi nyama ya ng’ombe wanaimport
Watalima saa ngapi muda wote wote ni 💣💥, wanaishi Ka digidigi, wanakoishi Kwa starehe na amani ni mjini Tu, huko ambako wangeanzishia mashamba ndiko war lord's wa kina Slim na M7 wanakonyang'anyana utajiri!
 
Apa ndipo na mlilia Mobutu dah sisi ndo wakuzarauliwa na kenya kweli dah? Kweli maisha haya hayana formula ok siku zinakuja mtatafuta pakufanyia biashara na upumbavu wenu waulize kilicho wapata wenzenu wa beljiji na Rwanda kipindi cha Mobutu ndo kitawafata Ninyi tukipata kiongozi kama Mobutu
 
Nausubiri uchaguzi wa kenya kwa hamu kubwa huenda yaliyotokea 2007 yanaweza kutokea "machafuko "ruto anaushawishi sana wa kushinda ,je akishinda bwana uhuru kenyata atamkabidhi madaraka
 
Sijui kwa nini watu hawapendi kusikia ukweli? Kosa hapo ni nini!
Mkuu ukweli umepingwa na aliyetoa ukweli, ameufyata na kwa kuonesha alikosea kuongea vile ameamua kutoa raia wake kwenda kupambana kwa aliowaita masikini.

Ahahahaaa dunia haina usawa asee!.
 
Back
Top Bottom