Dr. David Bell: Magufuli kukataa lock down nchini Tanzania kuliokoa maisha ya maelfu ya watu

Kaka, najua wewe ni moja kati ya watu makini sana humu jukwaani; hi umechangia ukiwa na chuki na mtu. Hapa hukutumia shule/elimu yako kaka, tuweni wakweli kwa nafsi zetu.
 
Umempa zitto junior jibu lililo sahihi. Tafiti yoyote kuhusu jamii (social science research) hufanyika kwenye kaya (household). Na hata huko Muhimbili ni kuthibitisha kilichopatikana kwenye kaya, mathalani uhakika wa aina ya ugonjwa
Kwani takwimu kwamba WaTanzania elfu 50 hugundulika na saratani hiyo tafiti unaweza ipata kwenye kaya zilizopo Mtwara ilihali 60% ya cases ni kutoka kanda ya ziwa?

Huwezi uka generalise social science research kwa data za isolate cases!! Hakuna hicho kitu ni lazima uwe na uhakika case study inapofanyika basi kuna evidence kwamba eneo hilo lina ratio kubwa ya problem unayoifanyia tafiti kuliko maeneo mengine ili tafiti yako iwe generalized kwa broader population.
 
Huitaji takwimu za vifo kitaifa kujua ukweli wakati unaishi Tanzania. Anza nyumbani kwako, majirani, mtaani na ndugu zako, popote walipo nchini, kupata takwimu ya waliokufa kwa korona
Mwanzoni nilidhani ww ni intellectual kuliko wenzio but kumbe wale wale tu. Jamani narudia tena takwimu za pandemic au magonjwa ya mlipuko huwezi uliza data mtaani kwenu!! Mfano Italy Lombardy ilipigwa sana kuliko majimbo mengi say Sicily. Ssa wana sicily wakianza kuhojiana eti mbona hakuna aliyeugua? Ingemaanisha Italy hakuna wanaokufa kwa covid???

Data za masuala haya unazipata eneo husika.... Mimi nilifika Aga Khan ile March na ndio niliamini Corona ipo na iliua sana bongo. Maana nlikuta ndugu kila siku wanafuata maiti/kuina mgonjwa mahututi ikiwemo mimi pia. Ila nikikaa Manyovu huku unadhani ntajua kuna corona?
 
Yaani katika vitu ninavyomuona Magufuli alikuwa chaguo La Mungu kuja kuitetea Tz ni pamoja na hilo RIP JPM
Chaguo la mungu anakufa na mashine ya mzungu kwenye moyo??? Si angeitoa kama anamuamini Mungu au yeye a anamuamini kwenye Covis pekee??

Illiterates hii nchi ndio mnaturudisha nyuma sana
 

Naona unavimbia kutaka takwimu. Ati wadai Mimi nilifika Aga Khan ile March na ndio niliamini Corona ipo na iliua sana bongo, na ukaambiwa wamekufa kwa ugonjwa huo! Du!!!! Hao sana waliouawa na corona wamezikwa wapi na nani? India tunaoneshwa wanavyochomwa moto. Nchi za magharibi tunasikia jinsi huduma za afya zinavyozidiwa. Hali ya corona nchini tuamini hicho ulichodai? Nachelea kutumia neno VUVUZELA!

Mwananchi hutoka kila siku kwa shughuli zake za kimaisha, akikutana na watu mbalimbali. Leo unataka itangazwe idadi ya waliombukizwa na walio kufa!

zitto junior kwa kuwa mimi siyo "intellectual", kwa tathmini yako, niambie hizo takwimu za COVID-19 zitamsaidiaje huyo mwananchi, hata wewe?

Ninavyojua takwimu hutumika kufanya maamuzi sahihi (informed decision). Kwa suala la kitaifa kama hili la corona, takwimu zinatumiwa na mamlaka zenye maamuzi jinsi ya kukabiliana na hilo gonjwa na si kwa mwananchi wa kawaida. Kutokana na takwimu hizo ndio maana sasa inasisitizwa kila mwananchi kuzingatia ushauri wa kiafya kujikinga dhidi ya maambukizi au kuambukiza
 
Chaguo la mungu anakufa na mashine ya mzungu kwenye moyo??? Si angeitoa kama anamuamini Mungu au yeye a anamuamini kwenye Covis pekee??

Illiterates hii nchi ndio mnaturudisha nyuma sana
Hujui kuwa hujui
 
Ati wadai Mimi nilifika Aga Khan ile March na ndio niliamini Corona ipo na iliua sana bongo, na ukaambiwa wamekufa kwa ugonjwa huo! Du
Unajua hii ndio shida ya waTZ mie nimetoa hoja na ushahidi wangu wewe unabisha sasa unataka nikueleweshe vp? Si uende na wwe pale Aga Khan ER department ukazoe takwimu ni wagonjwa wangapi wa Covid 19 walifariki pale?? Unabisha for the sake of kubisha au una counter evidence?
zitto junior kwa kuwa mimi siyo "intellectual", kwa tathmini yako, niambie hizo takwimu za COVID-19 zitamsaidiaje huyo mwananchi, hata wewe
Takwimu ndio zinamsaidia mwanachi wa kawaida kubadili lifestyle, kuziona fursa na kujikinga zaidi. Mfano kufanya kazi kidijitali zaidi, kuepuka kuzurura bila tija yaani kuwa na proper schedule, otherwise kuna kuwepo na complacency. Mfano kwa kupitia takwimu za VVU kuna watu wanaogopa ngono zembe kuliko kitu chochote kile unadhani bila takwimu hali ingekuaje?
India tunaoneshwa wanavyochomwa moto
Kwani Kabla ya Corona hao wahindi walikua hawachomwi moto wakifariki? Nmekueleza mfano kanisani kwetu tulipoteza watu 3 directly kwa corona..... Mimi mzee na mama waliponea ICU.... Na 5 direct workmates wawili walipata Covid 19 na waliponea chupu chupu. Let alone mtaani tulimzika Beka!! Na Mama Hellen naye aliponea tundu la sindano. Sasa unataka evidence gani zaidi kwamba covid was real??
 
Hujui kuwa hujui
jibu swali kama alipambana na Pandemic ya wazungu na kupinga chanjo ya mabeberu yenye nia ovu je ni kwanini alikua anatumia mashine ya mzungu kustabilize mapigo ya moyo?? Au anamtegemea Mungu kwenye Corona tu na sio ugonjwa wa moyo
 
jibu swali kama alipambana na Pandemic ya wazungu na kupinga chanjo ya mabeberu yenye nia ovu je ni kwanini alikua anatumia mashine ya mzungu kustabilize mapigo ya moyo?? Au anamtegemea Mungu kwenye Corona tu na sio ugonjwa wa moyo
Huna akili zombie kabisa.
Hata wazungu wanatumia dhahabu na mazao mengi kutoka Afrika
 
Huna akili zombie kabisa.
Hata wazungu wanatumia dhahabu na mazao mengi kutoka Afrika
Haaahaaa poleni sana!! Kejeli nyingi kwa mzungu cku anazima mashine yake jitu linakufa. Ssa jeuri ilikua ya nini wkt maisha yake yalikua yanategemea akili ya mzungu.

Hakunaga chaguo la Mungu aliyekosa akili hivo
 
Sio kwamba alikataa. Wengi hamuelewi. Yule bwana alikua na roho mbaya. Alikua tayari watu waangamie kwa covid 19 ila sio kutoa hela za serikali kuwahudumia wakiwa wamejifungia ndani. Hebu jiulize, kwanini yeye alikimbia akaenda zake chato?

Bahati nzuri covid 19 haikua na madhara kwa upande wetu. Akajinyakulia point za bure kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa nini leo mnamkoga sana huyo baba wa watu (marehemu rais Magufuri) kuwa alidhalau?.

Na leo tunaanza kujiandaa na kufungiwa ndani.
 
Nakuombea maisha marefu Mkuu, ili siku moja urudi hapa tena kuja kusema hicho ulichokibania moyoni mwako kwa kuamua kuwa sehemu ya kuudanganya moyo wako
 
Wanapokea kichapo kwa kulazimisha chanjo
 
Gaidi ni kiongozi asiye na maono
 
Tukisema sisi hatueleweki had aseme mzungu, wenye akiri za namna hiyo kazi kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…