Dr. David Bell: Magufuli kukataa lock down nchini Tanzania kuliokoa maisha ya maelfu ya watu

Dr. David Bell: Magufuli kukataa lock down nchini Tanzania kuliokoa maisha ya maelfu ya watu

Kuna dada mmoja mlokole yupo Tegeta. Alikuwa anamsifia Magufuli kuwa kamaliza Corona Tanzania. Mwaka jana mwezi June/Julay mama yake na bibi yake walikufa kwa Corona. Walipishana siku mbili.

Hadi leo hataki kumsikia Magufuli.

Una kichaa cha ubungo wewe sio bure
 
Kuna dada mmoja mlokole yupo Tegeta. Alikuwa anamsifia Magufuli kuwa kamaliza Corona Tanzania. Mwaka jana mwezi June/Julay mama yake na bibi yake walikufa kwa Corona. Walipishana siku mbili.

Hadi leo hataki kumsikia Magufuli.
Stori za abunuasi
 
Ukaidi ama ujasiri, he sacrificed his life for us..amefungua njia, sasa ni juu yako wewe kuchagua aina ya kiongozi ambae atasimamia nchi na mali zake zote kwa manufaa ya wote....na ukimtazama machoni, nafsi yako inasema kweli huyu anauchungu na Tanzania....
Hivi wewe unajuwa maana ya Sacrifice? Huyu Mwendazake alikuwa anaumwa UKIMWI tangu 1990s, then akawa amewekewa pacemaker kwenye mwaka 1992. Mwaka 2010 alikwenda kwa Babu wa kikombe kule Loliondo kutafuta tiba ya UKIMWI.

Hivi mtu write off kama huyu anakuambia ame SCRIFICE maisha na wewe popoma unakubali?? Elimu duni inawafanya mushindwe kuchanganua mambo
 
Hivi wewe unajuwa maana ya Sacrifice? Huyu Mwendazake alikuwa anaumwa UKIMWI tangu 1990s, then akawa amewekewa pacemaker kwenye mwaka 1992. Mwaka 2010 alikwenda kwa Babu wa kikombe kule Loliondo kutafuta tiba ya UKIMWI.

Hivi mtu write off kama huyu anakuambia ame SCRIFICE maisha na wewe popoma unakubali?? Elimu duni inawafanya mushindwe kuchanganua mambo
Kwahio hakupenda kuishi alitaka kufa...

Na mkuu unawapa ujumbe gani kwa waathirika....kwamba wako right off wajilipue au wasubiri kufa hawana maana...
 
Kwahio hakupenda kuishi alitaka kufa...

Na mkuu unawapa ujumbe gani kwa waathirika....kwamba wako right off wajilipue au wasubiri kufa hawana maana...
Tulia wewe
 
Acha utoto wewe hv utafiti gani wa kawaida ambao mtu wa kawaida anaweza fanya? Zaidi ya niliosema mm? Pili hv unaweza ficha vifo? hyo midgree yenu inawasaidia nini? Ni watanzania wangapi wana access na MNH tafiti ndogo tu unaweza fanya mwenyewe ww umepoteza ndugu wangapi toka first victim wa corona Tanzania je umeenda misiba mingapi ya majirani au jamaa zako toka Corona ilipotangazwa kulinganisha na miaka mingine NK vifo vilikuwepo kabla ya Corona
Mkuu shida hauna exposure ya kutosha mimi binafsi nimeandika tafiti nyingi tu maana sahvi data unapata mtandaoni tofauti na zamani mpaka uzurure wee maofisi yote so mtu wa kawaida anaweza fanya tafiti.

Kipengele cha data collection lazma utumie taarifa za wahusika kupata matokeo. Yaani huwezi generalize matokeo ya nchi nzima kwa kutumia sample ya mtaa mmoja hakuna hiyo tafiti duniani zaidi itakua case study tu.

Majibu ya wagonjwa wa kansa Utaipata Ocean Road pale ambapo kila mwaka watu elfu 50 wanaugua saratani bila kufika hospitalini. Sasa ww una jirani hapo mtaani ana saratani? Kama hayupo ina maana hao elfu 50 kila mwaka wanatokea wapi?

Majibu yatoke kwa wahusika sio eti mtaani kuna misiba mingapi? Anyway binafsi Mzee 70+ na Mama yangu waliugua Covid mwezi January.... Na waliponea ICU. Kuhusu vifo kanisani kwetu tulipoteza wachungaji/wazee wa kanisa watatu kwa mpigo February hiyo hiyo. Wait..... Circle of friends yangu ni watu 5... Watatu kati yao waliugua Covid na wakaacha kazi kwa zaidi ya wiki mbili wakipambania maisha mmoja Msasani pale mwingine Sinza.
 
Kwahio hakupenda kuishi alitaka kufa...

Na mkuu unawapa ujumbe gani kwa waathirika....kwamba wako right off wajilipue au wasubiri kufa hawana maana...
Ni kwamba huwezi kutoboa ukiwa na;
UKIMWI + Bipolar + Pacemaker+ Diabetes+ COVID 19
 
Wewe!..

Corona usiifananishe na ukimwi. Wote tumeona duniani huko jinsi ilivyosumbua. Hapa kwetu corona ni kaugonjwa kama mafua tu.

Mungu jatusaidia sana.
Takwimu hauna unaropoka tu!! Kwa akili hizi ndio maana JIWE ilimuondoa
 
Kwahiyo unataka wawe wanaungwa mkono tu hata kwa mambo ya hovyo?
Kma beberu ni mbaya basi ni mbaya tu.... Si mnasema wanatuonea wivu!! Sasa kwanini maoni yake mnayakubali?

Wakiwasifia mnaita wahisani wakiwakosoa kuwa uchumi ni wa makaratasi mnadai wana wivu??

IQ za UVCCM ni changamoto sana
 
Na si mbona tulijengwa kimtazamo kwa kuondoa hofu na pia kujifukiza?
Kwenye kuondoa hofu YES hapo nampongeza JPM alifanya tusiogope Corona but kujifukiza wasn't a sustainable solution. Bora bajeti ya NIMR ingeongezwa ili nchi iwe na capacity ya kutengeneza chanjo hasa milipuko ikitokea.
Mfano sasa hvi US inapigia chapuo patent zitolewe ili kila nchi iwe na uwezo wa kutengeneza chanjo zao wenyewe kwa kutumia leseni kutoka kampuni husika
 
Kwenye kuondoa hofu YES hapo nampongeza JPM alifanya tusiogope Corona but kujifukiza wasn't a sustainable solution. Bora bajeti ya NIMR ingeongezwa ili nchi iwe na capacity ya kutengeneza chanjo hasa milipuko ikitokea.
Mfano sasa hvi US inapigia chapuo patent zitolewe ili kila nchi iwe na uwezo wa kutengeneza chanjo zao wenyewe kwa kutumia leseni kutoka kampuni husika
Huna akili
 
Acha utoto wewe hv utafiti gani wa kawaida ambao mtu wa kawaida anaweza fanya? Zaidi ya niliosema mm? Pili hv unaweza ficha vifo? hyo midgree yenu inawasaidia nini? Ni watanzania wangapi wana access na MNH tafiti ndogo tu unaweza fanya mwenyewe ww umepoteza ndugu wangapi toka first victim wa corona Tanzania je umeenda misiba mingapi ya majirani au jamaa zako toka Corona ilipotangazwa kulinganisha na miaka mingine NK vifo vilikuwepo kabla ya Corona
Umempa zitto junior jibu lililo sahihi. Tafiti yoyote kuhusu jamii (social science research) hufanyika kwenye kaya (household). Na hata huko Muhimbili ni kuthibitisha kilichopatikana kwenye kaya, mathalani uhakika wa aina ya ugonjwa
 
Umempa zitto junior jibu lililo sahihi. Tafiti yoyote kuhusu jamii (social science research) hufanyika kwenye kaya (household). Na hata huko Muhimbili ni kuthibitisha kilichopatikana kwenye kaya, mathalani uhakika wa aina ya ugonjwa
Zito junior ni mpuuzi sana
 
Back
Top Bottom