Dr. David Bell: Magufuli kukataa lock down nchini Tanzania kuliokoa maisha ya maelfu ya watu

Dr. David Bell: Magufuli kukataa lock down nchini Tanzania kuliokoa maisha ya maelfu ya watu

Kuna dada mmoja mlokole yupo Tegeta. Alikuwa anamsifia Magufuli kuwa kamaliza Corona Tanzania. Mwaka jana mwezi June/Julay mama yake na bibi yake walikufa kwa Corona. Walipishana siku mbili.

Hadi leo hataki kumsikia Magufuli.
Kwenye misafara wapaka mav.i...huwa hawakosekani
 
Vijana wa ufipa nina imani wamekunja sura zao kama mavi ya asubuhi
 
Mshukuru sana huyo mpumbavu maana angeamua kuwafuatisha wazungu wewe na ukoo wako mlivyo masikini mngekuwa mmeshapukutika wote kwa njaa muda huu
Mwendazake ametukuta tuna survive, akapewa u-Rais akafanya upumbavu wake akafa kwa COVID19 na ametuacha tuna survive, nimshukuru kwa kitu gani? Hiyo kazi tumewaachia nyinyi misukule yake ndiyo mufanye lakini siyo sisi tunaojitambua
 
Wewe
Wamepata wapi twakwimu za wagonjwa na vifo wakati ilikua ni siri ya kinjekitile?

Huu ni ugoro full stop.
Kama takwimu za COVID hazikutolewa, huyo mchambuzi anajuaje wangapi walikufa au hawakufa na COVID?
Niwaulize katika ukoo wenu wenye watu zaidi ya 100 wangapi wamekufa kwa covid ?kama hawafiki 3 kati ya 100 mwendazake alifanya yake akumbukwe
 
Wewe


Niwaulize katika ukoo wenu wenye watu zaidi ya 100 wangapi wamekufa kwa covid ?kama hawafiki 3 kati ya 100 mwendazake alifanya yake akumbukwe
1.Kijazi
2.Mahiga
3.Mzee Pombe
4.Mama Rwakatare
 
Mwendazake ametukuta tuna survive, akapewa u-Rais akafanya upumbavu wake akafa kwa COVID19 na ametuacha tuna survive, nimshukuru kwa kitu gani? Hiyo kazi tumewaachia nyinyi misukule yake ndiyo mufanye lakini siyo sisi tunaojitambua
Hata chizi huhisi anajitambua
 
Yaani katika vitu ninavyomuona Magufuli alikuwa chaguo La Mungu kuja kuitetea Tz ni pamoja na hilo RIP JPM
 
Dr. Bell - tutajie na nchi ambazo walifanya lockdown na watu wakafa kwa njaa na matatizo mengine ili tuone kwa Tanzania kutofanya lockdown, tuliokoa maisha!! Vinginevo nakuchukulia ni skeptical wa lockdown kama mtu mwingine yeyote na una haki hiyo.

JPM alijua kitu kimoja kwa usahihi. Kwamba uchumi wetu ni wa hali ya chini na sio sa kidigitali. Kazini lazima mtu uwe ofisini. Ukitaka mahitaji lazima uyafuate dukani au sokoni na malipo ni cash! Hatuna online shopping na delivery. Alijua hakuna mfumo wa kudhibiti lockdowns ni mdogo au haupo kabisa. Alijua lockdown ingekuwa ni jina tu!!!! Nimekuwa nchi yenye uchumi kama wetu wakisema wako locked down. Nilichoona ni curfews kuanzia saa 3 usiku mpaka 12 alfajiri!! Nje ya hapo ni changanyikeni tu!!

Pamoja na hayo yote - sio kwamba lockdown haisaidii wengine au ni njia mbaya! Hapa kwetu isingewezekana. Ingeleta mateso! Ndio sababu iliachwa!!

JPM alikana uwepo wa corona kwa hiyo asingeweza kuwa na lockdown - mwandishi amesahau hilo kwa makusudi!!!! Kutoweka lockdown haikuwa huruma yake!!!
JPM alikana uwepo wa corona?
je shule na vyuo kwa nini alifunga?
kwa nini aliagiza maombi ya kufunga na kuomba?
kwanini alitaka tuishi na corona kama magonjwa mengine?
kwanini aliunda tume ya kushauri juu ya chanjo na corona.?

alisema corona hakuna baada ya maombi kuwa Mungu kaiponya nchi na ndo maana hata leo tuko huru kweli kweli.
Au kutumia akili zake tofauti na wanavyo fanya wazungu ndo shida.
au hata mapapai yakionekana na corona ni sawa.
Huyu mtaalamu kasema vema unapo imarisha uchumi unaongeza life expectancy rate.Ni wakati huu nchi iliingia uchumi wa kati.Je angeweka lockdown tungeingiaje uchumi wa kati? Kadri uchumi unavyo poromoka maana yake umaskini nao unaongezeka Kinachotkea ni low expectancy rate.
 
Mchambuzi kwenye gazeti hilo ambaye ni mfanyakazi aliyepita wa shirika la afya duniani (WHO) amesema kitendo cha Magufuli kukataa lock down nchini Tanzania kuliokoa maisha ya maelfu ya watu hasa akina mama, wazee na watoto.

Mchambuzi huyo amesema kwenye nchi ambazo walifungia watu ndani(lockdown) maelfu ya watu walikufa kutokana na njaa pamoja na magonjwa mengine na siyo Corona.

View attachment 1801309

======

Magufuli’s Covid response saved thousands​


Dr David Bell

He may have been ridiculed in the West for rejecting lockdowns and encouraging prayer-a-thons. But as ex-World Health Organization scientist Dr David Bell explains, Tanzania's late president John Magufuli is not seen as a pariah by many in the scientific community – he’s seen as a life-saver.

If you read the BBC website, you probably think Tanzania’s late president was either a rebel, a ‘Covid denier’ or just plain stupid.
In reality, he was none of these.

President Magufuli was actually a highly educated scientist with a PhD in chemistry, who probably saved thousands of lives by refusing to embrace lockdowns and other knee-jerk reactions foisted on the people in much of Africa and the West.

Magufuli’s decision not to lock down was consistent with the evidence-based pandemic guidelines released by the World Health Organization (WHO) in 2019.

He rightly predicted that Covid-19 mortality in Africa would be very low compared to other major killers like malaria, tuberculous (TB) and HIV-Aids, and followed good public health principles in prioritising these higher burden diseases that particularly afflict the young, while telling Tanzanians not to panic.

He also prioritised keeping the economy growing, which is in the long term the most effective way of improving life-expectancy and health. In short, he acted as you would expect a well-trained scientist and rational public health expert to act in the Tanzanian context.

Throughout the Covid-19 pandemic, the media has demanded longer and harder lockdowns, as if they were normal – or helpful.
But they rarely point out that no pandemic plan recommended mass business closures and restrictions on religious freedom, travel, or normal societal function before 2020, because removing these is expected to cause greater harm, and impinges greatly on fundamental human rights.

We never implemented any of these measures during the SARS, MERS or swine flu outbreaks of recent years. People attended places of worship, caught packed buses and trains, the young went clubbing and danced and sang and kissed.

The same was true for Tanzanians during this pandemic too.

And rightly so.

Most Tanzanians are young and not obese, and so are at very low risk from Covid-19.

President Magufuli received a lot of bad press for telling his countrymen to go to church at the start of the pandemic to ‘pray’ Covid away.

But mass gatherings would not be expected to put the vast majority of the Tanzanian population at significant risk.
Tens of thousands of sports fans went to stadiums in Florida and Texas recently, and there was no noted uptick in cases afterwards.

Of course, protecting the vulnerable from harm is important in any epidemic, and it’s difficult to say whether the mass prayer-a-thons were a good idea from a purely transmission standpoint, as they may have increased risk to older people early on in Tanzania’s outbreak.

Building so-called ‘herd immunity’ in young people rapidly through such gatherings would however be expected to exert a protective effect, if the vulnerable are well protected until such transmission-suppressing immunity is achieved.

The policy overall was probably far better for public health than strict lockdowns, which led to the first recessions in a quarter of a century in many African countries, as well as a reduction in treatment for major killers like malaria, tuberculous (TB) and HIV-Aids.
The virus that leads to Covid-19, SARS-CoV-2, is likely to become endemic, and as herd immunity is reached through natural infection or through vaccination, severe disease and death will become increasingly uncommon.

Multiple studies have shown very limited impact of stricter lockdowns on Covid-19 mortality.

Therefore, one would expect Tanzania, like Sweden, Croatia, Belarus and other ‘non-lockdown’ countries, to have similar overall Covid-19 deaths and epidemic trajectories as comparable lockdown countries in the end.

The vehement criticism of President Magufuli in the media is therefore disappointing and highly ignorant. It does appear that Western journalists find it easier to smear leaders in African countries than European leaders. Sweden's leaders, for instance, have never been labelled 'Covid deniers'.

This is not new, but perhaps shows how much hypocrisy and prejudice persist in Western society.

Tanzania appears to have done better from a health point of view than most other low-income countries through this last year. While millions of Africans have been thrown into hunger and poverty, Tanzania has seen GDP rise throughout 2020.

Falls in GDP and general impoverishment are associated with increases in all-cause mortality.

This is particularly the case in sub-Saharan Africa, where food security is often a real problem and control of endemic diseases such as malaria, tuberculosis and HIV-Aids is fragile.

It is therefore highly likely that, in maintaining a well-functioning economy, he and his government were responsible for greatly reducing mortality. UNICEF estimate almost a quarter of a million additional child deaths in South Asia in 2020 due to the responses to Covid-19 there.

It is likely that similar tolls will be seen in sub-Saharan Africa but we would expect that Tanzania will now be relatively protected from this.

Let us hope, for Tanzanians’ sake, that this continues with his successor.

Western media may have had a good laugh at President Magufuli – and Tanzanians in general – for thinking they could ‘pray’ away a virus.

But, rhetoric aside, by refusing to lockdown, and by refusing to divert health resources away from malaria and TB to test people with no symptoms for a virus with a very low fatality rate, Magufuli was following an orthodox pandemic response.

He was also orthodox in his approach to human rights. Religious freedom was considered an important human right by most Western journalists only 18 months ago, and fear should not change fundamental human rights.

Honest journalists should acknowledge the benefits of Magufuli’s approach, however much it may contradict their current preferred world view.

Ridiculing religious observances that fall outside their experience, and denigrating public health science that they clearly don’t understand, is not good journalism.

It just highlights how ignorant they are.
bora umeanza kuieleza kwa kiswahili imesaidia wenzangu na mimi ambao kizungu ni shida.

JPM anaishi na ataendelea kuishi mioyoni mwetu.
 
Yeye aliamua kupeleka mapapai na oil chafu kwenye PCR machine, sisi tukapelea sample zake tulizon"swab" kwenye pua
Kwenye hizohizo mashine mzilizopima mapapai ama mlipeleka kwenye mashine za wadhungu
 
Wewe


Niwaulize katika ukoo wenu wenye watu zaidi ya 100 wangapi wamekufa kwa covid ?kama hawafiki 3 kati ya 100 mwendazake alifanya yake akumbukwe
Wamekufa watu wengi sana sawa na nchi zingine za AFRICA.

Tumia akili yako tu ya kawaida, hata kama angekufa mtu 1 thamani yake ni kubwa na haiwezi kufananishwa na uzembe wa Mwendazake
 
Kwenye hizohizo mashine mzilizopima mapapai ama mlipeleka kwenye mashine za wadhungu
Forget about Mwendazake alikufa kwa ukaidi na uzembe wake. He got what he deserved
 
Forget about Mwendazake alikufa kwa ukaidi na uzembe wake. He got what he deserved
Ukaidi ama ujasiri, he sacrificed his life for us..amefungua njia, sasa ni juu yako wewe kuchagua aina ya kiongozi ambae atasimamia nchi na mali zake zote kwa manufaa ya wote....na ukimtazama machoni, nafsi yako inasema kweli huyu anauchungu na Tanzania....
 
Back
Top Bottom