Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama takwimu za COVID hazikutolewa, huyo mchambuzi anajuaje wangapi walikufa au hawakufa na COVID?
Watu walikuwa wanademonize juhudi za huyu mwamba ila wasioficha ukweli wanatoka hadharani kuzipongeza juhudi zake.Mchambuzi kwenye gazeti hilo ambaye ni mfanyakazi aliyepita wa shirika la afya duniani (WHO) amesema kitendo cha Magufuli kukataa lock down nchini Tanzania kuliokoa maisha ya maelfu ya watu hasa akina mama ,wazee na watoto.
Mchambuzi huyo amesema kwenye nchi ambazo walifungia watu ndani(lockdown) maelfu ya watu walikufa kutokana na njaa pamoja na magonjwa mengine na siyo Corona.View attachment 1801211
Bila Shaka una maana ya 'dunia inakukumbuka"Rais wa karne John Pombe Magufuli
Dunia inakutumbua
Endelea kupumzika kwa amani kipenzi chetu
Rais wa karne John Pombe Magufuli
Dunia inakutumbua
Endelea kupumzika kwa amani kipenzi chetu
Sukuma Gang watakuambia, ni Tanzania tu.Naomba mnisaidie hivi ni dunia nzima ilikua katika lockdown isipokua Tanzania tu?
Hajasema vifo vya uviko-19, bali ukosefu wa chakula na lishe, hususan ni kwa watoto. Muwage mnasoma kabla ya kutoa maoni.
CC: Daudi Mchambuzi
Kabisa kabisaKweli kabisa
Utafiti mdogo tu ww ndugu zako wa ngapi wamekufa kutoka 16 Mar 2020 tuliporeport mgonjwa wa kwanza ? Kingine majirani zako wa ngapi wamekufa au umeudhuria misiba mingapi ukilinganisha na miaka iliyopitaKama takwimu za COVID hazikutolewa, huyo mchambuzi anajuaje wangapi walikufa au hawakufa na COVID?
Hata kama taarifa hazikutolewa, utafiti hauwezi kufanyika bila hizo taarifa? Ulisoma hadi darasa la ngapi? Mimi niliishia darasa la saba tu. Ila ninajua kuwa huwezi kuficha taarifa inayohusisha jamii fulani. Utakosa takwimu lakini taarifa za jumla utapata tu.Kama takwimu za COVID hazikutolewa, huyo mchambuzi anajuaje wangapi walikufa au hawakufa na COVID?
Ni kati ya wachache nchi nzima. Ana uelewa mdogo si wa kutolea mfano!Kuna dada mmoja mlokole yupo Tegeta. Alikuwa anamsifia Magufuli kuwa kamaliza Corona Tanzania. Mwaka jana mwezi June/Julay mama yake na bibi yake walikufa kwa Corona. Walipishana siku mbili.
Hadi leo hataki kumsikia Magufuli. Yaani anamuona bonge ya tapeli na muuaji.
Kifo hupangwa na nani?Kuna dada mmoja mlokole yupo Tegeta. Alikuwa anamsifia Magufuli kuwa kamaliza Corona Tanzania. Mwaka jana mwezi June/Julay mama yake na bibi yake walikufa kwa Corona. Walipishana siku mbili.
Hadi leo hataki kumsikia Magufuli. Yaani anamuona bonge ya tapeli na muuaji.
Kwa ubingwa wa kuficha takwimu?Dah Tanzania tumepoteza Rais tumebaki na kiongozi tu anaeongoza awamu ya sita rakini kwa akili na mawazo ya awamu ya 4 😢😢😢